Hali mbaya ndiyo maana Ngosha ameachana na mambo ya msingi anamkumbatia Daudi Bashite.Maendeleo yataletwa kwa kuuza vitu vyetu nje,sio kuingiza.Kama anakusanya hela mbona hawatuambii makusanyo kama vile walivyofanya mwanzoni wakati wanakusanya Areas?
Lengo ni meli 12.Lengo ni ngapi Mkuu?
Hamna ukweli hapo mnatafuta kick iweje yake namba za znz??Mkuu;
Ni kweli kuna meli 30 na katika hizo, angalia tu, kwa kwenda kwake pale amefumua migodi ya mafisadi. Gari za kifahari simeitwa mitumba ya viatu na magauni.
Can yu believe it?? Angekuwa ni waziri wa wizara husika, si angehamia huko bandarini na kila siku afumue?? Pole zenyu msiosikia maonyo yake
Dozen sioLengo ni meli 12.
Ha ha haaa.. ni mkopo Mkuu, yeye hua hapokei misaada serikali yake inapesa sana.Hivi zile pesa ambazo mkuu anamsifia rais wa WB kuwa kamwaga sana hapa TZ ni msaada ama mkopo. Maana sielewielewi hivi!
Hivi kwa nini hawakuwataja walioleta hayo magari wakisingizia ni mitumba ya viatu? Kwani bill of lading ilikuwa inasoma ni Mali za nani?Mkuu;
Ni kweli kuna meli 30 na katika hizo, angalia tu, kwa kwenda kwake pale amefumua migodi ya mafisadi. Gari za kifahari simeitwa mitumba ya viatu na magauni.
Can yu believe it?? Angekuwa ni waziri wa wizara husika, si angehamia huko bandarini na kila siku afumue?? Pole zenyu msiosikia maonyo yake
But ukiambiwa kuna uvamiz clouds unaaman. The problem is yr mindset.Tatizo tumedanganywa kuwa kuna meli 30 Na nyengine zipo njiani. Ni uwongo uliokubuhu