Wadiz
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 5,413
- 11,065
Habari wajameni,
Kwa unyenyekevu kabisa wapendwa, jokes aside please, nakuja mbele yenu kinyonge na kuomba msaada.
Kuna mdada mmoja wa kimag'hati niko nae kwenye mahusiano miezi kama mitatu. Huyu manzi yuko Bomba sana yaani bonge la pisi kali na shoo anaweza sana.
Tatizo lake limetokea hivi huyu mdada analazimisha kutaka kunipa plot kule buza kwa mpalange. Mimi nakataa yeye anataka kuforce kisa tu anajua nina demu mwingine wa kisandawe hapa Dodoma na huyo msandawe ni pisi kali kumzidi yeye.
Imani yake jinsi msandawe alivyo anaamini huwa napewa mfumo wa buza na huyo msandawe ndiomana sitaki kumuacha.
Nimempa makavu mimi mfumo wa buza sitaki na kwa mpalange sijafika na sitegemei kufika. Nimemchana kuwa kama umethubutu kuwaza kuniteka kwa mfumo wa buza basi hufai bora tuachane.
Nampenda Mungu na zinaaa kwangu ni ajali ya nafsi ila sio kwamba ndio imenitoa Imani yote ya kumuogopa na kumuabudu Mungu.
Huyu mwanamke amefura sana na amecharuka amenitisha eti jaribu kuniacha uone. Na ameweka bayana ataanza kwao mang'ola kisha ataenda kuweka Kambi ya wiki mbili kondoa vijijini amenipa siku tano nimpe jibu ili kama nashupaza shingo aamue cha kunifanya.
Naombeni mbinu na connection za kujikinga na akijaribu kombora limgeukie.
Wadau wa kibondo, kasulu huko Kigoma na bariadi shinyanga naomba connection tafadhari. Namaanisha ntashukuru sana.
Maisha ni mapambano
Nisaidieni baharia mwenzenu.
Shukrani 🙏🙏🙏
Wadiz
Kwa unyenyekevu kabisa wapendwa, jokes aside please, nakuja mbele yenu kinyonge na kuomba msaada.
Kuna mdada mmoja wa kimag'hati niko nae kwenye mahusiano miezi kama mitatu. Huyu manzi yuko Bomba sana yaani bonge la pisi kali na shoo anaweza sana.
Tatizo lake limetokea hivi huyu mdada analazimisha kutaka kunipa plot kule buza kwa mpalange. Mimi nakataa yeye anataka kuforce kisa tu anajua nina demu mwingine wa kisandawe hapa Dodoma na huyo msandawe ni pisi kali kumzidi yeye.
Imani yake jinsi msandawe alivyo anaamini huwa napewa mfumo wa buza na huyo msandawe ndiomana sitaki kumuacha.
Nimempa makavu mimi mfumo wa buza sitaki na kwa mpalange sijafika na sitegemei kufika. Nimemchana kuwa kama umethubutu kuwaza kuniteka kwa mfumo wa buza basi hufai bora tuachane.
Nampenda Mungu na zinaaa kwangu ni ajali ya nafsi ila sio kwamba ndio imenitoa Imani yote ya kumuogopa na kumuabudu Mungu.
Huyu mwanamke amefura sana na amecharuka amenitisha eti jaribu kuniacha uone. Na ameweka bayana ataanza kwao mang'ola kisha ataenda kuweka Kambi ya wiki mbili kondoa vijijini amenipa siku tano nimpe jibu ili kama nashupaza shingo aamue cha kunifanya.
Naombeni mbinu na connection za kujikinga na akijaribu kombora limgeukie.
Wadau wa kibondo, kasulu huko Kigoma na bariadi shinyanga naomba connection tafadhari. Namaanisha ntashukuru sana.
Maisha ni mapambano
Nisaidieni baharia mwenzenu.
Shukrani 🙏🙏🙏
Wadiz