RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,835
Kwamba ulitongozwa na wasiokujua NO ni jibu pia?The cowardly act,.. The cowards....! Mimi ni muathirika wa hilo ila sikuwahi kuwaacha salama niliwapa vitasa vya nguvu
Kwamba ulitongozwa na wasiokujua NO ni jibu pia?The cowardly act,.. The cowards....! Mimi ni muathirika wa hilo ila sikuwahi kuwaacha salama niliwapa vitasa vya nguvu
Mtu anaefukuzia k JF atakua na roho ngumu kama jiwe anahitaji medali ya ujasiri aisee!
JF central issue ni "anonymity"
I can never risk my precious anonymity for some random k JF..
Huku nchi kavu kuna k za kumwaga na kusaza!
Yalishanikuta hayo, huwa nabonyeza button ya ignore, ila haichukui mda inakuja id mpya tena.
Kula tano mkuuMtu anaefukuzia k JF atakua na roho ngumu kama jiwe anahitaji medali ya ujasiri aisee!
JF central issue ni "anonymity"
I can never risk my precious anonymity for some random k JF..
Huku nchi kavu kuna k za kumwaga na kusaza!
Ukweni wastaarabu kukataliwa ni sehemu ya maisha. Haya mambo ya kuwekeana vinyongo ni kwanini?
Mtu anarudi na ID mpya ana kupaka tu kila unachopost kumbe anamaliza hasira.
Promo, MTU akujui, hamfahamiani, na mapicha yenu humu ya kuiba wakati mna Sura za hovyo, Nani awafuate?
Wanawake wengi humu wanao comment Sana kuhusu mapenzi ni waliochelewa kuolewa, Malaya na wasiofurahia ndoa zao..
Nimelala na wada humu wa 3 wote Wana stress za hatari. Hata wewe ningetaka pita na wewe ni dakika.
Kuoa ni kipaji ndugu, hawa wanawake waangalieni hivi Tu, ni stress za kutosha, tabutupu.
kuna kitu Kama unataka kutuambia hiv manPromo, MTU akujui, hamfahamiani, na mapicha yenu humu ya kuiba wakati mna Sura za hovyo, Nani awafuate?
Wanawake wengi humu wanao comment Sana kuhusu mapenzi ni waliochelewa kuolewa, Malaya na wasiofurahia ndoa zao..
Nimelala na wada humu wa 3 wote Wana stress za hatari. Hata wewe ningetaka pita na wewe ni dakika.
Kuoa ni kipaji ndugu, hawa wanawake waangalieni hivi Tu, ni stress za kutosha, tabutupu.
Promo, MTU akujui, hamfahamiani, na mapicha yenu humu ya kuiba wakati mna Sura za hovyo, Nani awafuate?
Wanawake wengi humu wanao comment Sana kuhusu mapenzi ni waliochelewa kuolewa, Malaya na wasiofurahia ndoa zao..
Nimelala na wada humu wa 3 wote Wana stress za hatari. Hata wewe ningetaka pita na wewe ni dakika.
Kuoa ni kipaji ndugu, hawa wanawake waangalieni hivi Tu, ni stress za kutosha, tabutupu.
kuna kitu Kama unataka kutuambia hiv man
Hebu jisome tena alafu itafakari "stress".
Hahaha nimecheka saana.Ukweni wastaarabu kukataliwa ni sehemu ya maisha. Haya mambo ya kuwekeana vinyongo ni kwanini?
Mtu anarudi na ID mpya ana kupaka tu kila unachopost kumbe anamaliza hasira.
Kukataliwa kunauma.Umeandika kwa hasira kweli. Hebu edit kidogo baada ya kutulizana.
Wamezoeshwa na kina dada wasiojuwa kukataa.
Ukweni wastaarabu kukataliwa ni sehemu ya maisha. Haya mambo ya kuwekeana vinyongo ni kwanini?
Mtu anarudi na ID mpya ana kupaka tu kila unachopost kumbe anamaliza hasira.
Mods naona wamebananisha ID zako mbili ...Moja Suriya nyingine Michael ParkerWew nae kichwa panz tuu, najua na mme anae kustahili usha mkataa, utadanga ovyo na kuachika hadi ukomeee.
Kukataliwa kunauma...hamjui tu.Wengine wanakutangazia kashfa, mara "nishamla yule, hajui kukataa,mbayaaaa nk".
Huwa sielewi ni utoto,umama,udwanzi au ni nini. Puuzia tu.
Mods naona wamebananisha ID zako mbili ...Moja Suriya nyingine Michael Parker
Umenisoma Man... Nina mke na miaka 10 ya ndoa, sikuwahi mcheat hata mara 1, mwaka wa 7 wa ndoa akaliwa, nikaapa sitamla tena, tuna miaka 2 ma room mate kwa ajili ya watoto wetu... Kalia, kalazimisha mind set nimeiweka mahali namwona kinyaa.... Aendelee kuliwa tujinga Hutu tumtu.... Na Mie napita nao kwa staha Tu....
Pamoja na kumheshimu kumpa kila kitu ataliwa....utajiuliza mwanamke anataka nini? Jibu: kile usichompa....
If you invest in love you engage in shit.... Mapenzi ni enzi za Mama zetu. Wanaume tumeumbwa mateso na kuhangaika....
I am stressed, why? Wanawake.... Ova