Naweza hujamuelewa mtoa madaUnapotosha.
Rais hakuongelea "ada ndogo" na "ada kubwa". Rais Magufuli ameongelea kodi.
Mkisoma hamuelewi basi hata kusikia hamsikii?
Naweza hujamuelewa mtoa madaUnapotosha.
Rais hakuongelea "ada ndogo" na "ada kubwa". Rais Magufuli ameongelea kodi.
Mkisoma hamuelewi basi hata kusikia hamsikii?
Hapo kabla ya kuwachomekea VAT walikuwa hawalipi kodi?Kama hawataki kulipa kodi na wasije.
Labda tukuchague ukamueleweshe. Kazi ipo.Respect Bro,
Mimi naomba niongezeee kidogo kwenye sentensi hii.........Kanuni za uchumi zinaeleza kuwa biashara nzuri ni ile yenye faida ndogo lakini ina wateja wengi na ambayo iko kwa muda mrefu.....
Kuna vitu vingi sana ambayo uchangia kujenga muono na mtazamo wa mtu, kwa mfano elimu, malezi, exposure, watu wanaokuzunguka(ndg, jamaa na marafiki), imani ulikuziwa, na mfumo mzima wa masha uliopitia wakati wa ukuaji wako. Kama vyote hivyo nilivyovitaja hapo juu vikiwa na muelekeo chanya(positive) alafu na Mungu pia akikuongezea na Busara na Hekima utakuwa umepata faida kubwa. Kwani wanaokushauri hawatapata shida kubwa kukushauri yaliyo mema.
Ni hayo tu.
Tuelimishe tuijue hiyo kauli ya kibiashara. Kauli ya rais ni sheria.Biashara ya utalii ni biashara ya huduma,hii si kauli ya kibiashara hata kidogo itumike lugha sahihi kwa hawa wadau wanachangia pato letu la taifa.
Na ile vat ya benki.hahaha usicheze na ile budget ya tril 29 tunazipataje unafikiri wakati bakuli hatutaki kutembeza na vyote lazima vifanyike kwa huo mwaka wa budget?stay tune mchawi atapatikana maana huu mchezo hauhitaji hasira.
Unapotosha.
Rais hakuongelea "ada ndogo" na "ada kubwa". Rais Magufuli ameongelea kodi.
Mkisoma hamuelewi basi hata kusikia hamsikii?
Sawa mkuu lakini vipi akisikia kuna wapo wanyama anaweza kuwaona bila VAT bado atakuja kwako kwa vile tu yeye hana tatizo la ulipaji wa VAT??SIO KWELI.
Hivi kuna siku umeona serikali ilipokosea..?? AU inaundwa na malaika..??Unapotosha.
Rais hakuongelea "ada ndogo" na "ada kubwa". Rais Magufuli ameongelea kodi.
Mkisoma hamuelewi basi hata kusikia hamsikii?
Nina watoto sita na wake 3 wananitegemea. teh teh tehLabda tukuchague ukamueleweshe. Kazi ipo.
Ndo maana nikasema kazi ipo. Hotuba moja kauli tata tatu au nne.Nina watoto sita na wake 3 wananitegemea. teh teh teh
Diplomacy meter hapo sijui inapimaje?Ndo maana nikasema kazi ipo. Hotuba moja kauli tata tatu au nne.
Multiplication effect know howKwa mtazamo wa kisomi jamaa ameandika vitu muhimu sana ila kwa mtazamo hasi hii mada utaingalia kiulumumba zaidi. Watalii wakiwa wengi hata wale wauzaji wa mapambo ya asili huwa nao wanaoneza kipato chao kwa namna moja au nyingine.Kwa ufupi pato la taifa sio lazima liingie moja kwa moja serikalini kwa hao watalii kulipa hela zote serikalini ila wakinunua hayo mapambo hata serikali pia inafaidika .Kiuchumi ili tuende sawa inabidi tuwe na watalii wengi zaidi nahisi Kenya walitutega kidogo nasi tukategeka maana kwenye sekta ya utalii wale jamaa ni wapinzani wetu wa kibiashara sidhani kama wanatutakia mema kwenye hiyo biashara.
Nakuunga mkono mkuu Malisa G J
duhhhhhhhhhhhh, jj umeua.Labda anadhani kanuni za fedha na uchumi ni sawa sawa na kukariri chemical formulae.
Hivi kuna siku umeona serikali ilipokosea..?? AU inaundwa na malaika..??