Kuna mwana JF anatumia ugoro?

Kuna mwana JF anatumia ugoro?

Inaitwa 'orgumbau' kwa kimaasai. Sio ile ya kunusa na huwa inatumiwa na wazee. Tobacco pamoja na magadi, eroo achana na hiyo kitu nchore lai. Ukiitumia na wewe sio mzoefu magoti huwa yanaisha nguvu ghafla na kichwa kinalegea hadi unatafuta sehemu ya kukaa chini. Nkaimoguarani, ushoo tapala roi!
 
Mimi siyo huyo Umdhaniaye Ndugu bali Mimi ni Gifted Intellectually, Knowledgeable, Challenger and Well Informed Person MINOCYCLINE Ndugu sawa?
Sawa.

Pamoja na hayo, lakini pia wewe ni PURELY TALENTED, kwa mujibu wa maoni yangu mkuu!
Au ni kosa ukiwa GIFTED INTELLECTUALLY, KNOWLEDGEABLE, CHALLENGER AND WELL INFORMED PERSON halafu pia ukawa PURELY TALENTED?

Au umenielewa vibaya mkuu?
 
Sawa.

Pamoja na hayo, lakini pia wewe ni PURELY TALENTED, kwa mujibu wa maoni yangu mkuu!
Au ni kosa ukiwa GIFTED INTELLECTUALLY, KNOWLEDGEABLE, CHALLENGER AND WELL INFORMED PERSON halafu pia ukawa PURELY TALENTED?

Au umenielewa vibaya mkuu?
Ahahaha mlikuwa mnabishana nni na popoma mwandamizi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Kwa kimombo unaitwaje?

Kule Kanda ya ziwa hasa mkoani Tabora wamama wajane na wasio na wenza hutia ugoro ukeni kuzima ashki.
 
Kwa kimombo unaitwaje?

Kule Kanda ya ziwa hasa mkoani Tabora wamama wajane na wasio na wenza hutia ugoro ukeni kuzima ashki.
Vip na wababa wagane na wasio na wenza?
 
hv kuna tofauti gani kati ya kuberi na ugolo wadau?
 
Back
Top Bottom