Satoh Hirosh
JF-Expert Member
- Mar 30, 2021
- 7,151
- 28,874
Mimi nimeshaachana na huu mjadala usiofika mwisho.Waite wafuasi wa kiranga waje wamsaidie naona tangu tumeanza debate anaruka ruka hajibu anachoulizwa!!!
Kila mmoja ashinds mechi zake mkuu,tunaoamini tuendele kuamini na wasioamini waache waendelee kutoamini. Kikubwa kila mmoja awe huru katika kile anaamini bila kuvunja Sheria.