……Kwa jicho la nyama pengine! nyie wakulima gudegude, njegere na kunde upande wenu huu na hawa wasanifu majengo wao ule.....baina yenu "msiyoyajua" kumuhusu mtu mmoja mmoja ni zaidi ya kiza kinene kwenu!Tazama vizuri picha hii, Rais Samia akiwasili Dar Es Salaam mara baada ya kutoka Uganda.
Picha hii inaonyesha kuna mambo hayako sawa hasa kwa walinzi wa Rais. Wataalam watakuwa wamenielewa, naomba wahusika walifanyie kazi, tunampenda mno Rais wetu.
View attachment 1750281