Kuna Meli Ngapi Leo? 30! Umesema Ngapi? 30 Mkuu

Mgibeon

JF-Expert Member
Aug 7, 2011
11,141
20,787
Refer to the heading above, hayo yalikua ni mazungumzo ya JPM na Jamaa wa pale bandarini.

Yaani President anauliza kwa msisitizo ili kuonesha kwamba bado anakusanya hela ya kutosha.

Halafu anauliza tena kwamba sasa wale waliokuwa wanasema Meli haziji hamna mizigo hizi ni nini?

Sikia Mkuu; Hata zije Meli 500 per day sisi hatuna wivu na hayo Makitu. Shida yetu ni "maendeleo", unapojisikia fahari kuingiza Meli nyingi jisikie fahari zaidi kutimiza budget ya Bunge 2016/2017.

Focus kwenye mambo yatayotufanya Raia tufunge midomo wenyewe automatic. Huhitaji kuongea mpaka unapata kiu ili kutuonyesha nini unafanya. Kama Kazi nzuri tutaiona tu na tutaisifia. Kama Kazi haionekani tutaona tu kwamba hapa work done is equal to Bashite.

Mwenye Macho Haambiwi ona.
Mwenye masikio Haambiwi sikia.
Mwenye midomo Haambiwi kula.
Mwenye bundle hawaambiwi Google.

Gudnyt all.. sikilizeni Ngoma ya Ney-wapooooo;

"Kwani unaundugu na Yesu?"(kwa sauti ya Ney wa mitego)
 
Unajua pasipokuwa na drama kidogo magazeti yataandika nini? Anyway, walau magazeti mawili yaliandika habari ya bandarini (drama ingeongezeka zaidi labda story ya nape ingefunikwa) lakini unakumbuka story ya Nape kutishiwa kwa bastola ilivyopata coverage kwenye magazeti ya leo?
 
Refer to the heading above, hayo yalikua ni mazungumzo ya JPM na Jamaa wa pale bandalini.

Yaani President anauliza kwa msisitizo ili kuonyesha kwamba Bado anakusanya hela ya kutosha.

Halafu anauliza tena kwamba Sasa wale waliokua wanasema Meli haziji hamna mizigo hizi ni nini?

Sikia Mkuu; Hata zije Meli 500 per day sisi hatuna wivu na hayo Makitu. Shida yetu ni "maendeleo", unapojisikia fahari kuingiza Meli nyingi jisikie fahari zaidi kutimiza budget ya Bunge 2016/2017.

Focus kwenye mambo yatayotufanya Raia tufunge midomo wenyewe automatic. Huhitaji kuongea mpaka unapata kiu ili kutuonyesha nini unafanya. Kama Kazi nzuri tutaiona tu na tutaisifia. Kama Kazi haionekani tutaona tu kwamba hapa work done is equal to Bashite.

Mwenye Macho Haambiwi ona.
Mwenye masikio Haambiwi sikia.
Mwenye midomo Haambiwi kula.
Mwenye bundle hawaambiwi Google.

Gudnyt all.. sikilizeni Ngoma ya Ney-wapooooo;

"Kwani unaundugu na Yesu?"(kwa sauti ya Ney wa mitego)
Thelathini amevuka lengo na lazima apande cheo
 
Umeandika, unashauri hata ka point kamoja kama hivi au vile haujashusha. Ili nae atikisike aseme hapa nipaangalie.

Mnatia aibu na ndio maana anasema mengi nyie yenu ya ovyooooooooooooo kabisa ovyo.

Hata angewapa kazi ya kumshauri au kuwaachia nchi mfano siku moja tu muiendeshe, mngeshindwa hata kidunchu.

Mjipange hamuwezi, mnajua udaku tu.

Magufuli oyeeee
Inasemekana Kinana yupo hapa hapa mjini, umepewa taarifa?
 
Maendeleo yataletwa kwa kuuza vitu vyetu nje,sio kuingiza.Kama anakusanya hela mbona hawatuambii makusanyo kama vile walivyofanya mwanzoni wakati wanakusanya Areas?
Nchi sio wizara ni Lazima ajue Hilo. Ukishuka mteremko kwa free gear unahatari ya kupoteza Maisha.
 
Refer to the heading above, hayo yalikua ni mazungumzo ya JPM na Jamaa wa pale bandalini.

Yaani President anauliza kwa msisitizo ili kuonyesha kwamba Bado anakusanya hela ya kutosha.

Halafu anauliza tena kwamba Sasa wale waliokua wanasema Meli haziji hamna mizigo hizi ni nini?

Sikia Mkuu; Hata zije Meli 500 per day sisi hatuna wivu na hayo Makitu. Shida yetu ni "maendeleo", unapojisikia fahari kuingiza Meli nyingi jisikie fahari zaidi kutimiza budget ya Bunge 2016/2017.

Focus kwenye mambo yatayotufanya Raia tufunge midomo wenyewe automatic. Huhitaji kuongea mpaka unapata kiu ili kutuonyesha nini unafanya. Kama Kazi nzuri tutaiona tu na tutaisifia. Kama Kazi haionekani tutaona tu kwamba hapa work done is equal to Bashite.

Mwenye Macho Haambiwi ona.
Mwenye masikio Haambiwi sikia.
Mwenye midomo Haambiwi kula.
Mwenye bundle hawaambiwi Google.

Gudnyt all.. sikilizeni Ngoma ya Ney-wapooooo;

"Kwani unaundugu na Yesu?"(kwa sauti ya Ney wa mitego)
Labda siku Hizi mitubwi ya wavuvi imekuwa meli. Meli 30????!!!
 
Umeandika, unashauri hata ka point kamoja kama hivi au vile haujashusha. Ili nae atikisike aseme hapa nipaangalie.

Mnatia aibu na ndio maana anasema mengi nyie yenu ya ovyooooooooooooo kabisa ovyo.

Hata angewapa kazi ya kumshauri au kuwaachia nchi mfano siku moja tu muiendeshe, mngeshindwa hata kidunchu.

Mjipange hamuwezi, mnajua udaku tu.

Magufuli oyeeee

Tatizo ni kwamba, Hakukukumbuka hata kwenye u dc. Na zile za wanawake naona kamaliza. Jitambue kidogo tu itakusaidia, Kila siku ni kumdanganya mkuu kuwa yupo sawa hata pale kakaa uchi.
Mambo ingine naona ni uchizi tu wala sio unazi.
 
Labda siku Hizi mitubwi ya wavuvi imekuwa meli. Meli 30????!!!

Mkuu;
Ni kweli kuna meli 30 na katika hizo, angalia tu, kwa kwenda kwake pale amefumua migodi ya mafisadi. Gari za kifahari simeitwa mitumba ya viatu na magauni.
Can yu believe it?? Angekuwa ni waziri wa wizara husika, si angehamia huko bandarini na kila siku afumue?? Pole zenyu msiosikia maonyo yake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom