Ha ha ha haaa... alimjibu "what he wants to hear"Mkuu;
Hebu jiulize; Jamaa angelijibu Tange mwanzo wa mwaka ni meli 30 tu zimetia nanga hapa. Akaulizwa swali, ni mishahara mingapi umevuta? Unategemea angelijibu nini?? Namsifu sana jamaa kwa majibu ya haraka mazuri.
Meli 30 si zingeleta tatizo pale??
Na huwezi kuuza kitu bila kua na Kiwanda. Hivi unafikiri mtu kama Mohammed Enterprises angekua Rais angekua kajenga Viwanda vingapi mpaka Sasa toka November 2015?Maendeleo yataletwa kwa kuuza vitu vyetu nje,sio kuingiza.Kama anakusanya hela mbona hawatuambii makusanyo kama vile walivyofanya mwanzoni wakati wanakusanya Areas?
Hatujawahi kupata Rais wa ajabu kama huyu.Budget ya iliyopitishwa na bunge sina hakika kama imetekelezwa na serikali kwa asilimia zaidi ya 50% !! Always serikali is answerable kwa bunge, nitashangaa kama wabunge watashindwa kusimamia kweli kwenye jukumu lao la msingi!
Siku hizi zikifunga tatu ni shereheLabda siku Hizi mitubwi ya wavuvi imekuwa meli. Meli 30????!!!
Refer to the heading above, hayo yalikua ni mazungumzo ya JPM na Jamaa wa pale bandarini.
Yaani President anauliza kwa msisitizo ili kuonesha kwamba bado anakusanya hela ya kutosha.
Halafu anauliza tena kwamba sasa wale waliokuwa wanasema Meli haziji hamna mizigo hizi ni nini?
Sikia Mkuu; Hata zije Meli 500 per day sisi hatuna wivu na hayo Makitu. Shida yetu ni "maendeleo", unapojisikia fahari kuingiza Meli nyingi jisikie fahari zaidi kutimiza budget ya Bunge 2016/2017.
Focus kwenye mambo yatayotufanya Raia tufunge midomo wenyewe automatic. Huhitaji kuongea mpaka unapata kiu ili kutuonyesha nini unafanya. Kama Kazi nzuri tutaiona tu na tutaisifia. Kama Kazi haionekani tutaona tu kwamba hapa work done is equal to Bashite.
Mwenye Macho Haambiwi ona.
Mwenye masikio Haambiwi sikia.
Mwenye midomo Haambiwi kula.
Mwenye bundle hawaambiwi Google.
Gudnyt all.. sikilizeni Ngoma ya Ney-wapooooo;
"Kwani unaundugu na Yesu?"(kwa sauti ya Ney wa mitego)
Bongo muvi hizo wewe kuwa na akili yale maroba ya nguo si ya manzese na hata plate numba za magari hukuziona wabongo bwana ndiyo maana ukaambiwa mitumbwi ya wavuvi 30Mkuu;
Ni kweli kuna meli 30 na katika hizo, angalia tu, kwa kwenda kwake pale amefumua migodi ya mafisadi. Gari za kifahari simeitwa mitumba ya viatu na magauni.
Can yu believe it?? Angekuwa ni waziri wa wizara husika, si angehamia huko bandarini na kila siku afumue?? Pole zenyu msiosikia maonyo yake
mkuu hilo linafahamika vizuri tu hata airport hajaokenaLengo ni ngapi Mkuu?
Ni dalili za uongo. Kwa muda mrefu hatujawahi kufikisha meli 25. Muda huu Mombassa zipo meli 41.
Bongo muvi hizo wewe kuwa na akili yale maroba ya nguo si ya manzese na hata plate numba za magari hukuziona wabongo bwana ndiyo maana ukaambiwa mitumbwi ya wavuvi 30