Kuna mambo mawili Rais kapotoshwa

Kuna mambo mawili Rais kapotoshwa

Ni muhimu kuwa na watalii wengi wa vipato tofauti kuliko wachache wenye ukwasi mkubwa watakaolala hotel za nyota tano zinazomilikiwa na wageni. Watalii wale wa budget wanaishia kwenye hotel nyingi za mitaani hivyo kuongeza kipato kwa watu wengi na watu kuona umuhimu wa kuhifadhi mbuga zetu. Ni muhimu serikali kupata kodi, lakini pia ni muhimu wananchi kupata kipato la sivyo maendeleo yatabakia kwa wachache.
 
Rais wetu hakika kuna mambo anayoyafanya hanamtazamo mpana.

Hana washauri? Mambo mengine hayahitaji msuli ni simple logic.

Tafadhali umakini unahitajika.
 
Nchi hii itaendelea kuwa maskini kwa sababu ya kiburi cha kijinga. Umadhubuti wa nchi haupo katika kupingana na kanuni za biashara na uchumi bali katika misimamo ya mambo yaliyo sahihi.

Dubai imeendelea kwa haraka kwa sababu ya gharama ndogo (kodi ndogo na gharama za uzalishaji kuwa ndogo). Hili darasa lililotolewa hapa kama serikali haiwezi kuelewa basi Tanzania ya maendeleo itakuwepo katika vichwa vya Watanzania lakini siyo kwenye macho ya Walimwengu.

Kwanza ni upotoshaji mkubwa unaofanywa kuwaaminisha watu kuwa watalii walikuwa hawalipi kodi. Hakuna mtalii ambaye alikuwa halipi kodi kwa mujibu wa taratibu zilizokuwepo. Kilichofanyika sasa ni kuongeza kodi ((VAT) ambayo awali haikuwepo kwenye ada za utalii.

Mbaya zaidi inaelekea Rais wetu anajipotosha kifikra kwa kuamini kuwa maendeleo ni kodi pekee yake, huku akiwa hana habari kabisa na nafasi ya utalii katika kuchochea maendeleo ya sekta nyingine na mguso wake kwenye maendeleo ya jamii nje ya kodi ya moja kwa moja kwa serikali kuu.
 
Naunga mkono juhudi za Rais kuongeza wigo wa pato la taifa, lakini anahitaji wachumi wazuri kumshauri kwa sababu kuna mambo anapotoshwa. Mojawapo ni hili la watalii. Rais amesema ameongeza ada ya watalii (VAT) na asiyetaka asije. Anasema ni heri kupata watalii wachache wanaolipa ada kubwa kuliko watalii wengi wanaolipa ada ndogo. Kuna mambo mawili Rais kapotoshwa;

#Mosi, kanuni za uchumi zinaelekeza kutoza ada ndogo kwa rasilimali isiyoisha na kutoza ada kubwa kwa rasilimali inayoisha. Kwa mfano watalii wanapaswa kutozwa ada ndogo kwa sababu hawapunguzi chochote kuja kutembelea Tanzania, na sekta ya madini/gesi zinapaswa kutozwa ada kubwa kwa sababu zinapungua kadri zinavyotumika (ipo siku zitaisha).

Rasilimali ambazo zikitumika zinaisha zinapaswa kuwa na ada kubwa, na zile ambazo zikitumika haziishi ada yake inapaswa kuwa ndogo. Simba wa mikumi hawezi kufa kwa kuangaliwa na watalii milioni 1 au kupigwa maelfu ya picha, wala mlima Kilimanjaro hauwezi kudidimia kwa sababu watalii wengi wameupanda. Kwahiyo ada ya utalii inapaswa kuwa ndogo (affordable).

Lakini ilivyo kwa sasa ni vice versa. Rasilimali zinazoisha kama gesi na madini zinatozwa ada ndogo na zile zisizoisha kama utalii zinatozwa ada kubwa. Rais anapaswa kushauriwa vzr zaidi ktk hili.

#Pili; Si kweli kwamba tukipata watalii wachache wanaolipa ada kubwa mapato yetu yataongezeka kama alivyosema Rais Magufuli. Mapato yangeongezeka kama tungepata watalii wengi wanaolipa ada ndogo si watalii wachache wanaolipa ada kubwa. Kanuni za uchumi zinaeleza kuwa biashara nzuri ni ile yenye faida ndogo lakini ina wateja wengi, na sio yenye faida kubwa lakini ina wateja wachache.

Ndio maana Bakhresa anauza juice na maandazi lakini anawazidi wanaouza magari. Hii ni kwa sababu Bakhresa anapata faida ndogo kwa watu wengi tofauti na wauza magari wanaopata faida kubwa kwa watu wachache. Bakhresa anaweza kupata faida ya sh.200 tu kwa kila juice lakini akauza juice milioni moja kwa siku. So akapata faida ya milioni 200 daily. Muuza magari anaweza kupata faida ya milioni 10 kwa kila gari lakini akauza gari 1 tu kwa siku. Kwa hesabu hii Bakhresa amemzidi muuza magari kwa milioni 190 kila siku.

Kwahiyo kama tukitaka kufanikiwa ktk sekta ya utalii kodi ya VAT iondolewe. Hii itafanya kupata watalii wengi watakaolipa ada ndogo hivyo kupata mapato makubwa, kuliko sasa hivi ambapo tunapata watalii wachache wanaolipa ada kubwa na hivyo kuambulia mapato madogo.

Na athari zake zimeanza kuonekana kwa sababu idadi ya watalii imepungua maradufu tangu gharama zilipopandishwa. Wengi wamekimbilia Kenya. Hakuna mtalii anayeweza kulipa mamia ya dola kumuona Simba Tarangire wakati nusu ya pesa hiyo anaweza kuitumia kumuona Simba mbuga ya Tsavo nchini Kenya. Hii si dalili nzuri kwa ustawi wa uchumi wetu. Nitaeleza vizuri kwenye #JamboLeo ya jumanne July 26.

Malisa G.J
Asante kaka kwa tafakuri jadidi. Kwa kuongezea,katika uchumi kuna kitu kinaitwa 'Economic Multiplier Effect', watalii wakija wengi kwa gharama nafuu mafuta (yenye VAT) yatanunuliwa kwa wingi,na manunuzi yao mengine watakayofanya hapa yatakuwa na componets za kodi pia. Nafikiri wachumi watalitizama kwa umakini zaidi huko tuendako
 
Mi nachoona ni angepiga kimya...maana tunatangaza utalii huku rais anasema (indirectly) kuwa kama mmesusa hakuna anayejali...

Kodi walipe na hakuna haja ya kurudia rudia kutangaza hili...wanaweza wasije si sababu ya gharama ila sababu watanzania hawajali ujio wao...akati nchi nyingine zinawapigia magoti...
BIASHARA ushawishi
hakuna kubebembelezana ni lazima walipe kodi
 
Naunga mkono juhudi za Rais kuongeza wigo wa pato la taifa, lakini anahitaji wachumi wazuri kumshauri kwa sababu kuna mambo anapotoshwa. Mojawapo ni hili la watalii. Rais amesema ameongeza ada ya watalii (VAT) na asiyetaka asije. Anasema ni heri kupata watalii wachache wanaolipa ada kubwa kuliko watalii wengi wanaolipa ada ndogo. Kuna mambo mawili Rais kapotoshwa;

#Mosi, kanuni za uchumi zinaelekeza kutoza ada ndogo kwa rasilimali isiyoisha na kutoza ada kubwa kwa rasilimali inayoisha. Kwa mfano watalii wanapaswa kutozwa ada ndogo kwa sababu hawapunguzi chochote kuja kutembelea Tanzania, na sekta ya madini/gesi zinapaswa kutozwa ada kubwa kwa sababu zinapungua kadri zinavyotumika (ipo siku zitaisha).

Rasilimali ambazo zikitumika zinaisha zinapaswa kuwa na ada kubwa, na zile ambazo zikitumika haziishi ada yake inapaswa kuwa ndogo. Simba wa mikumi hawezi kufa kwa kuangaliwa na watalii milioni 1 au kupigwa maelfu ya picha, wala mlima Kilimanjaro hauwezi kudidimia kwa sababu watalii wengi wameupanda. Kwahiyo ada ya utalii inapaswa kuwa ndogo (affordable).

Lakini ilivyo kwa sasa ni vice versa. Rasilimali zinazoisha kama gesi na madini zinatozwa ada ndogo na zile zisizoisha kama utalii zinatozwa ada kubwa. Rais anapaswa kushauriwa vzr zaidi ktk hili.

#Pili; Si kweli kwamba tukipata watalii wachache wanaolipa ada kubwa mapato yetu yataongezeka kama alivyosema Rais Magufuli. Mapato yangeongezeka kama tungepata watalii wengi wanaolipa ada ndogo si watalii wachache wanaolipa ada kubwa. Kanuni za uchumi zinaeleza kuwa biashara nzuri ni ile yenye faida ndogo lakini ina wateja wengi, na sio yenye faida kubwa lakini ina wateja wachache.

Ndio maana Bakhresa anauza juice na maandazi lakini anawazidi wanaouza magari. Hii ni kwa sababu Bakhresa anapata faida ndogo kwa watu wengi tofauti na wauza magari wanaopata faida kubwa kwa watu wachache. Bakhresa anaweza kupata faida ya sh.200 tu kwa kila juice lakini akauza juice milioni moja kwa siku. So akapata faida ya milioni 200 daily. Muuza magari anaweza kupata faida ya milioni 10 kwa kila gari lakini akauza gari 1 tu kwa siku. Kwa hesabu hii Bakhresa amemzidi muuza magari kwa milioni 190 kila siku.

Kwahiyo kama tukitaka kufanikiwa ktk sekta ya utalii kodi ya VAT iondolewe. Hii itafanya kupata watalii wengi watakaolipa ada ndogo hivyo kupata mapato makubwa, kuliko sasa hivi ambapo tunapata watalii wachache wanaolipa ada kubwa na hivyo kuambulia mapato madogo.

Na athari zake zimeanza kuonekana kwa sababu idadi ya watalii imepungua maradufu tangu gharama zilipopandishwa. Wengi wamekimbilia Kenya. Hakuna mtalii anayeweza kulipa mamia ya dola kumuona Simba Tarangire wakati nusu ya pesa hiyo anaweza kuitumia kumuona Simba mbuga ya Tsavo nchini Kenya. Hii si dalili nzuri kwa ustawi wa uchumi wetu. Nitaeleza vizuri kwenye #JamboLeo ya jumanne July 26.

Malisa G.J
Asante kwa uchambuzi wako uko sahihi tatizo hujaona tu kuwa hao wanyama ndege na maeneo yao kiujumla ni resource zinazoisha hasaa tena kama huja control volume ya hao wataliii mfano katika wildlife ecology utaona kuwa muingiliano wa watu unapozidi katika haya maeneo ambayo ndio makazi ya hawa wanyama kuna athari kama za soil compaction hii inapelekea eneo ambalo ungeota mti kwa urahisi sasa kuwa shida maana kila wakati mnakanyaga tena kwa volume kubwa kuna hawa wanaofanya sport hunting the more their number the higher the rate ya wanyama wetu kupungua pia kumbuka mwingiliano huu unapozidi pia rate ya wanyama kuzaliana inapungua. Tukija ktk kupanda mlima utaona uchafuzi wa mazingira unaongezeka the more the higher the tourist number
 
Naunga mkono juhudi za Rais kuongeza wigo wa pato la taifa, lakini anahitaji wachumi wazuri kumshauri kwa sababu kuna mambo anapotoshwa. Mojawapo ni hili la watalii. Rais amesema ameongeza ada ya watalii (VAT) na asiyetaka asije. Anasema ni heri kupata watalii wachache wanaolipa ada kubwa kuliko watalii wengi wanaolipa ada ndogo. Kuna mambo mawili Rais kapotoshwa;

#Mosi, kanuni za uchumi zinaelekeza kutoza ada ndogo kwa rasilimali isiyoisha na kutoza ada kubwa kwa rasilimali inayoisha. Kwa mfano watalii wanapaswa kutozwa ada ndogo kwa sababu hawapunguzi chochote kuja kutembelea Tanzania, na sekta ya madini/gesi zinapaswa kutozwa ada kubwa kwa sababu zinapungua kadri zinavyotumika (ipo siku zitaisha).

Rasilimali ambazo zikitumika zinaisha zinapaswa kuwa na ada kubwa, na zile ambazo zikitumika haziishi ada yake inapaswa kuwa ndogo. Simba wa mikumi hawezi kufa kwa kuangaliwa na watalii milioni 1 au kupigwa maelfu ya picha, wala mlima Kilimanjaro hauwezi kudidimia kwa sababu watalii wengi wameupanda. Kwahiyo ada ya utalii inapaswa kuwa ndogo (affordable).

Lakini ilivyo kwa sasa ni vice versa. Rasilimali zinazoisha kama gesi na madini zinatozwa ada ndogo na zile zisizoisha kama utalii zinatozwa ada kubwa. Rais anapaswa kushauriwa vzr zaidi ktk hili.

#Pili; Si kweli kwamba tukipata watalii wachache wanaolipa ada kubwa mapato yetu yataongezeka kama alivyosema Rais Magufuli. Mapato yangeongezeka kama tungepata watalii wengi wanaolipa ada ndogo si watalii wachache wanaolipa ada kubwa. Kanuni za uchumi zinaeleza kuwa biashara nzuri ni ile yenye faida ndogo lakini ina wateja wengi, na sio yenye faida kubwa lakini ina wateja wachache.

Ndio maana Bakhresa anauza juice na maandazi lakini anawazidi wanaouza magari. Hii ni kwa sababu Bakhresa anapata faida ndogo kwa watu wengi tofauti na wauza magari wanaopata faida kubwa kwa watu wachache. Bakhresa anaweza kupata faida ya sh.200 tu kwa kila juice lakini akauza juice milioni moja kwa siku. So akapata faida ya milioni 200 daily. Muuza magari anaweza kupata faida ya milioni 10 kwa kila gari lakini akauza gari 1 tu kwa siku. Kwa hesabu hii Bakhresa amemzidi muuza magari kwa milioni 190 kila siku.

Kwahiyo kama tukitaka kufanikiwa ktk sekta ya utalii kodi ya VAT iondolewe. Hii itafanya kupata watalii wengi watakaolipa ada ndogo hivyo kupata mapato makubwa, kuliko sasa hivi ambapo tunapata watalii wachache wanaolipa ada kubwa na hivyo kuambulia mapato madogo.

Na athari zake zimeanza kuonekana kwa sababu idadi ya watalii imepungua maradufu tangu gharama zilipopandishwa. Wengi wamekimbilia Kenya. Hakuna mtalii anayeweza kulipa mamia ya dola kumuona Simba Tarangire wakati nusu ya pesa hiyo anaweza kuitumia kumuona Simba mbuga ya Tsavo nchini Kenya. Hii si dalili nzuri kwa ustawi wa uchumi wetu. Nitaeleza vizuri kwenye #JamboLeo ya jumanne July 26.

Malisa G.J
Kwa kuwa Mheshimiwa Rais alidokeza majuzi kuwa huwa anaupitia mtandao huu wa JF na ndicho kilichomfanya atambue issue ya Luhende wa Sinza...

Ningetamani apititie JF siku 2 hizi na aisome post hii ambayo imechambuliwa kwa utaalam wa hali ya juu sana....
 
Mtu achambue kiundani iyo VAT nikubwa kiasi gani ili tujue inawezaje kumfanya mtalii timamu kuahirisha safari yake, yawezekana tunapiga mayoweeee kumbe vat yenyewe ni affordable na reasonable kabisa.
uchumi Una very dynamic theory implications kulingana na context,time,nature of people etc. Wacha tuanze na kodi hali ikionekana tete tutazifuta kwani kukosea pia ni hatua kuelekea kupatia. Hâta USA walijaribu mengi mpaka kufikia kuwa super power.
Tuyape mabadiliko nafasi ili tupige hatua za haraka,tusing'ang'ane na msuli tu suti nayo nivazi japo inacost
 
Unapotosha.

Rais hakuongelea "ada ndogo" na "ada kubwa". Rais Magufuli ameongelea kodi.

Mkisoma hamuelewi basi hata kusikia hamsikii?

We unadhan unasaidia nchi kila kitu ukiingiza uccm. Jibu alichoandika mwenzio tujue mchango wako . Cyo mipasho tu tunachoka!
 
Kwani ka VAT ka asilimia 18 kwa hao wazungu kana hasara gani?
Hata wakikalipa hako bado ni kidogo tu
Ngoja niongee kinyume chake halafu tuone itakuwaje!!
Kwani ka VAT ka asilimia 18 kwa serkali kana hasara gani?
Hata kasipolipwa hako bado ni kadogo tu.
Kumbe haka kaVAT hakana hasara eeh! tuache tu kutozaga kwa sababu katasababishaga watalii kuachaga kuja kitembeleaga mbuga zetu halafu kamapato ketu katapunguaga!
 
Hakika w2 km nyny wenye mitazamo mipana mnahitajika ktk kushauli mikakati y uchumi kw mstakabali w taifa letu.
 
Diplomacy meter hapo sijui inapimaje?
Sidhani kama ipo. Ile tu kutamka kuwa watalii waje wachache walipa Kodi ujue hata umuhimu wa kuwa na mabalozi huko ughaibuni shida. Meli kuja chache zinazolipa ujue hata hao wawekezaji wanaangalia cost benefit analysis kati ya nchi na nchi hawezi kuja kwenye nchi yenye kauli Kali kiasi hicho. Hana uhakika na kesho na biashara yake.
 
respect kwa uchambuzi mzuri, kwa mana hiyo ataki ata biashara zinazozunguka eneo la utalii kufanyika... hapo ndo utafahamu kuwa kufumbatia maji kama jiwe ni ujinga
 
Naunga mkono juhudi za Rais kuongeza wigo wa pato la taifa, lakini anahitaji wachumi wazuri kumshauri kwa sababu kuna mambo anapotoshwa. Mojawapo ni hili la watalii. Rais amesema ameongeza ada ya watalii (VAT) na asiyetaka asije. Anasema ni heri kupata watalii wachache wanaolipa ada kubwa kuliko watalii wengi wanaolipa ada ndogo. Kuna mambo mawili Rais kapotoshwa;

#Mosi, kanuni za uchumi zinaelekeza kutoza ada ndogo kwa rasilimali isiyoisha na kutoza ada kubwa kwa rasilimali inayoisha. Kwa mfano watalii wanapaswa kutozwa ada ndogo kwa sababu hawapunguzi chochote kuja kutembelea Tanzania, na sekta ya madini/gesi zinapaswa kutozwa ada kubwa kwa sababu zinapungua kadri zinavyotumika (ipo siku zitaisha).

Rasilimali ambazo zikitumika zinaisha zinapaswa kuwa na ada kubwa, na zile ambazo zikitumika haziishi ada yake inapaswa kuwa ndogo. Simba wa mikumi hawezi kufa kwa kuangaliwa na watalii milioni 1 au kupigwa maelfu ya picha, wala mlima Kilimanjaro hauwezi kudidimia kwa sababu watalii wengi wameupanda. Kwahiyo ada ya utalii inapaswa kuwa ndogo (affordable).

Lakini ilivyo kwa sasa ni vice versa. Rasilimali zinazoisha kama gesi na madini zinatozwa ada ndogo na zile zisizoisha kama utalii zinatozwa ada kubwa. Rais anapaswa kushauriwa vzr zaidi ktk hili.

#Pili; Si kweli kwamba tukipata watalii wachache wanaolipa ada kubwa mapato yetu yataongezeka kama alivyosema Rais Magufuli. Mapato yangeongezeka kama tungepata watalii wengi wanaolipa ada ndogo si watalii wachache wanaolipa ada kubwa. Kanuni za uchumi zinaeleza kuwa biashara nzuri ni ile yenye faida ndogo lakini ina wateja wengi, na sio yenye faida kubwa lakini ina wateja wachache.

Ndio maana Bakhresa anauza juice na maandazi lakini anawazidi wanaouza magari. Hii ni kwa sababu Bakhresa anapata faida ndogo kwa watu wengi tofauti na wauza magari wanaopata faida kubwa kwa watu wachache. Bakhresa anaweza kupata faida ya sh.200 tu kwa kila juice lakini akauza juice milioni moja kwa siku. So akapata faida ya milioni 200 daily. Muuza magari anaweza kupata faida ya milioni 10 kwa kila gari lakini akauza gari 1 tu kwa siku. Kwa hesabu hii Bakhresa amemzidi muuza magari kwa milioni 190 kila siku.

Kwahiyo kama tukitaka kufanikiwa ktk sekta ya utalii kodi ya VAT iondolewe. Hii itafanya kupata watalii wengi watakaolipa ada ndogo hivyo kupata mapato makubwa, kuliko sasa hivi ambapo tunapata watalii wachache wanaolipa ada kubwa na hivyo kuambulia mapato madogo.

Na athari zake zimeanza kuonekana kwa sababu idadi ya watalii imepungua maradufu tangu gharama zilipopandishwa. Wengi wamekimbilia Kenya. Hakuna mtalii anayeweza kulipa mamia ya dola kumuona Simba Tarangire wakati nusu ya pesa hiyo anaweza kuitumia kumuona Simba mbuga ya Tsavo nchini Kenya. Hii si dalili nzuri kwa ustawi wa uchumi wetu. Nitaeleza vizuri kwenye #JamboLeo ya jumanne July 26.

Malisa G.J

Ki ukweli kama kuna washauri wanaomshauri mh rais basi nadhani wanafanya mambo ki uoga sana na bila kujiamini....mwalimu nyerere alipata kusema uoga ni jambo baya sana linapelekea kujipendekeza na kutokuwa mkweli.....tunawaomba wenye dhamana ya kumshauri rais wetu wawe watu majasiri na wasijipendekeze kwa kutaka kumridhisha anavyotaka yeye.......yaani mtu hata uwe tayari kufukuzwa kazi kuliko kushauri kinafiki na huku wewe ndiyo mtaalam, mbona maisha huku uswahilini tunayasongesha tu na wala hatupo kwenye system......kujiamini ni jambo zuri sana sidhani kama rais anashauriwa na watu wanaojiamini..........kwa maamuzi mbalimbali anayoyachukua.......bado naendelea kutafakar!!!!
 
Katika mambo yooote,hili la kubana pesa na kutupeleka mswaki hivi mitaani simwelewi kabisa.
Yaani nchi imesimama na kadri miezi inavyosogea hali inazidi kuwa mbaya.Kuna shida gani?
 
Mi nachoona ni angepiga kimya...maana tunatangaza utalii huku rais anasema (indirectly) kuwa kama mmesusa hakuna anayejali...

Kodi walipe na hakuna haja ya kurudia rudia kutangaza hili...wanaweza wasije si sababu ya gharama ila sababu watanzania hawajali ujio wao...akati nchi nyingine zinawapigia magoti...
BIASHARA ushawishi
Nadhani inabidi kuangalia suala zima kwa upana wake
Tukiangalia kodi tu tutakuwa tumejidhulumu

Watalii wanatengeneza sekta nzima ya Utalii inayohusiana na sekta nyingine.

Kwa mfano, sekta ya usafiri na huduma. Je, ni watu kiasi gani wanaajiriwa katika sekta hizo na kupitia wao serikali inafaidika vipi kwa kodi zao?

Nitoe mfano, kuna nchi nilikuwa 'on transit'. Nilifikiwa na watu wakinishawishi niende kuangalia vivutio vya nchi yao. Niliwaambia sina visa ya kuingia.

Waliniambia hilo niwaachie wao, haikupita nusu saa temporary visa mkononi, usafiri nje na kuondoka mara moja.

Sikulipia visa, hata hivyo kwa muda tuliokuwa huko tulitumia pesa za viingilio , wengine kununua 'souvenir' chakula n.k.

Hii maana yake, sekta yao ya usafiri ilipata kitu, sekta ya huduma ilipata kidogo, sekta ya bishara kidogo n.k.

Ukiangalia ajira zilizopatikana na kodi inayotokana na ajira hiyo, gharama za visa au kodi zilikuwa nothing

Tunahitaji watalii wengi ili kupitia kwao wa 'inject' dola katika uchumi wetu kuanzia kwa wapagazi hadi serikali kuu.

Hii kauli ya wakitaka waje au wasipotoka wasije si ya kibiashara au kidiplomasia

Kuna nchi nyingi duniani za kutembelea, biashara ya utalii ina ushindani mkubwa sana.

Kinachotakiwa ni lugha yenye kuvutia, mikakati yenye maana na endelevu

Hili si la ubabe ubabe,sisi tupo katika 'receiving end' tusiigeuze hiyo kuwa 'losing end'
 
Back
Top Bottom