B I N A M U
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 1,495
- 2,403
Me nataman kujua milungi stimu zake zikoje
Kunya tenaa mkuu Tena ovyoWala ugoro wanatema mate haooo na kunya kunya kila wakati.Kila mtu na starehe yake.
Mzuka hauelekezwi wewe pakia vitu mdomoni utuletee mrejesho
Kwani ugoro unaujuwa mzuka wake mop utafute mirungiMe nataman kujua milungi stimu zake zikoje
AMzuka hauelekezwi wewe pakia vitu mdomoni utuletee mrejesho


hpn mkuu noma sanaMajani ya tumbaku +mafuta flanMie natamani kujua unatengenezwa na nini
Kwani ugoro unaujuwa mzuka wake mop utafute mirungi
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Daaah! kama hakuna ulazima wa kutumia,usianze,yawezekana kuna addiction, ukapata madhara.
Tumbaku.Mie natamani kujua unatengenezwa na nini
Ndio mtumiaji nn mnk mkp Sasa hkn mwana jf amejitambulisha kuwa anatumia bas humu kuna wastarabu sanaHuyu Maghayo anatumia
Haaa haaa umetishaaa.Nunua na kiko kabisaa.Ugoro?Hapana.Mimi navuta tumbaku ghafi aka goso tena kwa kujidai barabarani.😂😂😂😂
Mbona jina lako ni kama huo UGOLO wenyewe? Sio yuza kweli naww
HV haichochei uchakataji wa mbususa Kweli?Daaah! kama hakuna ulazima wa kutumia,usianze,yawezekana kuna addiction, ukapata madhara.
Mbona jina lako ni kama huo UGOLO wenyewe? Sio yuza kweli naww




Pole Sana mkuu ulifakamia mkuuuKuna mwaka nlikuwa naumwa jino nkaambiwa ugoro ni dawa, nkautafuta nkatia mdomoni bhana na kumeza mate, asee nlilewa kama saa 4 hivi nahisi kichwa kinazunguka tu.
Kuna miili ya vilevi asee siye wengine tuacheni tunywe juice tu.
Yap!Hapo napiga na tai kwa maringo.Najiita bw.Mitemba.Haaa haaa umetishaaa.Nunua na kiko kabisaa.
Haaaa haaa we Kamanda sana .No stress.Yap!Hapo napiga na tai kwa maringo.Najiita bw.Mitemba.