Kuna member wa JF hawajui kukataliwa

umeongea mambo mazito sana,wakusikia na asikie.
Mambo ya kukutana na vituko mwishowe kubadili ID hata mimi sitaki.
Mtu anaefukuzia k JF atakua na roho ngumu kama jiwe anahitaji medali ya ujasiri aisee!

JF central issue ni "anonymity"

I can never risk my precious anonymity for some random k JF..

Huku nchi kavu kuna k za kumwaga na kusaza!
 
Ukweni wastaarabu kukataliwa ni sehemu ya maisha. Haya mambo ya kuwekeana vinyongo ni kwanini?

Mtu anarudi na ID mpya ana kupaka tu kila unachopost kumbe anamaliza hasira.

Promo, MTU akujui, hamfahamiani, na mapicha yenu humu ya kuiba wakati mna Sura za hovyo, Nani awafuate?

Wanawake wengi humu wanao comment Sana kuhusu mapenzi ni waliochelewa kuolewa, Malaya na wasiofurahia ndoa zao..


Nimelala na wada humu wa 3 wote Wana stress za hatari. Hata wewe ningetaka pita na wewe ni dakika.

Kuoa ni kipaji ndugu, hawa wanawake waangalieni hivi Tu, ni stress za kutosha, tabutupu.
 
Hahahaha,asee
Promo, MTU akujui, hamfahamiani, na mapicha yenu humu ya kuiba wakati mna Sura za hovyo, Nani awafuate?

Wanawake wengi humu wanao comment Sana kuhusu mapenzi ni waliochelewa kuolewa, Malaya na wasiofurahia ndoa zao..


Nimelala na wada humu wa 3 wote Wana stress za hatari. Hata wewe ningetaka pita na wewe ni dakika.

Kuoa ni kipaji ndugu, hawa wanawake waangalieni hivi Tu, ni stress za kutosha, tabutupu.
 
Promo, MTU akujui, hamfahamiani, na mapicha yenu humu ya kuiba wakati mna Sura za hovyo, Nani awafuate?

Wanawake wengi humu wanao comment Sana kuhusu mapenzi ni waliochelewa kuolewa, Malaya na wasiofurahia ndoa zao..


Nimelala na wada humu wa 3 wote Wana stress za hatari. Hata wewe ningetaka pita na wewe ni dakika.

Kuoa ni kipaji ndugu, hawa wanawake waangalieni hivi Tu, ni stress za kutosha, tabutupu.
kuna kitu Kama unataka kutuambia hiv man
 
Hebu jisome tena alafu itafakari "stress".
Promo, MTU akujui, hamfahamiani, na mapicha yenu humu ya kuiba wakati mna Sura za hovyo, Nani awafuate?

Wanawake wengi humu wanao comment Sana kuhusu mapenzi ni waliochelewa kuolewa, Malaya na wasiofurahia ndoa zao..


Nimelala na wada humu wa 3 wote Wana stress za hatari. Hata wewe ningetaka pita na wewe ni dakika.

Kuoa ni kipaji ndugu, hawa wanawake waangalieni hivi Tu, ni stress za kutosha, tabutupu.
 
kuna kitu Kama unataka kutuambia hiv man

Umenisoma Man... Nina mke na miaka 10 ya ndoa, sikuwahi mcheat hata mara 1, mwaka wa 7 wa ndoa akaliwa, nikaapa sitamla tena, tuna miaka 2 ma room mate kwa ajili ya watoto wetu... Kalia, kalazimisha mind set nimeiweka mahali namwona kinyaa.... Aendelee kuliwa tujinga Hutu tumtu.... Na Mie napita nao kwa staha Tu....

Pamoja na kumheshimu kumpa kila kitu ataliwa....utajiuliza mwanamke anataka nini? Jibu: kile usichompa....

If you invest in love you engage in shit.... Mapenzi ni enzi za Mama zetu. Wanaume tumeumbwa mateso na kuhangaika....
 
Duuu mimi nina balaa sana kama vile nalala na bundi yani mwendo wa kukataliwa tuu mpaka nawaza sijui niende kwa babu wa loliondo
Ukweni wastaarabu kukataliwa ni sehemu ya maisha. Haya mambo ya kuwekeana vinyongo ni kwanini?

Mtu anarudi na ID mpya ana kupaka tu kila unachopost kumbe anamaliza hasira.
 
Wengine wanakutangazia kashfa, mara "nishamla yule, hajui kukataa,mbayaaaa nk".

Huwa sielewi ni utoto,umama,udwanzi au ni nini. Puuzia tu.
Kukataliwa kunauma...hamjui tu.
 
Jibu.
Umenisoma Man... Nina mke na miaka 10 ya ndoa, sikuwahi mcheat hata mara 1, mwaka wa 7 wa ndoa akaliwa, nikaapa sitamla tena, tuna miaka 2 ma room mate kwa ajili ya watoto wetu... Kalia, kalazimisha mind set nimeiweka mahali namwona kinyaa.... Aendelee kuliwa tujinga Hutu tumtu.... Na Mie napita nao kwa staha Tu....

Pamoja na kumheshimu kumpa kila kitu ataliwa....utajiuliza mwanamke anataka nini? Jibu: kile usichompa....

If you invest in love you engage in shit.... Mapenzi ni enzi za Mama zetu. Wanaume tumeumbwa mateso na kuhangaika....
I am stressed, why? Wanawake.... Ova
 
Duuh hiv kuna mambo hayo huko pm kwaiyo ukituma text Leo Leo au ad kesho..?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom