Kuna mwana JF amesoma ''The Urantia Book"?

Kuna mwana JF amesoma ''The Urantia Book"?

Nimekueleza.

1. Mungu ni hadithi tu, kila utamaduni una hadithi yake ya Mungu. Nje ya hizi hadithi, Mungu hayupo.

2. Tamaduni za Uislamu, Ukristo, Uyahudi na nyingine nyingi, zina Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, hiyo ndiyo definition ya Mungu wao. Mungu huyu hayupo, kwa sababu dhana ya kuwapo kwake ina internal contradiction inayoonesha hayupo.

3. Nimekuambia kama una Mungu mwingine, tuambie ni yupi tumjadili hapa.

Unataka nini zaidi?
Nikikuthibitishia kuwa hadithi za biblia Ni za kweli utaamini uwepo wake?
 
Nikikuthibitishia kuwa hadithi za biblia Ni za kweli utaamini uwepo wake?
Hadithi gani za Biblia? Nimekutaka uanze na hadithi kubwa kuliko zote ya kwenye Biblia, kwamba Mungu yupo.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo kweli?

Maana huko kwingine sijui kulikuwa na Mfalme gani, kafanya nini, inawezekana kukawa na historia ya kweli, na mimi sijasema hadithi zote za Biblia si za kweli.

Nimesema hii hadithi ya kuwepo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote si ya kweli.

Unajua kusoma kwa ufahamu na kutofautisha in detail kile ninachoandika na kile unachofikiri wewe tu?

Maana naona unataka kwenda kujiokotezea hadithi yoyote ya Biblia na kusema ni ya kweli.

That is not my dispute.

Thibitisha hadithi ya kwamba kuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliyeumba ulimwengu.

Hiyo ndiyo hadithi ninayotaka uthibitishe kwamba ni ya kweli. Kwamba huyo Mungu yupo kweli.
 
Nikikuwekea contradictions zinazoonesha Biblia inavyojipinga yenyewe, utaweza kuzitatua?
Ndio nitaweza ila Tofauti hizo zisihusishe au zisiwe kati ya agano la kale na agano jipya
Kwa kua hayo Ni maboresho ya last version.


Naamaanisha I phone 6 na i phone 14 zote ni iphone katika nyakati Tofauti
 
Hadithi gani za Biblia? Nimekutaka uanze na hadithi kubwa kuliko zote ya kwenye Biblia, kwamba Mungu yupo.

Unaweza kuthibitisha Mungu yupo kweli?

Maana huko kwingine sijui kulikuwa na Mfalme gani, kafanya nini, inawezekana kukawa na historia ya kweli, na mimi sijasema hadithi zote za Biblia si za kweli.

Nimesema hii hadithi ya kuwepo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote si ya kweli.

Unajua kusoma kwa ufahamu na kutofautisha in detail kile ninachoandika na kile unachofikiri wewe tu?

Maana naona unataka kwenda kujiokotezea hadithi yoyote ya Biblia na kusema ni ya kweli.

That is not my dispute.

Thibitisha hadithi ya kwamba kuna Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, aliyeumba ulimwengu.

Hiyo ndiyo hadithi ninayotaka uthibitishe kwamba ni ya kweli. Kwamba huyo Mungu yupo kweli.
Vipi nikikuonyesha mabaki ya safina na yako mazingira ya mbali na vyanzo vya maji.


And it's out of human being over that time utasema nini?
 
Ndio nitaweza ila Tofauti hizo zisihusishe au zisiwe kati ya agano la kale na agano jipya
Kwa kua hayo Ni maboresho ya last version.


Naamaanisha I phone 6 na i phone 14 zote ni iphone katika nyakati Tofauti
Hujaziona ushasema utaweza?

Kitabu cha Mungu kinahitaji maboresho kwani Mungu alikuwa hajui yanayokuja?

Unaelewa ukishasema kitabu kinahitaji maboresho umekubali hicho ni kitabu cha watu tu, si cha Mungu?
 
Kitabu kigumu sana,napenda vitabu ila hiki hapana! Labda nitakisoma nikikua
 
Kitu ambacho kipo nje ya uwezo wa binadamu kikitendeka na wewe ukathibitisha hakuna janja yeyote iliyofanyika wewe utaritafasiri vp jambo Hilo.
Hapo kwa mfano, kipi kitakuwa nje ya uwezo wa mwanadamu?

Unajuaje kipi kipo ndani na kipi kipo nje ya uwezo wa mwanadamu?

Mwanadamu ni nani kwanza?
 
Hapo kwa mfano, kipi kitakuwa nje ya uwezo wa mwanadamu?

Unajuaje kipi kipo ndani na kipi kipo nje ya uwezo wa mwanadamu?

Mwanadamu ni nani kwanza?
Ukimuona binadamu anapaa bila msaada wa kifaa chochote.
 
Back
Top Bottom