naongea nikimaanisha
DIAMOND yuko sahihi. Wazazi aina hiyo wanakera sana.
you are correct man
kuna watu natamani wangetelekezwa na baba zao hapa wasingekuwa wanaandika walichoandika.
narudia tena huwi baba kwa kutia mimba
naongea nikimaanisha
DIAMOND yuko sahihi. Wazazi aina hiyo wanakera sana.
Leo diamond asingekuwa hapo huenda hata baba angeendelea kupiga kimya tu
simlaumu diamond mie alichofanyiwa uchungu anaujua yeye mwenyewe
laana gani? He is just a common stranger.
Labda kama unaweza laaniwa na mtu yeyote.
Wangekuwa wamekataliwa na wao ndo wangejua uchungu alionao diamondni kweli watu wanamlaumu diamond kwa mafanikio yake. Assume angekuwa anazurura huko mtaani hana mbele wala nyuma
Mkuu kunya kanya yeye wacha azoe mavi yake, angejua ipo cku angekua msaada kwake asingemkana na hata kama angekua maskini km yeye asingeleta hizo lawama kua hasaidwi ila sababu anajua ana uwezo ndio maana hizi lawama zimejitokeza.
Samboko;
Jua kwamba, kosa halimalizi kosa ila huongeza matatizo. Tena, ukijiona weye ndiyo umejiwezesha kufanikiwa utakuwa kipofu kabisa. Usijivunie mafanikio jivunie aliyekuwezesha kufanikiwa.Msimamo wangu ni kuwa hakuna kosa lisilo sameheka chini ya jua.
Babake asingelikuwa anampenda mamake huyo angezaliwaje??? Mwambie huyo jamaa yako atumie akili sio masa.buri. Amsaqmehe babake, amsaidie kama anavyoweza kumsaidia mtu mwingine. Nakuhakikishia, mijitu ka hiyo, hata kwenye dala dala hayawezi kumpishi mzee kiti. Yana roho mbaya ya kisasi saa zote hivyo yatafilisika tu. Wadhani alipo mnunulia mamake hiyo gari ya 38 M ilikuwa ni mapenzi kwa mamake au kumtia wivu babake? Huo ni ujinga si akili. Amtunze babake hata kama kamfanyia nini. Mengine amwachie Mungu amlipe. Mbona tunanunua chakula cha mbwa????
mara nyingi tunaangalia karibu hatuangalii mbali,na mtoto akishakuwa lazima tu ataambiwa historia ya maisha yake hata na watu wa mbali kama bibi,shangazi
ni sawa lakini ni vizuri kumwambia mtoto ukweli,kuwa huyu ndio baba yakoukitaka asiwe brainwashed play ur part as a responsible dad
ukitaka asiwe brainwashed play ur part as a responsible dad
habarini wana mmu,
kuna habari nimeisoma mahali nikaona si vibaya nikiwashirikisha ambayo imenifanya nijiulize kweli KUNA KOSA LISILOSAMEHEKA? kuna mwimbaji maarufu wa bongo flava ambae ana pesa na hata amemnunulia mama yake gari la 38 M na pia anatumia mamilioni ya pesa kwenye starehe ili hali baba yake anaumwa mguu kwa muda mrefu bila msaada wowote ikiwa ni sh milioni 1 tu ndio inayoitajika kumtibu.
Kipindi cha nyuma kidogo mwimbaji huyu aliwai kusema kuwa baba yake alimkana,na mama yake ndie aliyeangaika nae toka mdogo kwa kila kitu.
Ingawa mwenye kuhuku ni Mungu lakini kwa hisia zako hivi alifanyalo huyu mwimbaji ni sahihi au si sahihi?
Ni hayo tu,nawatakia week-end njema.
NB: kwa ambao mmeshavurugwa na foleni,kazi,stress e.t.c msi comment
ni sawa lakini ni vizuri kumwambia mtoto ukweli,kuwa huyu ndio baba yako
ugomvi wako wewe na baba yake haumuhusu hata kidogo,huwa wanakuja
kupata shida sana baadae