Tanzania tunalenga high value tourist.Mtalii anayekaa hotel za kitalii.Anakuja analala hotel anaalipa dola 800 kwa siku ambayo ni sawa na milioni moja na laki sita.Mtalii mmoja kama huyo sio sawa na kuleta watalii 100 WANAOLIPA GUEST HOUSE uchochoroni 16,000 kwa siku.Unakuwa na umati wa watu maskini mjini.ANGALIA GHARAMA wanazoweza sababisha kwa kunya na kuzoa huo uchafu wa mtu mmoja na hao mia .Utajikuta ukitoa gharama za kuzoa vyoo vyao unabaki na hela ndogo mno kama faida ukiendekeza umati wa watalii maskini.