Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,259
- 20,914
kama kuna anaefanana na mimi kimtazamo au niko pekee yangu
And then what?
kama kuna anaefanana na mimi kimtazamo au niko pekee yangu
my research wil be done
inaelekea hata mama ni kitu kimoja na mwanae coz asingeshindwa kumsaidia yeye kama yeye
Dogo anajitafutia laana,hiyo mamake hana akili ya kumshauri mwanae.
nimetaka kujua mitazamo ya wengine pia coz mimi kama mimi naona angemsamehe na kumuachia yote mungu amsaidie baba yake wakati huu anaotafuta matibabu bila msaada wowote
labda ila anaumwa haswa
hakuna kosa lisilosameheka hapa Duniani........ila kuna watu huwa hawasamehe hata iweye wako tayari kupoteza hata uhai wao kuliko kusamehe.....................!!!!!habarini wana mmu,
kuna habari nimeisoma mahali nikaona si vibaya nikiwashirikisha ambayo imenifanya nijiulize kweli KUNA KOSA LISILOSAMEHEKA? kuna mwimbaji maarufu wa bongo flava ambae ana pesa na hata amemnunulia mama yake gari la 38 M na pia anatumia mamilioni ya pesa kwenye starehe ili hali baba yake anaumwa mguu kwa muda mrefu bila msaada wowote ikiwa ni sh milioni 1 tu ndio inayoitajika kumtibu.
Kipindi cha nyuma kidogo mwimbaji huyu aliwai kusema kuwa baba yake alimkana,na mama yake ndie aliyeangaika nae toka mdogo kwa kila kitu.
Ingawa mwenye kuhuku ni Mungu lakini kwa hisia zako hivi alifanyalo huyu mwimbaji ni sahihi au si sahihi?
Ni hayo tu,nawatakia week-end njema.
NB: kwa ambao mmeshavurugwa na foleni,kazi,stress e.t.c msi comment
lin;
Mtu mzima ukiisha jikuta unamchukia mzazi wako yeyote kati ya Babako au Mamako, weye ni taa.hira tu. Hata ungevuma mpaka kwenye upepo.
Kumbuka waswahili walisemaga; Utavuna ulichopanda. Kweli babake anavuna alichopanda lakini mtoto huyo huyo atajavuna na yeye anachokipanda kwani hakuna mwanaye atakaye mjali???
AAche kuyakumbuka mavi ya kale. Achukulie hilo kama ngazi kwake na amkaribishe babake kwake aje ale mema aliyoyafanya mamake. Mjinga ka huyo aweza kwenda kumjali baba wa kambo kuliko. Pole sana mbaba unayetaabika leo wala usimlaani mwanao
hakuna kosa lisilosameheka hapa Duniani........ila kuna watu huwa hawasamehe hata iweye wako tayari kupoteza hata uhai wao kuliko kusamehe.....................!!!!!
kuna ubaya gani kumjali baba wa kambo aliyekulea?
Kisa kuna sperm donor anaugua? Uzazi ni zaidi ya kuchangia mbegu. Hata mahindi yana mbegu lakini hayana baba/mama.
limefanyaje tena?
Kongosho;
Hayo ni mawazo ya kilaana kabisa. Baba aliyekuzaa ndiye hiyo nyota yako unayotembelea na mafanikio yako. Kama mamako ndiye mbaya kwenye hayo mahusiano yao ulitaka afanye nini??
Nasema, si kwa sababu ya ufahari wako ila, la muhimu hapo ni uhusiano wako na ni nani baba wala si vinginevyo. Baba wa kambo si babako ila mlezi wako. Kashikishwa na mamako hivyo simdharau