Kuna Meli Ngapi Leo? 30! Umesema Ngapi? 30 Mkuu

Kuna Meli Ngapi Leo? 30! Umesema Ngapi? 30 Mkuu

Maganya Nazi waterfront near bandari..hakuna hata meli 3 kwa siku. Tunapigwa change tu. 30 uongo tu
Hata wakitudanganya Hamna shida. Issue ni wawe na hela ya kufulfill budget.
 
Mkuu;
Hebu jiulize; Jamaa angelijibu Tange mwanzo wa mwaka ni meli 30 tu zimetia nanga hapa. Akaulizwa swali, ni mishahara mingapi umevuta? Unategemea angelijibu nini?? Namsifu sana jamaa kwa majibu ya haraka mazuri.
Meli 30 si zingeleta tatizo pale??
Ha ha ha haaa... alimjibu "what he wants to hear"

Jamaa anaakili sana, atakua MwanaJF Yule.
 
Budget ya iliyopitishwa na bunge sina hakika kama imetekelezwa na serikali kwa asilimia zaidi ya 50% !! Always serikali is answerable kwa bunge, nitashangaa kama wabunge watashindwa kusimamia kweli kwenye jukumu lao la msingi!
 
Ni dalili za uongo. Kwa muda mrefu hatujawahi kufikisha meli 25. Muda huu Mombassa zipo meli 41.
Duh.. Hii nchi yenyewe kama ilivyo (yaani kama inavyoonekana katika ramani) ni AJABU LA DUNIA.
 
Maendeleo yataletwa kwa kuuza vitu vyetu nje,sio kuingiza.Kama anakusanya hela mbona hawatuambii makusanyo kama vile walivyofanya mwanzoni wakati wanakusanya Areas?
Na huwezi kuuza kitu bila kua na Kiwanda. Hivi unafikiri mtu kama Mohammed Enterprises angekua Rais angekua kajenga Viwanda vingapi mpaka Sasa toka November 2015?
 
Budget ya iliyopitishwa na bunge sina hakika kama imetekelezwa na serikali kwa asilimia zaidi ya 50% !! Always serikali is answerable kwa bunge, nitashangaa kama wabunge watashindwa kusimamia kweli kwenye jukumu lao la msingi!
Hatujawahi kupata Rais wa ajabu kama huyu.
 
Ndio mujue RAIS wetu Kama kasema kuna meli 30 ni uwongo
 

Attachments

  • IMG_9732.PNG
    IMG_9732.PNG
    171.8 KB · Views: 35
Refer to the heading above, hayo yalikua ni mazungumzo ya JPM na Jamaa wa pale bandarini.

Yaani President anauliza kwa msisitizo ili kuonesha kwamba bado anakusanya hela ya kutosha.

Halafu anauliza tena kwamba sasa wale waliokuwa wanasema Meli haziji hamna mizigo hizi ni nini?

Sikia Mkuu; Hata zije Meli 500 per day sisi hatuna wivu na hayo Makitu. Shida yetu ni "maendeleo", unapojisikia fahari kuingiza Meli nyingi jisikie fahari zaidi kutimiza budget ya Bunge 2016/2017.

Focus kwenye mambo yatayotufanya Raia tufunge midomo wenyewe automatic. Huhitaji kuongea mpaka unapata kiu ili kutuonyesha nini unafanya. Kama Kazi nzuri tutaiona tu na tutaisifia. Kama Kazi haionekani tutaona tu kwamba hapa work done is equal to Bashite.

Mwenye Macho Haambiwi ona.
Mwenye masikio Haambiwi sikia.
Mwenye midomo Haambiwi kula.
Mwenye bundle hawaambiwi Google.

Gudnyt all.. sikilizeni Ngoma ya Ney-wapooooo;

"Kwani unaundugu na Yesu?"(kwa sauti ya Ney wa mitego)
 

Attachments

  • IMG_9732.PNG
    IMG_9732.PNG
    171.8 KB · Views: 41
...rais anapodanganya wazi anafanya watu tuhoji kila kitu...maana hata ule mchezo wa bandari jana ilikuwa usanii tu kutafta kiki...nimemsikiliza leo kwenye hotuba yake ikulu amegundua watu watu wameanza kupoteza imani nae akaja na urongo mwingine... eti ni mara ya kwanza rais wa WB kuja TZ....yani huyu mtu siku hizi anaongopa bila aibu....
..anajua mjini haaminiki anasema kijijini watamwelewa...hajui huko kijijini nako wanafatilia tamthilia zake....

...siku hizi hiyo tamthililia ya hapa kazi tu na nchi ya viwanda zinakufa kwa kasi ya ajabu....maana hazina uhalisia....

..unajengaje viwanda wakati hela hata za mishahara na OC unadunduliza???
 
Mkuu;
Ni kweli kuna meli 30 na katika hizo, angalia tu, kwa kwenda kwake pale amefumua migodi ya mafisadi. Gari za kifahari simeitwa mitumba ya viatu na magauni.
Can yu believe it?? Angekuwa ni waziri wa wizara husika, si angehamia huko bandarini na kila siku afumue?? Pole zenyu msiosikia maonyo yake
Bongo muvi hizo wewe kuwa na akili yale maroba ya nguo si ya manzese na hata plate numba za magari hukuziona wabongo bwana ndiyo maana ukaambiwa mitumbwi ya wavuvi 30
 
Bongo muvi hizo wewe kuwa na akili yale maroba ya nguo si ya manzese na hata plate numba za magari hukuziona wabongo bwana ndiyo maana ukaambiwa mitumbwi ya wavuvi 30
 

Attachments

  • IMG_9732.PNG
    IMG_9732.PNG
    171.8 KB · Views: 39

Similar Discussions

Back
Top Bottom