Kuna kosa lisilosameheka

Kuna kosa lisilosameheka

Nadhan ya ngoswe angeachiwa ngoswe hakuna anaefahamu sababu ya msingi ya Diamond kufanya hivyo....tusimhukumu kwakweli.
 
Kama Mungu anasamehe ww mwanadamu ni nani usisamehe?
Kuna kosa ambalo kwangu mm haliwezi kusamehewa nalo ni usaliti ktk mapenz lakn sitaweza kusamehe kwa lengo la kurudiana na kuishi pamoja ila atakapohtaji msaada wa kiafya au kifedha nitamsaidia.
Pesa ni maua tu huwez kulinganisha na uhai wa ntu
 
Yapo yasiyo sameheka...Wengine Hawataki ujamaa...sasa huyo baba asije tumia ugonjwa kuleta ujamaa..ambao..Hawataki
 
Hakuna dhambi isiyo sameheka duniani hata vitabu vya dini vinatuambia no one is perfect aise tungehesabiwa makosa sidhani kama kuna ambaye angestaili but people difer ningekuwa mi ningejishusha binadamu tunafanya makosa either kwa kujua au kutofahamu impact zake
 
nimetaka kujua mitazamo ya wengine pia coz mimi kama mimi naona angemsamehe na kumuachia yote mungu amsaidie baba yake wakati huu anaotafuta matibabu bila msaada wowote

Nini hasa shabaha ya wewe kujua mtazamo wa wengine wakati unajua kabisa ni wengine?
 
Kama Mungu anasamehe ww mwanadamu ni nani usisamehe?
Kuna kosa ambalo kwangu mm haliwezi kusamehewa nalo ni usaliti ktk mapenz lakn sitaweza kusamehe kwa lengo la kurudiana na kuishi pamoja ila atakapohtaji msaada wa kiafya au kifedha nitamsaidia.
Pesa ni maua tu huwez kulinganisha na uhai wa ntu

kabisaaaaaa,muhimu ni kusamehe hata kama hamtaendelea na uhusiano wa kimapenzi
 
Nini hasa shabaha ya wewe kujua mtazamo wa wengine wakati unajua kabisa ni wengine?

kama kuna anaefanana na mimi kimtazamo au niko pekee yangu
 
Hakuna dhambi isiyo sameheka duniani hata vitabu vya dini vinatuambia no one is perfect aise tungehesabiwa makosa sidhani kama kuna ambaye angestaili but people difer ningekuwa mi ningejishusha binadamu tunafanya makosa either kwa kujua au kutofahamu impact zake

exactly no one is perfect,hata mimi ningefanya hivyo
 
Kusamehe ni moyo wa mtu, inategemea pia aliimia au madhara aliyopata kwa kukanwa na babae pia hvyhvy kwa ***** aliumia kiasi hadi ashindwe kumshawishi mwanae amsamehe babake, pengine ndie alisababisha wakakulia maisha waliokua nayo. UNAPOSKIA MALIPO HAPAHAPA DUNIANI NDIO HAYO. naungana nae kwa maamuzi yake.
 
Mkuu unajua uchungu wa kukanwa na mzazi?

Kinacho tokea hapo ni Mungu kumuadhibu huyo mzee na si Dimond kuonekana kuwa hajali.Unaanzaje kusikitika kwa mtu ambaye hakuwahi kukujali wala kutaka kukusikia hata siku moja

kwa hiyo inawezekana mungu kayaruhusu hayo maradhi kwa sababu.....ila kweli duniani kuna majaribu
 
Kusamehe ni moyo wa mtu, inategemea pia aliimia au madhara aliyopata kwa kukanwa na babae pia hvyhvy kwa ***** aliumia kiasi hadi ashindwe kumshawishi mwanae amsamehe babake, pengine ndie alisababisha wakakulia maisha waliokua nayo. UNAPOSKIA MALIPO HAPAHAPA DUNIANI NDIO HAYO. naungana nae kwa maamuzi yake.

inawezekana kweli huo msemo ndio uko unafanya kazi labda angemuomba msamaha mwanae
 
Mkuu unajua uchungu wa kukanwa na mzazi?

Kinacho tokea hapo ni Mungu kumuadhibu huyo mzee na si Dimond kuonekana kuwa hajali.Unaanzaje kusikitika kwa mtu ambaye hakuwahi kukujali wala kutaka kukusikia hata siku moja

we ulishakanwa na mzazi???
 
nimeshawahi kusikia kijana akisema "atanitafuta tu akikua".

Sina moyo na wanaotelekeza watoto.

atajiju.

mara nyingi tunaangalia karibu hatuangalii mbali,na mtoto akishakuwa lazima tu ataambiwa historia ya maisha yake hata na watu wa mbali kama bibi,shangazi
 
Back
Top Bottom