SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,432
- 23,753
- Thread starter
- #21
True. Ila ukisoma vema utagundua kuna watu walikuwa wanafahamu mchezo mzima ila kuna mkono uliwakinga.inafikirisha sana hii
Sent using Jamii Forums mobile app
True. Ila ukisoma vema utagundua kuna watu walikuwa wanafahamu mchezo mzima ila kuna mkono uliwakinga.inafikirisha sana hii
Ndugu, wengine ni passion tu, twapenda kufuatilia na personally napenda kuandika pia. Hivyo Tunapokuwa tunakutana na mambo huko, huyafuatilia kwenye vyanzo mbalimbali na kutengeneza makala. Passion hutangulia, pesa huja.HV mnaoleta story ndefu HV mnaandika kwa simu au n copied abs pasted ...maana mm nikiandika kdg nachoka...half hz mambo znahitaj uwe MTU wa kufuatilia mambo haswa,mnawezaje kujitoa namna hyo ndg zangu!!? Tena bila kulipwa!!!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Sana. Kadiri tupatapo wasaa tutapitia mkuuDunia ina visa vingi sana.
Nashukuru saba ndugu yangu kwa kuwa pamoja nami na kupitia kazi zangu kadhaa. Haki wanipa moyo na nguvu za kufanya tena na tena.SteveMollel
Mkuu asante kwa bandiko lako makin, mm ni miongoni mwa watu ambao huvutiea sana ma uandishi wako unajua kumfanya mtu asichoke kusoma bandiko lako..
Steve mbona nw dayz huandiki hadithi, au kazi zime*uwa nyingi, tupia walao wale wagen wajue unachokipaji kikubwa cha uandishi wa riwaya, tena kwa mapngilio mzr..
Nikupongeze kwa kazi nzr,...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu asant kwa reply yakoNashukuru saba ndugu yangu kwa kuwa pamoja nami na kupitia kazi zangu kadhaa. Haki wanipa moyo na nguvu za kufanya tena na tena.
Kuhusu riwaya, bado naandika, siwezi kuacha kufanya vivyo. Ni kitu kinachofanya maisha yangu yamalizike (complete). Hata sasa bado naandika riwaya, kwa majina NYUMA YAKO (bado haijamalizika) na UNA NINI LAKINI MELISSA? (Riwaya fupi).
Utakapofika wasaa, nitayaleta hapa. Ila huanzia whatsapp kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasikitisha sanaGazeti litangazalo kupotea kwa watoto wa bwana George SodderView attachment 840499
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntajitahidi mkuu, ila muda si mrefu ntatuma makala nyingine. Kuwa karibu na kama waweza unifollow uwe unapata updatesMkuu asant kwa reply yako
Hlo group linavigezo? Je nam naweza kuwa miongoni mwa member hao? Ni pm no yako ntakutafuta...
Ni tag pia kila utoapo kazi zako...
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante Shunie. Umeziona na zingine zaidi ya hii!Inasikitisha sana
Tivu sante
Na MTOTO MFU NDANI YA BOKSI?Nimeisoma na nyingine ya maji kumeza watu tivu
Sana mkuu. Wamekufa wakiwa hawajui watoto wao wapo wapi. Hata mpaka sasa hakuna taarifa zaidi.Kweli binadamu wabaya, yaani kuwatenganisha watoto na wazazi wao. Bila shaka waliishi kwa uchungu usiomithirika mpaka mwisho wa uhai wao.
Bilashaka aliyepanga huo mkasa alikusudia kuitesa kisaikolojia familia ya hiyo! Na alifanikiwa sana.Sana mkuu. Wamekufa wakiwa hawajui watoto wao wapo wapi. Hata mpaka sasa hakuna taarifa zaidi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila ni wazi bwana Sodder alikuwa mmoja wa washiriki wa makundi ya kimafia. Hata huyo mtoto wake atakuwa amekuwa recruited humo. Refer kwenye tendo la mpelelez wa mwsho kutorudi tena tangu atumwe kumtafutaBilashaka aliyepanga huo mkasa alikusudia kuitesa kisaikolojia familia ya hiyo! Na alifanikiwa sana.