Kuna mawaziri na viongozi wana uraia pacha kwa makusudi wanasubiri lolote wasiguswe endapo watashutumiwa mbeleni

Kuna mawaziri na viongozi wana uraia pacha kwa makusudi wanasubiri lolote wasiguswe endapo watashutumiwa mbeleni

Fbn

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
14,138
Reaction score
33,524
Siwezi kuweka majina wala kupoint watu ila navyosikia za chinichini wengi waliopo madarakani wana uraia pacha ambao wameshatengeneza mazingira la lolote.

Kuna mmoja hata nia ya nchii hana malengo nayo.

Sasa nauliza kama idara za uhamiaji mfahamu watu wenu tena viongozi mnakwama wapi.
 
Siwezi kuweka majina wala kupoint watu ila navyosikia za chinichini wengi waliopo madarakani wana uraia pacha ambao wameshatengeneza mazingira la lolote.

Kuna mmoja hata nia ya nchii hana malengo nayo.

Sasa nauliza kama idara za uhamiaji mfahamu watu wenu tena viongozi mnakwama wapi.
Uraia pacha kaupataje wakati sheria za nchi haziruhusu?
 
Sheria za Tanzania haziruhusu uraia pacha. Labda useme PERMANENT RESIDENCE status huko ughaibuni
 
Unapataje Uraia wa nchi nyingine kama hujaishi huko?

Labda nchi zenye watu masikini ambao rushwa ndio maisha ya kila siku.

Huko unaweza kununua uraia ila majuu au ME lazima uishi miaka kadhaa.
Tusidanganyane
 
Kuna watu hawaelewi hata utaratibu wa uraia pacha.
Ukwelei ni kwamba nchi haiwezi kukupatia uraia wa nchi yao kienyeji tu.
Kwanza wanataka wajue uraia wa nchi yako wakati unaomba uraia wa nchi yao.
Watafuqtiliq kama uraia wa nchi yako unaruhusu uraia pacha au hauruhusu .
Kama unaruhusu wanakupa uraia wa nchi yao na pia nchi yako ya zamani inataarifiwa kwamba umepatiwa uraia wa nchi flani hakuna siri.
Kama nchi yako hairuhusu uraia pacha kabla ya kupewa uraia wa nchi nyingine inabidi ule kiapo cha kuukana uraia wa nchi yako pia kukabidhi passport ya nchi yako ambayo itarudishwa wizara ya mambo ya nje hapo ndipo unakabidhiwa passport ya nchi yako mpya tena baada ya kufundishwa mila tamaduni za nchi hiyo.
Kwa utaratibu huo kwa hiyo kamwe haiwezekani kwa raia kutoka nchi isiyoruhusu uraia pacha akawa na uraia wa nchi nyingine kiujanja ujanja hao mnaowasema kama akina rostam azizi kitu ambacho wanacho ni residence permit.
Watu wanaweza kuwa na residence permit hati ya makazi ya zaidi ya nchi moja.
Mfano unakuta mimi ni mtanzania nina passport ya Tanzania so naweza kuishi tanzania kama raia, lakini pia nina residence permit ya Canada, halafu pia nina residence permit ya USA ambapo naweza kuishi huko kama mkazi ila sio raia wa hizo nchi
 
Kuna watu hawaelewi hata utaratibu wa uraia pacha.
Ukwelei ni kwamba nchi haiwezi kukupatia uraia wa nchi yao kienyeji tu.
Kwanza wanataka wajue uraia wa nchi yako wakati unaomba uraia wa nchi yao.
Watafuqtiliq kama uraia wa nchi yako unaruhusu uraia pacha au hauruhusu .
Kama unaruhusu wanakupa uraia wa nchi yao na pia nchi yako ya zamani inataarifiwa kwamba umepatiwa uraia wa nchi flani hakuna siri.
Kama nchi yako hairuhusu uraia pacha kabla ya kupewa uraia wa nchi nyingine inabidi ule kiapo cha kuukana uraia wa nchi yako pia kukabidhi passport ya nchi yako ambayo itarudishwa wizara ya mambo ya nje hapo ndipo unakabidhiwa passport ya nchi yako mpya tena baada ya kufundishwa mila tamaduni za nchi hiyo.
Kwa utaratibu huo kwa hiyo kamwe haiwezekani kwa raia kutoka nchi isiyoruhusu uraia pacha akawa na uraia wa nchi nyingine kiujanja ujanja hao mnaowasema kama akina rostam azizi kitu ambacho wanacho ni residence permit.
Watu wanaweza kuwa na residence permit hati ya makazi ya zaidi ya nchi moja.
Mfano unakuta mimi ni mtanzania nina passport ya Tanzania so naweza kuishi tanzania kama raia, lakini pia nina residence permit ya Canada, halafu pia nina residence permit ya USA ambapo naweza kuishi huko kama mkazi ila sio raia wa hizo nchi
KUNA MENGINE SIO KWELI ILIYOYAANDIKA
 
Back
Top Bottom