Kuna kitu hakipo sawa kwenye Ulinzi wa Rais

Kuna kitu hakipo sawa kwenye Ulinzi wa Rais

Tanzania na Afrika kiujumla kwenye ulinzi wa viongozi wetu bado tuko kishamba na kizamani. Ulinzi wa viongozi wetu umejaa mbwembe na ujinga wa kizamani sana. Hatujui kutofautisha kati ya ulinzi na mbwembe, au walinzi na wapambe au kulinda na kuzongazonga. Sisi bado tunaamini wapambe ndio walinzi, kuzongazonga ndio kulinda!

Mifumo ya kisasa ya ulinzi kidunia kwa viongozi imebadilika sana, sisi bado tunaamini ulinzi ni kujaza wapambe kibao kumzunguka rais, huku tukisahau wabambe hao hao sio watu salama sana kwa rais, adui anaweza kupenya na kuwa miongoni mwa wapambe hao hao!

Ngoja twende kwa mifano.
-Rais akiwa kwenye himaya yake (eneo lililoandaliwa na kikosi chake cha usalama kabla ya rais kuwepo eneo hilo), hakuna sababu ya wapambe au walinzi kumsogelea karibu hata mita mitano. Wakae mbali kabisa.

-Rais akiwa Ikulu, hakuna sababu ya walinzi au wapambe kumsongasonga.

-Rais akiwa eneo la kiitifaki chini ya protokali mahususi (mfano bungeni, kwenye mikutano ya wakuu wa nchi, dhifa za kitaifa na kimataifa nk) hakuna sababu ya wapambe kumzonga zonga.

-Rais akiwa amezuka mtaani katika ziara binafsi ya kijamii 'iliyotengenezwa' hapaswi kuzungukwa na wapambe.

Mifano ni mingi, na wajuzi watakuwa wamenielewa, kama mtu huwezi kuelewa hilo basi jaribu kutazama namna wakuu wa nchi zenye vitisho vikubwa vya kiusalama wanavyolinda viongozi wao. Tazama USA, UK, Israel, Germany, France, Spain nk. utaelewa ninachokisema.
 
Sio rais wa kuchaguliwa na hajashindana na mtu yoyote akamshinda.

Bado Ni makamo wa rais japo kakaimu.

Sent from my Infinix X5515 using JamiiForums mobile app
 
Walinzi wapo wa kutosha tu,security details imekamirika,chini kila upande wapo TISS wawili,na hapo JNIA muda Raisi anaingia,hiyo sehemu inakuwa imejaa security kila kona mpaka vyooni,mpaka kwenye paa,eneo zima linawekwa chini ya ulinzi.
Raisi anaposafiri sio Swala la kushitukiza linapangwa na watu wenye weredi sana.
Ukitaka kujua weredi wa hao security nenda uhamiaji uone Ana Makakala anavyolindwa.
TISS wanamlindaje rais physically?
Hivi mnajua kuhusu TISS?
Yaani mmeikuza TISS na kuifanya kuwa kitu kikubwa na ajabu wakati ni kiuhalisia sio kabisa.
 
Kwenye video Mama alitangulia kushuka halafu ghafla yule dada wa Usalama akachomoka fasta na kumpita Mama na kwenda kumsubiri pale chini ya ngazi. Je ni sawa.
Si sawa. Wanatangulia wawili yeye anakuwa nyuma yao ila huwa wamefundushwa kumpa spacing fulani ili aonekane. Nahisi waliopo completely new officers. With time wataenda sawa.
 
Huyu jamaaa anaishi zama za kale sana yaani anadhani mwenda zake bado yupo hai😀😀😀😀😀😀😀😀

BWANA ASIPO ULINDA MJI WALINDAO WAKESHA BUREEEEE😀
 
Tazama vizuri picha hii, Rais Samia akiwasili Dar Es Salaam mara baada ya kutoka Uganda.

Picha hii inaonyesha kuna mambo hayako sawa hasa kwa walinzi wa Rais. Wataalam watakuwa wamenielewa, naomba wahusika walifanyie kazi, tunampenda mno Rais wetu.
View attachment 1750281
Wafanyakazi wa Airport kushoto waliovaa 'lifrektas' wapo 'ziro distensi' kama sio hizo ngazi sijui tungeita wapo 'ana kwa ana' mama.
 
Hapo kiusalama hakutakiwa kushuka hivyo,aidha awe mtu mbele ya rais,ama hiyo ngazi iwekewe mwamvuli..maana wadunguaji wanaweza wakamaliza kazi tukaanza kulia.
 
Tazama vizuri picha hii, Rais Samia akiwasili Dar Es Salaam mara baada ya kutoka Uganda.

Picha hii inaonyesha kuna mambo hayako sawa hasa kwa walinzi wa Rais. Wataalam watakuwa wamenielewa, naomba wahusika walifanyie kazi, tunampenda mno Rais wetu.
View attachment 1750281
kweli kabisa mkuu hili walifanyie kazi otherwise mama Samia watapita nae mapema sana
 
Walinzi wapo wa kutosha tu,security details imekamirika,chini kila upande wapo TISS wawili,na hapo JNIA muda Raisi anaingia,hiyo sehemu inakuwa imejaa security kila kona mpaka vyooni,mpaka kwenye paa,eneo zima linawekwa chini ya ulinzi.
Raisi anaposafiri sio Swala la kushitukiza linapangwa na watu wenye weredi sana.
Ukitaka kujua weredi wa hao security nenda uhamiaji uone Ana Makakala anavyolindwa.
Nyinyi mliokalili mna shida. Hapa TISS inaweza isiwe inahusika kabisa au inahusika kwa uchache, na umejuaje kama wako wawili kila upande?

PSU ndio ulitakiwa utaje kabla ya kitu chochote. Kwenye hii kazi ya ulinzi wa rais PSU wana mamlaka kuliko TISS. Na ni organs zinazotofautishwa sana ingawa zinaweza peana briefings.
 
Tazama vizuri picha hii, Rais Samia akiwasili Dar Es Salaam mara baada ya kutoka Uganda.

Picha hii inaonyesha kuna mambo hayako sawa hasa kwa walinzi wa Rais. Wataalam watakuwa wamenielewa, naomba wahusika walifanyie kazi, tunampenda mno Rais wetu.
View attachment 1750281
Sasa rais hapo ni nani vile!?
 
Walinzi wapo wa kutosha tu,security details imekamirika,chini kila upande wapo TISS wawili,na hapo JNIA muda Raisi anaingia,hiyo sehemu inakuwa imejaa security kila kona mpaka vyooni,mpaka kwenye paa,eneo zima linawekwa chini ya ulinzi.
Raisi anaposafiri sio Swala la kushitukiza linapangwa na watu wenye weredi sana.
Ukitaka kujua weredi wa hao security nenda uhamiaji uone Ana Makakala anavyolindwa.
Tuliopo tandahimba tunaomba utupe dondoo kidogo za ulinzi wa huyo ulomtaja ana makakala
 
Tatizo la ujuaji limekuwa kero sana siku hizi!
Watu wamekuwa wajuaji kupindukia hadi kero!

Kwa taarifa yenu ANAEMLINDA NI MUNGU! hata hawa walinzi waliopo ni Auxiliary security tu!
MNABOA SANA NA UJUAJI WA KIPUUZI
Wakuangalia Movie za kuigiza
Kwanini nisikupongeze kwa kusema ukweli?
 
Tazama vizuri picha hii, Rais Samia akiwasili Dar Es Salaam mara baada ya kutoka Uganda.

Picha hii inaonyesha kuna mambo hayako sawa hasa kwa walinzi wa Rais. Wataalam watakuwa wamenielewa, naomba wahusika walifanyie kazi, tunampenda mno Rais wetu.
View attachment 1750281

Umetoa Hoja nzuri na pia ni angalizo sahihi kabisa juu ya Mashaka yako makubwa.

Ni ukweli usiopingika kuwa kuna Udhaifu mahala na najua Watu wa PSU nao wameshauona pia.

Kifo cha ghafla cha Rais Dkt. Magufuli kimechangia sana Udhaifu huo ( huu ) unaouna.

Mara nyingi Rais ajaye akijulikana basi hata PSU nao huanza Kusaka Walinzi wake ambao ni Mahiri.

Kilichotokea kwa Rais Mama Samia ni kumtafutia Kwanza wa muda na wale Mahiri wakiandaliwa Kiitifaki.

Kwa Jicho la Kiulinzi na Kiujasusi binafsi sioni faida ya hawa Walinzi Wawili Wadada kutoka PSU.

Najua Rais Mama Samia hataki Kuwaacha kwakuwa katoka nao mbali hasa huyo Mmoja mrefu.

Siwadharau Wanawake na Mnisamehe, ila Rais Mama Samia alindwe hasa tu na Wanaume.

Sina shaka na Training za PSU, ila kwa Rais wetu Mama Samia kulindwa na Wanawake ni hapana.

ESCORT 1 hofu yako itatatuliwa upesi na tegemea kuona mabadiliko au ukaimarishwa zaidi.

Kuangalia sana Movies zao zaweza Kukufanya uyajue mengi hata kama ni Raia Mwema tu na hujaariwa nao.
 
Umetoa Hoja nzuri na pia ni angalizo sahihi kabisa juu ya Mashaka yako makubwa.

Ni ukweli usiopingika kuwa kuna Udhaifu mahala na najua Watu wa PSU nao wameshauona pia.

Kifo cha ghafla cha Rais Dkt. Magufuli kimechangia sana Udhaifu huo ( huu ) unaouna.

Mara nyingi Rais ajaye akijulikana basi hata PSU nao huanza Kusaka Walinzi wake ambao ni Mahiri.

Kilichotokea kwa Rais Mama Samia ni kumtafutia Kwanza wa muda na wale Mahiri wakiandaliwa Kiitifaki.

Kwa Jicho la Kiulinzi na Kiujasusi binafsi sioni faida ya hawa Walinzi Wawili Wadada kutoka PSU.

Najua Rais Mama Samia hataki Kuwaacha kwakuwa katoka nao mbali hasa huyo Mmoja mrefu.

Siwadharau Wanawake na Mnisamehe, ila Rais Mama Samia alindwe hasa tu na Wanaume.

Sina shaka na Training za PSU, ila kwa Rais wetu Mama Samia kulindwa na Wanawake ni hapana.

ESCORT 1 hofu yako itatatuliwa upesi na tegemea kuona mabadiliko au ukaimarishwa zaidi.

Kuangalia sana Movies zao zaweza Kukufanya uyajue mengi hata kama ni Raia Mwema tu na hujaariwa nao.
Naona unajijibu kwa Id nyingine popoma.
 
Back
Top Bottom