nyota ya mafanikio unamaanisha nini?
Yaani mtu anikatae afu anilaani? Hakuna kitu kama laana, ni uthubutu tu.
Bora kutunza baba mlezi aliyejali.
Kongosho,
Najua utakataa tu kwa kuwa kuna kukataa lakini babako alivyo ndivyo nawe utakuwa. Huo ndio uumbaji na Mungu hajakosea hapo. Nawe utawa[uuza wanao, hata kama utajitahidi vipi, mtoto akizubaa tu umemtema. Ndivyo ilivyo, hivyo mtoto wa nyoka ni nyoka tu.
Laana ipo na itadumu daima, hutafanikiwa. Mwone huyo mtu waliye msema humu, mwangalie kidogo tu utaona mambo yake yatakavyo samaratika kiaina.