Kuna mwana JF amesoma ''The Urantia Book"?

Kuna mwana JF amesoma ''The Urantia Book"?

..huelewi nini reference yangu....imani ya n'ombe niliyokupa (ambayo ipo) ni sawa na imani kwa mavi unayosema (ambayo haina reference popote duniani)....
Nakuuliza hivi, mtu akiamini ng'ombe ni Mungu aliyeumba ulimwengu na vyote, hiyo imani inamfanya ng'ombe awe kweli Mungu aliyeumba ulimwengu na vyote?
 
Nakuuliza hivi, mtu akiamini ng'ombe ni Mungu aliyeumba ulimwengu na vyote, hiyo imani inamfanya ng'ombe awe kweli Mungu aliyeumba ulimwengu na vyote?
..kwa waaminio hivyo ndivyo...what makes it hard for you to relate!
 
Sawa,kitafute uchimbe madini
nimekidownload playstore....baada ya kusoma chapter one tu sijaona jambo la tofauti nimeona ni narrative za kimetafizikia tu. Inaonekana mmwandishi ni metaphysician tu maana nimeona hata muumba (creator) anatumia neno cetral force etc majina yale yale ya kimetafizikia ambapo dini zinatumia Mungu.

Kwa asiyejua lolote kuhusu philosophy-metaphysics atakiona kuwa ni kitabu cha kipekee chenye madini ya maana lakini ni cha kawaida sana ndiyo sababu kinauzwa cheap hata amazon.
 
Nakuuliza hivi, mtu akiamini ng'ombe ni Mungu aliyeumba ulimwengu na vyote, hiyo imani inamfanya ng'ombe awe kweli Mungu aliyeumba ulimwengu na vyote?
....neither science nor logic will ever be able to prove or disprove the existence of God, faith is necessary to become conscious of God's presence in human experience...
 
..kwa waaminio hivyo ndivyo...what makes it hard for you to relate!
Sijakuuliza kwa waaminio, wapi nimetaja kwa waaminio?

Nakuuliza hivi, mtu akiamini ng'ombe ni Mungu aliyeumba ulimwengu na vyote, hiyo imani inamfanya ng'ombe awe kweli Mungu aliyeumba ulimwengu na vyote?
 
....neither science nor logic will ever be able to prove or disprove the existence of God, faith is necessary to become conscious of God's presence in human experience...
Nakuuliza hivi, mtu akiamini ng'ombe ni Mungu aliyeumba ulimwengu na vyote, hiyo imani inamfanya ng'ombe awe kweli Mungu aliyeumba ulimwengu na vyote?
 
nimekidownload playstore....baada ya kusoma chapter one tu sijaona jambo la tofauti nimeona ni narrative za kimetafizikia tu. Inaonekana mmwandishi ni metaphysician tu maana nimeona hata muumba (creator) anatumia neno cetral force etc majina yale yale ya kimetafizikia ambapo dini zinatumia Mungu.

Kwa asiyejua lolote kuhusu philosophy-metaphysics atakiona kuwa ni kitabu cha kipekee chenye madini ya maana lakini ni cha kawaida sana ndiyo sababu kinauzwa cheap hata amazon.
Sawa,endelea kusoma huenda utapata mengi zaidi,chapter 4 inazungumzia Yesu alikuwa anafanya nini ndani ya miaka 18 ambayo haijaandikwa kwenye bibilia,hapo unahisi alikuwa na elimu gani?
 
Hicho kitabu kukisoma si mchezo. Kina pages zaidi ya 8900.

Hiyo ni Volume 1, bado Volume 2 na 3.

Njia zaidi ya kukisoma ni kupitia review za watu walioweza kukisoma. Kisha kupitia katika sehemu walizoelekeza. Kusema usome pages elfu nane inahitaji Commitment ya hali ya juu.

Na kwa akili zetu za Kibongo zilivyo za kivivu, wengi itawajazia tu katika storage za vifaa vyao.

Kama ni historia ya Yesu, kasome Chapter 4, chenye pages zaidi ya elfu tatu.
 
Sawa,endelea kusoma huenda utapata mengi zaidi,chapter 4 inazungumzia Yesu alikuwa anafanya nini ndani ya miaka 18 ambayo haijaandikwa kwenye bibilia,hapo unahisi alikuwa na elimu gani?
ukitaka kujua elimu ya Yesu ni lazima ujue kwa undani kuhusu mama yake-Maria alikuwa mtu wa namna gani kielimu. Hakuwa mama aliyekulia katika mazingira ya kimbumbumbu. unaweza ukasoma "The gospel of the birth of Mary" au "Protevangelion"

na kukuthibitishia kuwa Yesu hakuwa mbumbumbu ujue kuwa alikuwa anazungumza lugha zaidi ya moja:

1 - Kiyahudi ( kuwasiliana na Wayahudi wenzake)
2-Kiaramu (kuwasiliana na wasiyo wayahudi wa maeneo yao kama Wasamaria, na kiaramu ndiyo lugha kongwe ya kimataifa mashariki ya kati nyakati hizo, hata maneno yake ya mwisho msalabani alizungumza kwa kiaramu)
3-Kilatin (iliyokuwa lugha ya watawala- warumi wa wakati huo ushahidi ni pale alipozungumza na Pilato)

na inawezekana/yasemekana alikuwa anazungumza kiyunani (kigiriki) pia kama lugha iliyotumika sana na social class fulani kama leo tungesema middle class....hivyo ili awafikie watu wote ilimlazimu kujua lugha zote zilizozungumzwa wakati huo
 
ukitaka kujua elimu ya Yesu ni lazima ujue kwa undani kuhusu mama yake-Maria alikuwa mtu wa namna gani kielimu. Hakuwa mama aliyekulia katika mazingira ya kimbumbumbu. unaweza ukasoma "The gospel of the birth of Mary" au "Protevangelion"

na kukuthibitishia kuwa Yesu hakuwa mbumbumbu ujue kuwa alikuwa anazungumza lugha zaidi ya moja:

1 - Kiyahudi ( kuwasiliana na Wayahudi wenzake)
2-Kiaramu (kuwasiliana na wasiyo wayahudi wa maeneo yao kama Wasamaria, na kiaramu ndiyo lugha kongwe ya kimataifa mashariki ya kati nyakati hizo, hata maneno yake ya mwisho msalabani alizungumza kwa kiaramu)
3-Kilatin (iliyokuwa lugha ya watawala- warumi wa wakati huo ushahidi ni pale alipozungumza na Pilato)

na inawezekana/yasemekana alikuwa anazungumza kiyunani (kigiriki) pia kama lugha iliyotumika sana na social class fulani kama leo tungesema middle class....hivyo ili awafikie watu wote ilimlazimu kujua lugha zote zilizozungumzwa wakati huo
hapa nakubaliana na ww
 
ukitaka kujua elimu ya Yesu ni lazima ujue kwa undani kuhusu mama yake-Maria alikuwa mtu wa namna gani kielimu. Hakuwa mama aliyekulia katika mazingira ya kimbumbumbu. unaweza ukasoma "The gospel of the birth of Mary" au "Protevangelion"

na kukuthibitishia kuwa Yesu hakuwa mbumbumbu ujue kuwa alikuwa anazungumza lugha zaidi ya moja:

1 - Kiyahudi ( kuwasiliana na Wayahudi wenzake)
2-Kiaramu (kuwasiliana na wasiyo wayahudi wa maeneo yao kama Wasamaria, na kiaramu ndiyo lugha kongwe ya kimataifa mashariki ya kati nyakati hizo, hata maneno yake ya mwisho msalabani alizungumza kwa kiaramu)
3-Kilatin (iliyokuwa lugha ya watawala- warumi wa wakati huo ushahidi ni pale alipozungumza na Pilato)

na inawezekana/yasemekana alikuwa anazungumza kiyunani (kigiriki) pia kama lugha iliyotumika sana na social class fulani kama leo tungesema middle class....hivyo ili awafikie watu wote ilimlazimu kujua lugha zote zilizozungumzwa wakati huo
hapa nakubaliana na ww
 
Nakuuliza hivi, mtu akiamini ng'ombe ni Mungu aliyeumba ulimwengu na vyote, hiyo imani inamfanya ng'ombe awe kweli Mungu aliyeumba ulimwengu na vyote?
..hata wanaoamini vitu (kama ng,ombe) pia waamini kuna higher power beyond hivi vitu...na ndiyo essence ya hiki kitabu rejea nlichokwambia usome...na hujakielewa hadi sasa....soma bro.....
 
ukitaka kujua elimu ya Yesu ni lazima ujue kwa undani kuhusu mama yake-Maria alikuwa mtu wa namna gani kielimu. Hakuwa mama aliyekulia katika mazingira ya kimbumbumbu. unaweza ukasoma "The gospel of the birth of Mary" au "Protevangelion"

na kukuthibitishia kuwa Yesu hakuwa mbumbumbu ujue kuwa alikuwa anazungumza lugha zaidi ya moja:

1 - Kiyahudi ( kuwasiliana na Wayahudi wenzake)
2-Kiaramu (kuwasiliana na wasiyo wayahudi wa maeneo yao kama Wasamaria, na kiaramu ndiyo lugha kongwe ya kimataifa mashariki ya kati nyakati hizo, hata maneno yake ya mwisho msalabani alizungumza kwa kiaramu)
3-Kilatin (iliyokuwa lugha ya watawala- warumi wa wakati huo ushahidi ni pale alipozungumza na Pilato)

na inawezekana/yasemekana alikuwa anazungumza kiyunani (kigiriki) pia kama lugha iliyotumika sana na social class fulani kama leo tungesema middle class....hivyo ili awafikie watu wote ilimlazimu kujua lugha zote zilizozungumzwa wakati huo
Aisee,asante kwa elimu hii,kumbe Yesu alizugumza zaidi ya moja,nilikuwa sijui hii
 
Hicho kitabu kukisoma si mchezo. Kina pages zaidi ya 8900.

Hiyo ni Volume 1, bado Volume 2 na 3.

Njia zaidi ya kukisoma ni kupitia review za watu walioweza kukisoma. Kisha kupitia katika sehemu walizoelekeza. Kusema usome pages elfu nane inahitaji Commitment ya hali ya juu.

Na kwa akili zetu za Kibongo zilivyo za kivivu, wengi itawajazia tu katika storage za vifaa vyao.

Kama ni historia ya Yesu, kasome Chapter 4, chenye pages zaidi ya elfu tatu.
Mbona nimefutilia wanasema kina page 2,097? hizo 8,900 nadhani ni kwenye simu,hata hivyo bado ni kikubwa maana Bibilia ina around pages 1,200 japo zinaweza kutofautiana,ila pia ni ushauri mzuri kulenga kile unachohitaji kusoma na ukaanza nacho
 
Mbona nimefutilia wanasema kina page 2,097? hizo 8,900 nadhani ni kwenye simu,hata hivyo bado ni kikubwa maana Bibilia ina around pages 1,200 japo zinaweza kutofautiana,ila pia ni ushauri mzuri kulenga kile unachohitaji kusoma na ukaanza nacho
Ndiyo, kwenye simu. Kuipata hard Copy hapo Tanzania ni Mtihani Sheikh. Labda mtu aagize.

Biblia ni kigumu kwa sababu hakisomwi kama kitabu. Lenga unachikitaka haswa.
 
Ndiyo, kwenye simu. Kuipata hard Copy hapo Tanzania ni Mtihani Sheikh. Labda mtu aagize.

Biblia ni kigumu kwa sababu hakisomwi kama kitabu. Lenga unachikitaka haswa.
Kwa simu ni vigumu sana kusoma page zote hizo
 
Back
Top Bottom