eldora
Senior Member
- Feb 4, 2024
- 101
- 307
Wewe ni mvulanaAcha uongo bhana kwanza Nani amekupa mamraka ya kutusemea sisi wanaume?
Wewe ni mvulanaAcha uongo bhana kwanza Nani amekupa mamraka ya kutusemea sisi wanaume?
Ukiwa tipwa tipwa na vitambi lazima uzeeke chap..Mimi sijui Mungu kanipa udongo gani..nikikutajia umri wangu na umbo langu unaeza sema nadanganya ..umbo langu ni kama kijana wa 25 ila huo umri sasa mmmmh
Ila hili suala la wanawake kuzeeka mapema ni kweli aisee.Hawa wenzetu wanazeeka haraka sana jamani jana nilikuta na class mate wangu ila ilikuwa ngumu sana kumgundua hadi nilipo mchunguza kwa makini ndio kuja kugubdua ni class mate wangu wa sekondari 2006 2010 ila ni mmama kabisa yaani yule after 4 to 5 atakuwa na wajukuu kabisa..
Sasa kuna rafiki yangu naye nikawa namuadithia ndio akanisha hoi kabisa akanikumbusha ex wake wa sekondari eti now ni mama mchungaji tena mchungaji mmoja mkubwa kiumri sana..
Jamani hawa jinsia ke kwanini wanazeeka haraka hivi.
Kwa munajili wako ndio unaona ni mawazo ya wavulana.Hayo ni mawazo ya wavulana hakika nakwambia
Habari mkuu , upo Tanga mjini?? Nina shida naweza kuja Pm?Unasemaje wewe?
Njoo Tanga uone maajabu, watu Wana wajukuu lakini akivaa sketi unaweza kupeleka posa
Hahahahaha...sasa huyo braza ako ndio km mimiUkiwa tipwa tipwa na vitambi lazima uzeeke chap..
Kuna ka brother kangu nika maestro umri wa kukimbizaa sungura na usheee Ila ukikaona Ni Kama katoto la form two ๐๐๐๐ ๐ ๐
Hili nalo mkaliangalie!!!Kwahiyo tuoe dogo dogo si ndio?
Ha ha haaaa. Juzi nilikutana na mwanfunzi wangu mmoja, akaniambia teacher hebu zeeka mana unaonekana km sie wanafunzi wako. Mie kati ya watu 100 basi 90 wanakosea kunikisia umri yena wengine wananishusha kwa tofauti ya miaka ht 20 ๐Kundi ambalo linachelewa kuzeeka ni waalimu,, nadhani ile kufundisha wamesimama zoez tosha,,
Hizi kazi unakula kiyoyozi chapati tatu na misupu,, lazima uchoke,,
Lakin pia inategemea na udongo
Kabisa mwili bila mazoezi na hizi chips yai plus dawa za uzazi ni majanga kabisaHayo ni mawazo ya wavulana hakika nakwambia
Unajitunza, unakula inavyotakiwa, hujatumika sana๐คฃ, una nidhamu ya maisha. Sie tuliachia miili tumekwishaaa๐คฃ๐คฃHa ha haaaa. Juzi nilikutana na mwanfunzi wangu mmoja, akaniambia teacher hebu zeeka mana unaonekana km sie wanafunzi wako. Mie kati ya watu 100 basi 90 wanakosea kunikisia umri yena wengine wananishusha kwa tofauti ya miaka ht 20 ๐
Wengine wanasema wanawake huwa wanaanza kupoteza hamu kwenye kushiriki tendo mapema, yaani mwanaume mwenye miaka 50 ana uhitaji zaidi kuliko ambavyo mwanamke wa umri huo anaweza ku provide kama ni mke na mume.Hayo ni mawazo ya wavulana hakika nakwambia
Secondary 2006 hadi 2010. Mlirudia wote form two?Hawa wenzetu wanazeeka haraka sana jamani jana nilikuta na class mate wangu ila ilikuwa ngumu sana kumgundua hadi nilipo mchunguza kwa makini ndio kuja kugubdua ni class mate wangu wa sekondari 2006 2010 ila ni mmama kabisa yaani yule after 4 to 5 atakuwa na wajukuu kabisa..
Sasa kuna rafiki yangu naye nikawa namuadithia ndio akanisha hoi kabisa akanikumbusha ex wake wa sekondari eti now ni mama mchungaji tena mchungaji mmoja mkubwa kiumri sana..
Jamani hawa jinsia ke kwanini wanazeeka haraka hivi.
Eeeeh kwaheriii, huo ni urongoooooMimi nina.miaka 40 tu ile nikisimama na Mzee wasira unaweza sema amenizidi mwaka mmoja sijui kwanini nimezeeka vibaya hivi
Mimi nilikua slim...mwembamba sinenepi sabb ya stress za kusoma na kuogopa ku fail...pia kua na mizigo mingi moyoni ๐ ๐ ๐๐Tunafukia kila kitu kwa nini tusiwe mishangaz
Tena tipwatipwa,, unakutana naclassmet anakuambia wewe huo mwili wa secondary huongezeki?, unabaki unasema hihiiiii, watu wanabadlika asee, wengine hataaaaa
Ni kwelii kaka skilastika....ma ant aging ndio habari ya mjini kwa sasa.....๐๐๐zinafanya kazi kweliiiShida nazo zinazeeka,na kufuga mwili hovyo.
Siku moja jamaa yangu alimsalia sista alitemwacha madarasa mawili nyuma alimsahau anasema eti amekuwa mmama
Kitu usichojua ni kuwa hata yeye anakuona umekuwa mbaba,umezeeka. Kuna siku nilikutana na class mate wangu wa sekondari zaidi ya miaka 20 nyuma, nilimuona kazeeka sana ila akili ikaniambia na yeye ananiona hivyo hivyo sema mimi mwenyewe nimejizoea sion kama nimezeeka.
Hawa wenzetu wanazeeka haraka sana jamani jana nilikuta na class mate wangu ila ilikuwa ngumu sana kumgundua hadi nilipo mchunguza kwa makini ndio kuja kugubdua ni class mate wangu wa sekondari 2006 2010 ila ni mmama kabisa yaani yule after 4 to 5 atakuwa na wajukuu kabisa..
Sasa kuna rafiki yangu naye nikawa namuadithia ndio akanisha hoi kabisa akanikumbusha ex wake wa sekondari eti now ni mama mchungaji tena mchungaji mmoja mkubwa kiumri sana..
Jamani hawa jinsia ke kwanini wanazeeka haraka hivi.