Kuna mwana JF anatumia ugoro?

Kuna mwana JF anatumia ugoro?

Kuna mwaka nlikuwa naumwa jino nkaambiwa ugoro ni dawa, nkautafuta nkatia mdomoni bhana na kumeza mate, asee nlilewa kama saa 4 hivi nahisi kichwa kinazunguka tu.

Kuna miili ya vilevi asee siye wengine tuacheni tunywe juice tu.
 
Kuna mwaka nlikuwa naumwa jino nkaambiwa ugoro ni dawa, nkautafuta nkatia mdomoni bhana na kumeza mate, asee nlilewa kama saa 4 hivi nahisi kichwa kinazunguka tu.

Kuna miili ya vilevi asee siye wengine tuacheni tunywe juice tu.
Pole Sana mkuu ulifakamia mkuuu

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom