Kuna mwana JF amesoma ''The Urantia Book"?

Kuna mwana JF amesoma ''The Urantia Book"?

Anakutoa kwenye reli maana hajajibu swali la Mungu ni nini mkuu.
Nimekwambia Mungu ni character wa hadithi. Hadithi ziko nyingi, kila tamaduni kubwa zina hadithi zao za Mungu. Ndiyo maana kuna dini nyingi.

Nimekwambia kama unabisha, thibitisha Mungu si hadithi tupu. Tatua logical contradictions kwenye dhana za uwepo wa Mungu kama Epicurean Paradox, tuambie Mungu wako ni yupi tumchunguze na kumhakiki.

Unauliza swali huku una jibu lako tayari, ukipewa jibu tofauti na jibu lako ulilokuja nalo mfukoni unakataa?
 
Mnao-argue na Kiranga mnakwama sehemu moja. Mmeomba awape tafsiri ya "Mungu", amejibu kwamba mungu ni character wa kufikirika alieundwa na watu iwa sababu alizozitaja.

Nashangaa bado mnataka atoe tafsiri nyingine ya "Mungu". Hapo kuna mawili, ni either kuna tafsiri yetu ambayo mlitegemea Kiranga aiseme, au hamjaridhika na tafsiri aliyoitoa kwa maana kwamba iko na mapungufu!

For the sake of a good discussion, mnatakiwa kutoa mapungufu kwenye tafsiri aliyoiweka Kiranga, au mumtake aithibitishe tafsiri yake kwa maana kwamba atoe uthibitisho kwamba Mungu ni character wa kufikirika!

Nadhani mkifanya hivyo, mjadala utaendelea vizuri. Niko pembeni hapa, nawafuatilia kwa karibu kabisa!
Watu wana majibu yao mfukoni, ukiwapa majibu tofauti wanakataa.

Nimewaambia Mungu ni character wa story, nimewapa nafasi ku orove otherwise kama hawakubaliani nami.

Mpaka sasa hakuna mtu aliye prove kwamba Mungu ana exist nje ya stories tu.

Hakuna aliyethibitisha.

Kwa sababu huyo Mungu hayupi nje ya stories .

Na bado nasisitiza, anayebisha athibitishe otherwise.
 
Haya thibitisha kuwa maana ua neno Mungu Ni hadithi bila kuacha shaka yoyote?

Kumbe Erick shigongo huwa anatunga Mungu nzuri sana za kusisimua sivyo
Nimekwambia hivi, kama unasema Mungu ni zaidi ya hadithi, thibitisha hilo.

Mpaka sasa umeshindwa.

Kwa sababu Mungu ni hadithi tu.
 
Mkuu wewe mbona kichwa chako nikigumu kuelewa Nimekuuliza tunatumia logic ipi kupata maana sahihi ya Neno Mungu ?

We unasema wa biblia na Qur'an Mimi sijauliza Mungu gani nataka maana ya Mungu
Mboka akili yako Ni nzito sana!!

Ukishindwa waombe msaada kina scar wakusaidie.
Basically huwa tuna define the same exact way mnavyo define nyinyi ila utofauti ni kuwa sisi tunaanza na neno "fictional" mwanzoni mwa maelezo

Hili swala nishawahi kulitolea ufafanuzi humu

Mara nyingi kwenye mijadala inayowakutanisha Atheists na Theists, Atheists wamejikuta wakiambiwa watoe maana ya Mungu kwa namna yao wanayoijia wao.

Sasa swali hili linaweza kuonekana kama ni swali la kiudadisi (curious) kutoka kwa anayeamini, lakini ukweli ni kwamba swali hili typically linakuwa katika mfumo mmoja unaitwa "gotcha"

Aina ya maswali ambayo yanaulizwa ili kumtega mtu. Kama atheist akashindwa kutoa maana ya kile ambacho wamedai kutokiamini, then hoja itayofuata hapo ni kuwa atheists hawana justification ya kusema kitu fulani hakipo au hawakiamini.

Lakini ikatokea atheist amejibu kwa usahihi maana ya kile wasicho kiamini, hoja itayofuata hapo ni kuwa theist watakuja kupoint nukta chache kuonesha tofauti wa kile ambacho atheist wanaki define na kile ambacho wao wanakiamini, na kisha kusema Atheists hawajui wanachokipinga.

Utawasikia "unadai huamini concept hiyo ya uwepo wa Mungu, lakini ukweli ni kwamba hiyo sio maana halisi ya concept ya Mungu"

Kiukweli dhana ya uwepo wa Mungu ni dhana ya zao la ujinga inaweza kuwa dismissed hata na mtoto mdogo au hata half brain.

*****************************†**************
Put yourself in our position

Je Theists mna amini Santa Claus?

Kama jibu ni hapana, je theists mnaweza kufafanua maana ya Santa Claus ni nini? Na kitu gani kinawajia akilini mnaposema kuwa hamuanini Santa Claus?

Je huamini Santa Claus baada ya picha iliyooneshwa katika matangazo ya Cocacola ambayo ilitokana na shairi maarufu la Clement Moore?

Lakini vipi ikiwa ningesema kwamba Santa Claus halisi alikuwa "Father Christmas"

Au vipi kama nikikuambia Santa Claus ya ukweli ilikuwa ni ile ya sinterklaas ambaye, licha ya kuwa chanzo kikuu au nembo maarufu ya Krismasi ya Santa Claus, huonekana na kutenda tofauti sana na toleo la Clement Moore?

Je, maelezo kuhusu toleo gani la Santa Claus yana matter kwa Theists ambaye amedai kutoamini Santa Claus ipo real?

Au inatosha kufafanua Santa Claus kwa upana zaidi kama mtu wa hadithi (mythical) kibabu mwenye midevu myeupe mwenye miujiza ambaye huja majira ya karibu na msimu wa Krismasi na kuleta zawadi kwa watoto?

NB: Na ukumbuke tunaweza tukalirudia hili zoezi kwa idadi yeyote ya vitu ambavyo unadai kutoviamini
 
Ukikataa logic, umekubali chaos.

Yani, umekubali ulimwengu ambao:-
1. Mungu yupo.
2. Mungu hayupo.
3.Mungu yupo na hayupo kwa wakati huohuo.
4. Mungu yupo na hayupo kwa wakati huo huo, lakini hilo linamaanisha yupo.
5. Mungu yupo na hayupo kwa wakati huohuo, lakini hilo linamaanisha hayupo.
6. Hayupo ni yupo, Mungu hayupo, na hilo linamaanisha yupo.
7. Yupo ni hayupo, Mungu yupo, na hilo linamaanisha hayupo
8. Mungu yupo kama hayupo.
9.Mungu hayupo kama yupo.
10.Yote hayo ya juu kwa pamoja.
Hapa umeongea Kama Mandonga mtu kazi.

Hayupo Kama yupo na akiwepo ndiyo yupo tu.
 
Hapa umeongea Kama Mandonga mtu kazi.

Hayupo Kama yupo na akiwepo ndiyo yupo tu.
Ndiyo namueleza kwamba logic is our tool in discerning sense from nonsense.

Out of logic, everything is a chaos of meaninglessness.

Na kwa logic, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu wenye mabaya ni contradiction.

Kwanza Mungu muweza yote tu ni contradiction.

Na contradictons hizi kutoweza kuwa resolved ni ushahidi kwamba Mungu huyo hayupo.

Ukikubali ulimwengu ambao una contradiction, ndiyo unakwenda kwenye hiyo chaotic meaninglessness.

Ushaelewa?
 
Ndiyo namueleza kwamba logic is our tool in discerning sense from nonsense.

Out of logic, everything is a chaos of meaninglessness.

Na kwa logic, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu wenye mabaya ni contradiction.

Kwanza Mungu muweza yote tu ni contradiction.

Na contradictons hizi kutoweza kuwa resolved ni ushahidi kwamba Mungu huyo hayupo.

Ukikubali ulimwengu ambao una contradiction, ndiyo unakwenda kwenye hiyo chaotic meaninglessness.

Ushaelewa?
Kila kitu mnasema ni logic ila mkuja kwenye mwanzo wa ulimwengu mnasema ilikuwa ni bahati mbaya hakukuwa na logic.
Hamja kidhi hata kuitwa Nihilist ambao ndio true Atheist
 
Ndiyo namueleza kwamba logic is our tool in discerning sense from nonsense.

Out of logic, everything is a chaos of meaninglessness.

Na kwa logic, Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote aliyeumba ulimwengu wenye mabaya ni contradiction.

Kwanza Mungu muweza yote tu ni contradiction.

Na contradictons hizi kutoweza kuwa resolved ni ushahidi kwamba Mungu huyo hayupo.

Ukikubali ulimwengu ambao una contradiction, ndiyo unakwenda kwenye hiyo chaotic meaninglessness.

Ushaelewa?
"Ulimwengu wenye mabaya"

Hapa nataka nikufahamishe kwamba kwa Mungu Hakuna mema na mabaya Kama unavyopreach hapa. Ila Kuna vyenye kuleta maana (sensical) na visivyo maana (none sensical).

Ukisoma Bible Kuna wakati Mungu alimwamuru Samuel kuua na Samuel akatenda kinyume chake,alipata adhabu. Hapa kwa Mungu kuua lilikuwa ni Jambo kinaloleta maana.

Mema na mabaya hayaexist kwa Mungu.
 
Nimekwambia hivi, kama unasema Mungu ni zaidi ya hadithi, thibitisha hilo.

Mpaka sasa umeshindwa.

Kwa sababu Mungu ni hadithi tu.
Nimekuuliza tunatumia muongozo au mzani upi kupata maana ya sahihi ya Neno Mungu


Umejibu Ni hadithi sawa nipe verified source inayo thibitisha hilo.
 
"Ulimwengu wenye mabaya"

Hapa nataka nikufahamishe kwamba kwa Mungu Hakuna mema na mabaya Kama unavyopreach hapa. Ila Kuna vyenye kuleta maana (sensical) na visivyo maana (none sensical).

Ukisoma Bible Kuna wakati Mungu alimwamuru Samuel kuua na Samuel akatenda kinyume chake,alipata adhabu. Hapa kwa Mungu kuua lilikuwa ni Jambo kinaloleta maana.

Mema na mabaya hayaexist kwa Mungu.
Nakwambia hivi, hizo ni stories tu, huyo Mungu hayupo.

Ndiyo maana nje ya hizo stories huwezi kuthibitisha huyo Mungu yupo.

Kama kwa Mungu hakuna mabaya na mema, kwa nini mnasema wanaofanya dhambi wataadhibiwa na wanaofanya mema wataenda mbinguni?

Ttaizo ni kwamba, mmemtunga Mungu wa fiction, halafu mkiona contradiction mnampa huyo Mungu special status aepuke hiyo contradiction kwa kile Wagiriki wa kale walichokiita "deus ex machina".


 
Basically huwa tuna define the same exact way mnavyo define nyinyi ila utofauti ni kuwa sisi tunaanza na neno "fictional" mwanzoni mwa maelezo

Hili swala nishawahi kulitolea ufafanuzi humu

Mara nyingi kwenye mijadala inayowakutanisha Atheists na Theists, Atheists wamejikuta wakiambiwa watoe maana ya Mungu kwa namna yao wanayoijia wao.

Sasa swali hili linaweza kuonekana kama ni swali la kiudadisi (curious) kutoka kwa anayeamini, lakini ukweli ni kwamba swali hili typically linakuwa katika mfumo mmoja unaitwa "gotcha"

Aina ya maswali ambayo yanaulizwa ili kumtega mtu. Kama atheist akashindwa kutoa maana ya kile ambacho wamedai kutokiamini, then hoja itayofuata hapo ni kuwa atheists hawana justification ya kusema kitu fulani hakipo au hawakiamini.

Lakini ikatokea atheist amejibu kwa usahihi maana ya kile wasicho kiamini, hoja itayofuata hapo ni kuwa theist watakuja kupoint nukta chache kuonesha tofauti wa kile ambacho atheist wanaki define na kile ambacho wao wanakiamini, na kisha kusema Atheists hawajui wanachokipinga.

Utawasikia "unadai huamini concept hiyo ya uwepo wa Mungu, lakini ukweli ni kwamba hiyo sio maana halisi ya concept ya Mungu"

Kiukweli dhana ya uwepo wa Mungu ni dhana ya zao la ujinga inaweza kuwa dismissed hata na mtoto mdogo au hata half brain.

*****************************†**************
Put yourself in our position

Je Theists mna amini Santa Claus?

Kama jibu ni hapana, je theists mnaweza kufafanua maana ya Santa Claus ni nini? Na kitu gani kinawajia akilini mnaposema kuwa hamuanini Santa Claus?

Je huamini Santa Claus baada ya picha iliyooneshwa katika matangazo ya Cocacola ambayo ilitokana na shairi maarufu la Clement Moore?

Lakini vipi ikiwa ningesema kwamba Santa Claus halisi alikuwa "Father Christmas"

Au vipi kama nikikuambia Santa Claus ya ukweli ilikuwa ni ile ya sinterklaas ambaye, licha ya kuwa chanzo kikuu au nembo maarufu ya Krismasi ya Santa Claus, huonekana na kutenda tofauti sana na toleo la Clement Moore?

Je, maelezo kuhusu toleo gani la Santa Claus yana matter kwa Theists ambaye amedai kutoamini Santa Claus ipo real?

Au inatosha kufafanua Santa Claus kwa upana zaidi kama mtu wa hadithi (mythical) kibabu mwenye midevu myeupe mwenye miujiza ambaye huja majira ya karibu na msimu wa Krismasi na kuleta zawadi kwa watoto?

NB: Na ukumbuke tunaweza tukalirudia hili zoezi kwa idadi yeyote ya vitu ambavyo unadai kutoviamini
Sawa nimekuelewa nambie sasa Nini Maana ya neno Mingu.

Kama unaugana na kiranga eti maana ya neno Mungu ni hadithi nipe reference.
 
Nimekuuliza tunatumia muongozo au mzani upi kupata maana ya sahihi ya Neno Mungu


Umejibu Ni hadithi sawa nipe verified source inayo thibitisha hilo.
The Epicurean Paradox hujaitatua bado, hii inaonesha kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa kuanzia (ambaye anajumuisha Mungu wa Biblia, wa Quran na wengine wengi) ni story tu.

Kama unabisha, tatua paradox hii, tatua contradictions hizi, kama hujaelewa uliza usaidiwe.

epicurean_paradox.jpg
 
Nakwambia hivi, hizo ni stories tu, huyo Mungu hayupo.

Ndiyo maana nje ya hizo stories huwezi kuthibitisha huyo Mungu yupo.

Kama kwa Mungu hakuna mabaya na mema, kwa nini mnasema wanaofanya dhambi wataadhibiwa na wanaofanya mema wataenda mbinguni?

Ttaizo ni kwamba, mmemtunga Mungu wa fiction, halafu mkiona contradiction mnampa huyo Mungu special status aepuke hiyo contradiction kwa kile Wagiriki wa kale walichokiita "deus ex machina".


Sawa kiranga nimenyoosha mikono kwenye huu mjadala.

Ila mkuu,

Hauna aftatu hapo nikatoe sadaka kesho kanisani?
 
Sawa kiranga nimenyoosha mikono kwenye huu mjadala.

Ila mkuu,

Hauna aftatu hapo nikatoe sadaka kesho kanisani?
Unatoa sadaka ya nini wakati unadai kuna Mungu anajua kila kitu, anaweza kila kitu na ana upendo wote?

Ukishatoa sadaka tu umepiga kura ya kukosa imani kwa huyo Mungu.

Otherwise muombe tu Mungu amalize shida zote.
 
The Epicurean Paradox hujaitatua bado, hii inaonesha kwamba Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote, kwa kuanzia (ambaye anajumuisha Mungu wa Biblia, wa Quran na wengine wengi) ni story tu.

Kama unabisha, tatua paradox hii, tatua contradictions hizi, kama hujaelewa uliza usaidiwe.

View attachment 2588845
Nataka Kwanza tujue maana ya neno Mungu

Ili niitatue sasa hiyo logic ya Epicurean paradox
Ambayo ilikua ni reasoning ya kijinga kabisa.
 
Ukimuomba mtu hela ya kula, ushajitanabahisha kwamba humuamini Mungu.

Otherwise ungemuomba Mungu tu akuteremshie chakula.

Sasa wewe unamuamini Mungu au Kiranga?
Kiranga bana.

Mkuu natamani Sana siku moja nikuone unafananaje,Kuna nyuzi zako za zamani unaonyesha ulikuwa mdau Sana wa muziki wa Bongo,unaonyesha enzi hizo ulikuwa unakuja home Mara kwa Mara.
 
Nataka Kwanza tujue maana ya neno Mungu

Ili niitatue sasa hiyo logic ya Epicurean paradox
Ambayo ilikua ni reasoning ya kijinga kabisa.
Kwa hiyo wewe unaamini Mungu bila ya kujua maana ya Mungu?

Nimekueleza kwamba.

1. Mungu ni hadithi tu, kila tamaduni ina hadithi yake ya Mungu.
2. Kwa kuanzia, nimemuongelea Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote. Hiyo ndiyo definition ya Mungu kwa watu wengi, wakiwamo wanaofuata Uislamu,Ukristo,Uyahudi na dini nyingine nyingi.Huyu nimeonesha hayupo, kwa sababu ana internal contradictions zilizooneshwa na Epicurean Paradox.
3.Nimekupa nafasi na wewe umtaje Mungu mwingine yeyote tumjadili.

Sasa hapo unachotaka zaidi ni kipi?
 
Back
Top Bottom