Tetesi: Kuna Mwanasiasa anavuka Red line soon.

Tetesi: Kuna Mwanasiasa anavuka Red line soon.

Mimi hata muuane sawa sema kitambi ni msenge
Joseph alikaa miaka kumi na tatu mpaka Mwenyezi Mungu kutimiza ahadi zake(wasabato mtanisahihisha hapa) toka 2016 mpaka 2026 ni miaka mingapi? Kumi sio sasa msimbe anayo minne ataweza kweli? Mbona ramani ilichorwa vizuri toka enzi zile za mtakatifu wa Chato?Mungu anakusudi lake bhana zidisha maombi lolote litakuwa.Makamo asipuuzwe
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
Mbona umeandika kama choko. Mtaje ni nani na kafanya nini. Uzi kama hizi mara nyingi huletwa na machawa wa Ccm
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
Mazafakas mnapenda sana kutisha watu.
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
You're so foolish and stupid at the same time..

Ni nani anayeangamiza Utalii na kuichafua nchi na taifa kama si viongozi wa serikali wenyewe wanaitangazia dunia kuwa Tanzania kuna UGAIDI na MAGAIDI na tayari wamewakamata na kuwashitaki 51 wakati kumbe ni ugaidi wa kwenye matako na chupi zao ma-CCM yenyewe...??

I understand that, you're talking about John Heche, the VC of CHADEMA Political Party...

Lakini ujumbe wa leo wa John Heche uko very clear kabisa ukiwaonya na kuitahadharisha serikali hii haramu kuwa, hiki wanachokifanya kwa kubambikia watu kesi za makosa ya ugaidi kwa maslahi ya kisiasa za CCM eti ili tu kulinda uhalifu na uchafu wa huyu mwanamke aitwaye Samia Suluhu Hassan na genge lake la kihuni. Lakini ukweli ni kuwa, huku ni kumpaka mavi na mkojo wake zaidi badala ya kumsafisha...!

Huyu mwanamke na wenzake Ili awe msafi, asamehewe, basi ni sharti akiri na kutubu makosa yake ya kujipatia madaraka ya u Rais kwa kuua na kumwaga damu ya maelfu ya ndugu, mama na baba; kaka na dada pamoja na watoto wetu 29/10/2025...

There's no other way round zaidi ya UKWELI, HAKI na UWAJIBIKAJI....... baaaaaasi....

Hili nalo limekuwa gumu kiasi gani kulielewa mara moja tu ndugu Gilbert A Massawe na ukawa na positive mind ku - admit...????

Nyie Chawa wa CCM ni shenzy-type kabisa. Hebu jitahidini basi wakati mwingine muwe na akili na ufahamu hata kidogo tu wa kuyaelewa na kuya tafsiri matukio kwa usahihi wake badala ya kuyaona ktk macho ya uchawa tu...!
 
You're so foolish and stupid at the same time..

Ni nani anayeangamiza Utalii na kuichafua nchi na taifa kama si viongozi wa serikali wenyewe wanaitangazia dunia kuwa Tanzania UGAIDI na MAGAIDI na tayari wamewakamata na kuwashitaki 51...??

Ujumbe wa John Heche uko very clear kabisa kuwaonya na kuitahadharisha serikali kuwa, kutengenezea watu makosa ya ugaidi kwa maslahi ya kisiasa za kulinda uhalifu wa Samia Suluhu Hassan na genge lake la kihuni ni kujinyea wenyewe mkidhani mnajisafisha...!

Hili nalo limekuwa gumu kiasi gani kulielewa mara Moja tu ndugu Gilbert A Massawe . Massawe

Nyie Chawa wa CCM ni shenzy-type. Jitahidini wakati mwingine muwe na akili na ufahamu hata kidogo tu wa kuyaelewa na kuya tafsiri matukio...!
Mjumbe katoa yake asishambuliwe, someni kwa utulivu.Bwana Heche hakuna wakumgusa kuwa na amani narudia tena.Mwana kondoo ameshinda tumfuate.
 
Mbona unaweka wingi mzee?

Una ishu inakusumbua kaka

mijadala ujenga acha kukimbilia tuhuma feki mara ole mushi nk

msanueni mwana line nyekundu sio.

Uchumi ukianguka, Utalii kwa ndimi za watu 10 kati ya maisha ya watu 70M sio jambo zuri.


Sio kila Barua utaandika ikawa na faid kwako.

Victor sempere.
Ndio maana nakwambia , ulichokiandika hapa kinamhusu Heche hata ukijidai kukataa.

Na sisi tunasema uzi huu utatumika kama rejea kwa chochote kibaya kitakachompata Heche.

Mmemkosa kwenye ufisadi feki, maridhiano feki sasa mnapanga ugaidi feki au kumpoteza kama mlimvyompoteza Polepole .

Aliyeua watu October 29 ndio amechafua taswira ya nchi rudini kwenye drawing board mtajua tatizo sio vyama vya upinzani bali sera mbovu na kuchokwa kwa CCM hadi mkaua watu ili mjipe madaraka.
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
What is all this about ? Calm down and make your self clear dude
 
Ndio maana nakwambia , ulichokiandika hapa kinamhusu Heche hata ukijidai kukataa.

Na sisi tunasema uzi huu utatumika kama rejea kwa chochote kibaya kitakachompata Heche.

Mmemkosa kwenye ufisadi feki, maridhiano feki sasa mnapanga ugaidi feki au kumpoteza kama mlimvyompoteza Polepole .

Aliyeua watu October 29 ndio amechafua taswira ya nchi rudini kwenye drawing board mtajua tatizo sio vyama vya upinzani bali sera mbovu na kuchokwa kwa CCM.
Heche atabaki salama jamani hakuna baya litampata.Mungu ninaye mtumikia mimi ni wa kweli na ndiye Mungu wa Abraham,Isaac na Jacob.Sema mwambieni msimbe nilimuonya juu ya kutenda haki kabla ya kupata hiki kiti cha damu lakini hajasikia.Basi tulieni muone kilichpo mbele yetu
 
Mbona unaweka wingi mzee?

Una ishu inakusumbua kaka

mijadala ujenga acha kukimbilia tuhuma feki mara ole mushi nk

msanueni mwana line nyekundu sio.

Uchumi ukianguka, Utalii kwa ndimi za watu 10 kati ya maisha ya watu 70M sio jambo zuri.


Sio kila Barua utaandika ikawa na faid kwako.

Victor sempere.
Unaandika kama headless chicken, nani kasema kuna Ugaidi/magaidi zaidi ya nyie ?
 
Kila Jambo lina Mipaka yake Ndg Wanajamvi.

Siku Za Karibu Kumekua na Mwanasiasa alisahau kipimo cha Uhuru na kila Kauli hakikisha uhujumu msalahi ya Nchi.

Kama kweli unawapigania Watanzania usifanye mambo ukidhani unamkomoa Rais, Waziri kumbe unaangamiza Utalii, Biashara za watanzania wenzako

Wanasiasa, Viongozi wa Dini, Wanaharakati muonyeni sana huyo Kijana.

Uzuri Chepeo likitoka alirudi bure laazima uchimbiwe.


CC domo kali.

Ref: Slow slow.
Mkibosho njaa inakusumbua bila ccm huna ma
Wa cuba nimeelewa ila vipi cake ya taifa mnataka muile wenyewe?. Tukitakka tupaate cake na sisi mnatuita majina mabaya na mikono yetu mnaichafua kwa mchanga ili tuwe wachafu mbele ya umati tusile, sio sawa kabisa.
Mkibosho mwezako
 
Mjumbe katoa yake asishambuliwe, someni kwa utulivu.Bwana Heche hakuna wakumgusa kuwa na amani narudia tena.Mwana kondoo ameshinda tumfuate.
vijana wengi hapa ni wapumbavu hawana maarifa.

Kuna mtu anavuka red line tayari wameanza kufanya conclusion.

hahah

Hawa ndio walimdanganya slow slow but sure kwamba wapo pamoja kube ziii
 
Back
Top Bottom