Jana nilipita mitaa ya makumbusho Kuna bishoo fln kijana nilikutana nae na kwa muonekano Ni mtanashati Sana tu .baada ya dakik kadhaa nikamuona anazama mfukoni na kuibuka na ugoro chapu akafungua na kuutia mdomoni ,nikasema kama huyu kijn anatumia HV vitu je kwa walio secondary s balah ..je nn mzuka wa kutumia ugoro mzuka wake ukoje
Haijajulikana Mara moja adhari za matumiz yake kiafya mpk sasa kwa watumiaji wake
HV ugoro c Kama bangi tu ukikamatwa nayo si kesi hyo ama vip ?
HV asili ya ugoro Ni kabila gani
Kwa wamasai wanaita ndiani je kwa kabila lenu mnaitaje ?
Note
Kuna rfk angu aliwai kutumia ugoro kumzima mwanamke aliyemnywea bia zake alichukua ugoro kidg na kuchanganya katik bia anazo tumia yule mwanamke badaa ya muda fln mwanadada alilewa na kushindwa kujitambua alijibebea mwanMke huyo kiulaini na kwenda nae kwake .mkp Sasa haijajulikana kilichotokea
Sent from my Infinix X650 using
JamiiForums mobile app