Aiseee! Uliona wapi chama dola kinakufa?
HahahaaHalafu 2020 Magufuli atawagaragaza kwa kipigo cha mbwa mwizi mje tena hapa kulia lia kuwa mmeibiwa kura sisi hatuangalii sura hata agombee nani sisi ushindi tumezaliwa kushinda na si kushindwa iwe jua ama mvua ushindi lazima
Aiseee! Uliona wapi chama dola kinakufa?
Bandiko lako lina makosa kibao ya ukosefu wa ithibati, makosa ya kimantiki na limejaa dhahania kibaoKama anadhani atafanikiwa kwa style hii,bwana huyu nampa pole sana na ajue tu yote haya yanayoendelea kwa sasa ni "kete turufu" kwa upinzani na ni cancer inayoua taratibu chama chake.
Kiukweli kadri siku zinavyokwenda ndivyo wengi wanagundua hafai na wengi wanaacha kumuunga mkono na mwisho wa siku atabaki na supprt ya kikundi kidogo sana cha watu wanaomuunga mkono na hawa watakuwa ni wale wanaonufaika na uwepo wake na hata hao sio wote watakaokuwa wanafurahishwa na matendo yake bali ni katika kulinda tu vibarua vyao.
Yuko gizani na haoni kilicho mbele yake mpaka pale yatakapotimia kwakuwa hivi ndivyo ilivyopangwa kwamba kupitia yeye Taifa litakombolewe.
Usiniulize imeandikwa katika kitabu gani na ni katika mstari gani bali subiri kuona haya yakitimia.
Mungu ana makusudi na watu wake na ana njia nyingi anazotumia kufanikisha mipango yake kwa faida ya watu wake na njia nyingine huwa ni chungu zeenye taabu na mateso mengi kama tunavyoshuhudia sasa katika nyakati hizi za mpito.
Time will tell.
Nyie ndio mnao mfaidi kwa kumremba remba kinafkiHalafu 2020 Magufuli atawagaragaza kwa kipigo cha mbwa mwizi mje tena hapa kulia lia kuwa mmeibiwa kura sisi hatuangalii sura hata agombee nani sisi ushindi tumezaliwa kushinda na si kushindwa iwe jua ama mvua ushindi lazima
Kwan huoni?Kwa hiyo kama ccm inkufa wapinzani mnajipangaje kuchukua nchi.?
Wazee wa goli la mkonoHalafu 2020 Magufuli atawagaragaza kwa kipigo cha mbwa mwizi mje tena hapa kulia lia kuwa mmeibiwa kura sisi hatuangalii sura hata agombee nani sisi ushindi tumezaliwa kushinda na si kushindwa iwe jua ama mvua ushindi lazima
Mtakuja kushituka teyari kumekucha.Bandiko lako lina makosa kibao ya ukosefu wa ithibati, makosa ya kimantiki na limejaa dhahania kibao
Uzuri anajua anachokifanya kinaumiza watu,na anajua majibu yake ndiyo sababu yuko nyuma ya upinzani kila dakika.
Kumsajili Wema ndio maandalizi ya kuchukua nchi.?Kwan huoni?
Yetu macho na masikio.Huwa nikizisikiliza napatwa na hasira kupita kiasi,halafu ndiyo huyu aliyesema naomba mnikosoe nitakapoteleza leo hataki hata kuguswa.CCM wametuletea balaa kubwa hawa majamaa
Mbona wivuuuu,si mlikuwa nae? Mkashindwa kumtumia? Kawakacha sasaKumsajili Wema ndio maandalizi ya kuchukua nchi.?