Kuna mtu anaiua CCM kwa speed ya rocket

Kuna mtu anaiua CCM kwa speed ya rocket

Jmannnnnn nimesema hata farao wa misri alikuwa hivihivi mwisho wa siku chaaaaaaaliiiiiiiiiiiiiiiiii...........karata ya mungu huwezi cheza...





Ukiona kiza totoro ndo kunakaribia kukucha...
 
Mimi nasema hivi wanywa viroba wa CHADEMA mdtegemee kuja kushika dola ya nchi hii msahau kabisa watanzania wanajitambua hawawezi kukubali mtwae nchi kwanza ni matapeli manafiki mazandiki makubwa hatuwezi kuwapa nchi hii watu kama nyie mtaendelea kuwa wapinzani daima
 
Huwezi kuona watoto wako wanakufa njaa uwaambie kufeni tu ni mzazi wa aina gani huyu??Mvua zimechelewa sana na maeneo mengine walilima wakapanda mvua zikakata kabla ya muda mazao yao yamekauka unategemea hata mbegu wanazo??

Nilitegemea angekuwa na utu wa kuwapa Mbegu hao wakulima na chakula cha kuwatosheleza kusubiria mazao yao.

Hata yeye anapata chakula kutoka kwa hao hao wakulima wa jembe la mkono.

Ni mpumbavu peke yake atakubaliana na hizo hotuba za Magufuli.HAzina Hekima,Heshima wala Busara kwa sisi RAIA,anafikiri miaka yote hiyo tulikuwa tunalishwa na serikali??
Kauli zake zinakera sana
 
Kama anadhani atafanikiwa kwa style hii,bwana huyu nampa pole sana na ajue tu yote haya yanayoendelea kwa sasa ni "kete turufu" kwa upinzani na ni cancer inayoua taratibu chama chake.

Kiukweli kadri siku zinavyokwenda ndivyo wengi wanagundua hafai na wengi wanaacha kumuunga mkono na mwisho wa siku atabaki na supprt ya kikundi kidogo sana cha watu wanaomuunga mkono na hawa watakuwa ni wale wanaonufaika na uwepo wake na hata hao sio wote watakaokuwa wanafurahishwa na matendo yake bali ni katika kulinda tu vibarua vyao.

Yuko gizani na haoni kilicho mbele yake mpaka pale yatakapotimia kwakuwa hivi ndivyo ilivyopangwa kwamba kupitia yeye Taifa litakombolewe.

Usiniulize imeandikwa katika kitabu gani na ni katika mstari gani bali subiri kuona haya yakitimia.

Mungu ana makusudi na watu wake na ana njia nyingi anazotumia kufanikisha mipango yake kwa faida ya watu wake.

Time will tell.
Very wrong. Toka ameingia CCM imeshinda kila uchaguzi. Utabiri wako utakuwa kinyume!
 
Acha ife tu... Tena anaichelewesha mbona
 
Kama anadhani atafanikiwa kwa style hii,bwana huyu nampa pole sana na ajue tu yote haya yanayoendelea kwa sasa ni "kete turufu" kwa upinzani na ni cancer inayoua taratibu chama chake.

Kiukweli kadri siku zinavyokwenda ndivyo wengi wanagundua hafai na wengi wanaacha kumuunga mkono na mwisho wa siku atabaki na supprt ya kikundi kidogo sana cha watu wanaomuunga mkono na hawa watakuwa ni wale wanaonufaika na uwepo wake na hata hao sio wote watakaokuwa wanafurahishwa na matendo yake bali ni katika kulinda tu vibarua vyao.

Yuko gizani na haoni kilicho mbele yake mpaka pale yatakapotimia kwakuwa hivi ndivyo ilivyopangwa kwamba kupitia yeye Taifa litakombolewe.

Usiniulize imeandikwa katika kitabu gani na ni katika mstari gani bali subiri kuona haya yakitimia.

Mungu ana makusudi na watu wake na ana njia nyingi anazotumia kufanikisha mipango yake kwa faida ya watu wake.

Time will tell.
Sasa kama anaiua ccm wewe kinakuuma nini?si ufurahie kwa kukaa kimya ungoje ccm ife?unavyopiga kelele unastua tufanye mabadiliko ili ufaidike na kuondoka kwake au ufaidike na ccm kuimarika?
Tuacheni na ccm yetu,tumedhamiria kufanya mabadiliko ya kweli,tutapimwa 2020
 
Kama anadhani atafanikiwa kwa style hii,bwana huyu nampa pole sana na ajue tu yote haya yanayoendelea kwa sasa ni "kete turufu" kwa upinzani na ni cancer inayoua taratibu chama chake.

Kiukweli kadri siku zinavyokwenda ndivyo wengi wanagundua hafai na wengi wanaacha kumuunga mkono na mwisho wa siku atabaki na supprt ya kikundi kidogo sana cha watu wanaomuunga mkono na hawa watakuwa ni wale wanaonufaika na uwepo wake na hata hao sio wote watakaokuwa wanafurahishwa na matendo yake bali ni katika kulinda tu vibarua vyao.

Yuko gizani na haoni kilicho mbele yake mpaka pale yatakapotimia kwakuwa hivi ndivyo ilivyopangwa kwamba kupitia yeye Taifa litakombolewe.

Usiniulize imeandikwa katika kitabu gani na ni katika mstari gani bali subiri kuona haya yakitimia.

Mungu ana makusudi na watu wake na ana njia nyingi anazotumia kufanikisha mipango yake kwa faida ya watu wake.

Time will tell.
Sasa kama anaiua ccm wewe kinakuuma nini?si ufurahie kwa kukaa kimya ungoje ccm ife?unavyopiga kelele unastua tufanye mabadiliko ili ufaidike na kuondoka kwake au ufaidike na ccm kuimarika?
Tuacheni na ccm yetu,tumedhamiria kufanya mabadiliko ya kweli,tutapimwa 2020
 
Unaweza kua sahihi kwamba CCM inakufa, ila kumjua anaeiua wakati chama kina taratibuzake imejiwekea, ikiwemo kuongoza nchi kwa Ilani yao ya uchaguzi, ambayo inavigezo vya kupima utekelezaji wake, sioni jinsi ambavyo zigo la kikiua chama atabebeshwa mtu mmoja. Kuna vikao ambavyo vinamaweza kupima muelekeo wa utekelezaji wa seza zake, kama watakua wameona kunamtu amekitoa chama ktk dira yake wakanyamaza kimya then hao ndio wanashida.
Ila pia tulioko nje ya CCM tunafanya nini kusaidia kuokoa jahazi la anguko la nchi, kwasababu najua chama kilichopo madarakani kikianguka kitaenda na sisi wengine "in a way".
Scale iliyopima na kuona anguko hili la CCM itumike kupima jinsi opposition wanavyo invest ktk weekness hiyo ya CCM.
 
Halafu 2020 Magufuli atawagaragaza kwa kipigo cha mbwa mwizi mje tena hapa kulia lia kuwa mmeibiwa kura sisi hatuangalii sura hata agombee nani sisi ushindi tumezaliwa kushinda na si kushindwa iwe jua ama mvua ushindi lazima
Kwa faida gani huku nchi ikiendelea kuwa taabani !!
 
Kama anadhani atafanikiwa kwa style hii,bwana huyu nampa pole sana na ajue tu yote haya yanayoendelea kwa sasa ni "kete turufu" kwa upinzani na ni cancer inayoua taratibu chama chake.

Kiukweli kadri siku zinavyokwenda ndivyo wengi wanagundua hafai na wengi wanaacha kumuunga mkono na mwisho wa siku atabaki na supprt ya kikundi kidogo sana cha watu wanaomuunga mkono na hawa watakuwa ni wale wanaonufaika na uwepo wake na hata hao sio wote watakaokuwa wanafurahishwa na matendo yake bali ni katika kulinda tu vibarua vyao.

Yuko gizani na haoni kilicho mbele yake mpaka pale yatakapotimia kwakuwa hivi ndivyo ilivyopangwa kwamba kupitia yeye Taifa litakombolewe.

Usiniulize imeandikwa katika kitabu gani na ni katika mstari gani bali subiri kuona haya yakitimia.

Mungu ana makusudi na watu wake na ana njia nyingi anazotumia kufanikisha mipango yake kwa faida ya watu wake na njia nyingine huwa ni chungu zeenye taabu na mateso mengi kama tunavyoshuhudia sasa katika nyakati hizi za mpito.

Time will tell.
Tangu lini wewe ukaionea huruma CCM?,kama inakufa si ushangilie inakupa unafuu wewe?
 
Kamanda salary slip endelea kuota mchana hivyo hivyo, hata matokeo ya chaguzi ndogo majuzi ccm kata 20 ukawa kata 1 ni ushahidi tosha wa ndoto yako!
Hayo yote ni mpango wa Mungu ili aendelee kujisahau na kuongeza kiburi.Inahitaji kutafakari kujua ukweli huu.
 
Kwa hiyo kama ccm inkufa wapinzani mnajipangaje kuchukua nchi.?
Watajipanga saa ngapi kuchukua nchi badala ya kujenga chama wanashinda mahakamani kwa makesi lukuki ya kujitakia?,watakuja shutka kumekucha waanze kulia wameibiwa kura
 
Sasa hiyo si ndio furaha yenu ccm ikifa?

Acheni uoga wakuu ninyi semeni tu kwamba awamu hii mmebanwa, mbona simple?
 
Mnaoona raisi anaharibu ni nyie mnaoshinda mnaanzisha threads 24/7 humu,baada ya kujitoa ufahamu na kuifanya JF kama ajira yenu,kwa wapiga kura walio wengi ambao wanaendelea na shughuli zao za kila siku maisha yanasonga tu.Hakuna baya alilofanya JPM kiasi cha kusema anaua chama ambalo upinzani wameonyesha kulirekebisha majimboni mwao mpaka tukawaona wanafaa kuliko CCM.Tupe mfano wa kampeni ya maendeleo jimbo lolote iliyofanywa na mbunge wa upinzani jimboni kwake hivi karibuni ya kutatua kero za wananchi wake?,.,mlivyowapuuzi mmekalia propaganda tu,mara Bashite,Wema,Steve Nyerere,Lema,Lissu.. Huku siku zinasonga tu,wabunge wa upinzani wanachezeshwa ngoma wasioijua na wao wanacheza tu,kila siku mahakamani tu na kesi,.,2020 sio mbali hamtaamini,itakuwa kinyume na matarajio yenu,na yule fisadi wenu mgombea wa kudumu,naona ananyongonyea siku zinavyozidi tu.CCM inazidi kuwa imara siku hadi siku,wewe jipe moyo humu JF na wenzako.
 
Back
Top Bottom