Nangose 1
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 7,202
- 6,781
Leo ni shida mkuu, watu wanaringisha simu zao walizonunu maduka ya sabasabambona kila mtu leo kwenye comment yake chini kuna signature ya simu anayotumia?
kulikoni
Leo ni shida mkuu, watu wanaringisha simu zao walizonunu maduka ya sabasabambona kila mtu leo kwenye comment yake chini kuna signature ya simu anayotumia?
kulikoni
Leo ni shida mkuu, watu wanaringisha simu zao walizonunu maduka ya sabasabambona kila mtu leo kwenye comment yake chini kuna signature ya simu anayotumia?
kulikoni
Leo ni shida mkuu, watu wanaringisha simu zao walizonunu maduka ya sabasaba
mbona kila mtu leo kwenye comment yake chini kuna signature ya simu anayotumia?
kulikoni
Nenda seting utaona signature.Huyo ndio mchiwi wa leo humu ndani.Nimetoka huawei p8 lite.Kua nokia jenezaMbna mm haioneshi
Duh.. nimeona hii mkuu![]()
Nokia jeneza
Kuna mtu nilikuwa namuona wa maana kumbe anatumia tecno![]()
ukafikiri umana upo mpaka mfukoni mwakeHahaaa umenifurahisha mpaka bia zimekata.Tecno sio wa maana wanaotumiaKuna mtu nilikuwa namuona wa maana kumbe anatumia tecno![]()
Nililiona hilo mapema. Ingia kwenye setting kwenye signature uka-cancel.mbona kila mtu leo kwenye comment yake chini kuna signature ya simu anayotumia?
kulikoni
Nenda seting utaona signature.Huyo ndio mchiwi wa leo humu ndani.Nimetoka huawei p8 lite.Kua nokia jeneza![]()
Nokia jeneza
Hahhahha wenye tec noooo utawajua tu