Kuna muda unafika unatambua ile misimamo ya mababu kuhusu Elimu na wanawake kama inakuingia hivi!

Attelan

JF-Expert Member
Oct 12, 2023
434
701
Maisha yanasonga sana, kuna muda mambo mengi yanakupita na wewe inajikuta upo kwenye barabara yako ya pekee.

Ngoja niende moja kwa moja kwenye mada, hapa ninazungumzia kuhusu mitazamo ya wazee wakale hasa hasa mababu zetu kuhusu Elimu na watoto wa kike au wanawake.

Kwa kipindi hicho wazee ambao sisi tunawaita 'wahenga' walikuwa wakiamini kwamba, wanawake hawafai kusoma shule kwani mwisho wa siku wangeishia kuolewa tu!

Fast-forward miaka ya sasa, wanawake wanapata haki ya kusoma ila kila ukiwaangalia jinsi wanavyofanya mambo yao na kuyaamua wakiegemea au kuifanya hiyo Elimu waliyoipata kama sababu ya maamuzi yao unakuja kugundua kwamba "wahenga" wa kipindi hicho cha zamani waliona mbali sana.
 
Maisha yanasonga sana, kuna muda mambo mengi yanakupita na wewe inajikuta upo kwenye barabara yako ya pekee.

Ngoja niende moja kwa moja kwenye mada, hapa ninazungumzia kuhusu mitazamo ya wazee wakale hasa hasa mababu zetu kuhusu Elimu na watoto wa kike au wanawake.

Kwa kipindi hicho wazee ambao sisi tunawaita 'wahenga' walikuwa wakiamini kwamba, wanawake hawafai kusoma shule kwani mwisho wa siku wangeishia kuolewa tu!

Fast-forward miaka ya sasa, wanawake wanapata haki ya kusoma ila kila ukiwaangalia jinsi wanavyofanya mambo yao na kuyaamua wakiegemea au kuifanya hiyo Elimu waliyoipata kama sababu ya maamuzi yao unakuja kugundua kwamba "wahenga" wa kipindi hicho cha zamani waliona mbali sana.
ni mpango wa shetani
 
Wanawake hawakuumbwa kwa ajili ya kusoma au kufanya kazi yoyote zaidi ya kuzaa na kunyonyesha watoto, sema hizi kampeni za kudai haki sawa kwa wanawake zimebeba ajenda nyingi za kishetani......yaani wanataka mambo yawe kinyume, badala ya mwanaume kutawala, kuongoza na kuamua mambo, mwanamke ndo apewe hayo mamlaka...​
 
Pamoja na changamoto ila wanawake wanamambo mengi zaidi ya kuolewa ambayo ni msaada kwa jamii. Kuna Dr wa kike ameshafanya upasuaji wa mafanikio mara nyingi tu. Huyu huwezi jutia kumpa elimu eti kwa sababu kaolewa.
 
Wanawake hawakuumbwa kwa ajili ya kusoma au kufanya kazi yoyote zaidi ya kuzaa na kunyonyesha watoto, sema hizi kampeni za kudai haki sawa kwa wanawake zimebeba ajenda nyingi za kishetani......yaani wanataka mambo yawe kinyume, badala ya mwanaume kutawala, kuongoza na kuamua mambo, mwanamke ndo apewe hayo mamlaka...​

Umeongea kama nani huko madrasa
 
Back
Top Bottom