Kuna mwana JF anatumia ugoro?

Kuna mwana JF anatumia ugoro?

Kuna mwaka nlikuwa naumwa jino nkaambiwa ugoro ni dawa, nkautafuta nkatia mdomoni bhana na kumeza mate, asee nlilewa kama saa 4 hivi nahisi kichwa kinazunguka tu.

Kuna miili ya vilevi asee siye wengine tuacheni tunywe juice tu.
Ni kweli mkuu.....ugoro unasaidia kutuliza maumivu ya kuuma kwa jino....wahanga waliosaidika na ugoro wanalitambua hili😬😬😬
 
Vijana wa Chadema ukiwapiga sachi kati ya kumi nane utakuta wanayo mfukoni.

Na ndio asilimia kubwa ya wanaotumia double kick pia.
 
Kuna mwaka nlikuwa naumwa jino nkaambiwa ugoro ni dawa, nkautafuta nkatia mdomoni bhana na kumeza mate, asee nlilewa kama saa 4 hivi nahisi kichwa kinazunguka tu.

Kuna miili ya vilevi asee siye wengine tuacheni tunywe juice tu.
Ile hata watumiaji maarufu hawathubutu kumeza yale mate ya ugoro,ile kitu ni kuna wanaouweka chini ya nyayo za mguu na wanapata stimu fresh ,na nasikia kuna wamama huko Tabora wanauweka huko kwa bibi kukata stimu
Screenshot_20220830-114505.jpg
 
hii kitu nna mwaka wa 10 natumia nimeshajaribu kila njia kuacha nimeshindwa
 
Ile hata watumiaji maarufu hawathubutu kumeza yale mate ya ugoro,ile kitu ni kuna wanaouweka chini ya nyayo za mguu na wanapata stimu fresh ,na nasikia kuna wamama huko Tabora wanauweka huko kwa bibi kukata stimuView attachment 2340180
Babu kweli unapitia fb na una let's screen shot zake humu hpn kwa kweli siyo ssaawa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Jana nilipita mitaa ya makumbusho kuna bishoo fulani kijana nilikutana nae na kwa muonekano ni mtanashati asna tu. Baada ya dakika kadhaa nikamuona anazama mfukoni na kuibuka na ugoro chapu akafungua na kuutia mdomoni!

Nikasema kama huyu kijana anatumia hivi vitu je, kwa walio secondary si balaa? Je, nini mzuka wa kutumia ugoro, mzuka wake ukoje?

Haijajulikana mara moja athari za matumizi yake kiafya mpaka sasa kwa watumiaji wake. Hivi ugoro kama bangi tu ukikamatwa nayo si kesi hyo ama vipi?

Hivi asili ya ugoro ni kabila gani? Kwa wamasai wanaita ndiani je, kwa kabila lenu mnaitaje?

Note:
Kuna rafiki yangu aliwahi kutumia ugoro kumzima mwanamke aliyemnywea bia zake, alichukua ugoro kidogo na kuchanganya katika bia anazo tumia yule mwanamke badaa ya muda fulani mwanadada alilewa na kushindwa kujitambua. Alijibebea mwanamke huyo kiulaini na kwenda nae kwake. Mpaka sasa haijajulikana kilichotokea!
Ukipata majibu ya wana JamiiForums Watumiaji Ugoro nakuomba uje na Uzi mwingine tena na Uulize je, kuna wana JamiiForums wanaovuta Bange?
 
Back
Top Bottom