Mbepo yamba
JF-Expert Member
- Aug 5, 2012
- 1,431
- 2,210
Tatizo anatapata nguvu ya kabila lake. Ni mkabila sana huyu mpuuzi
Niliwahi kusema kitu kama hiki ila ule uzi (niliochangia) uliondolewa hewani kwa kasi ya mwanga... Wacha kife maana ndio kimechangia kudumaza uchumi wa nchi hii!Sizonje na bashite ni majanga kwa nchi hii.
If wishes were horses, beggars would ride...Kwa upande wangu naona Mbowe ndiye anayeua chama kwa tamaa zake za kimwili
Tayari wana Wema Sepetu na followers wake 2.6m wa instagram, watachukua njiKwa hiyo kama ccm inkufa wapinzani mnajipangaje kuchukua nchi.?
NibozaliMsema kweli ni mpenzi wa Mungu
Nazani wewe unaandika kutokana na unayosoma humu kwenye mitandao, nenda kwenye jamii huko, utaona vitu anavyofanya magufuli, nyie kuweni busy mahakamani na kwenye mitandao mwisho wa siku mtasema mmeibiwa.Kama anadhani atafanikiwa kwa style hii,bwana huyu nampa pole sana na ajue tu yote haya yanayoendelea kwa sasa ni "kete turufu" kwa upinzani na ni cancer inayoua taratibu chama chake.
Kiukweli kadri siku zinavyokwenda ndivyo wengi wanagundua hafai na wengi wanaacha kumuunga mkono na mwisho wa siku atabaki na supprt ya kikundi kidogo sana cha watu wanaomuunga mkono na hawa watakuwa ni wale wanaonufaika na uwepo wake na hata hao sio wote watakaokuwa wanafurahishwa na matendo yake bali ni katika kulinda tu vibarua vyao.
Yuko gizani na haoni kilicho mbele yake mpaka pale yatakapotimia kwakuwa hivi ndivyo ilivyopangwa kwamba kupitia yeye Taifa litakombolewe.
Usiniulize imeandikwa katika kitabu gani na ni katika mstari gani bali subiri kuona haya yakitimia.
Mungu ana makusudi na watu wake na ana njia nyingi anazotumia kufanikisha mipango yake kwa faida ya watu wake.
Time will tell.
Hivi wewe unafikiria kwa kutumia.....Kwa upande wangu naona Mbowe ndiye anayeua chama kwa tamaa zake za kimwili
Wanampango wa kumpa Slaa Mzee alokufanya ukapoteza ufahamu mpaka leoKwa hiyo kama ccm inkufa wapinzani mnajipangaje kuchukua nchi.?
Unachotumia wewe ndo anachotumia yeyeHivi wewe unafikiria kwa kutumia.....
Toa hoja wengine hatuna vyama ila hatumpendi huyu chizi Sizonje.Kwa upande wangu naona Mbowe ndiye anayeua chama kwa tamaa zake za kimwili
Kwahio CCM ndio wa kwanza kutawala aridhi ya Tanzania,tatizo wewe ni jamii ya Bashite.Aiseee! Uliona wapi chama dola kinakufa?
Haiwezekani lazima anatumia makalio kama Sizonje.Unachotumia wewe ndo anachotumia yeye