mwanaone
JF-Expert Member
- Apr 2, 2011
- 637
- 760
Haya shindana Na website hiyo ya bandari Maana watu wengine sijui mnaushabiki kiasi gani? Hebu jaribuni kufuatilia kila jambo kabla ya kulikubaliMkuu;
Ni kweli kuna meli 30 na katika hizo, angalia tu, kwa kwenda kwake pale amefumua migodi ya mafisadi. Gari za kifahari simeitwa mitumba ya viatu na magauni.
Can yu believe it?? Angekuwa ni waziri wa wizara husika, si angehamia huko bandarini na kila siku afumue?? Pole zenyu msiosikia maonyo yake