Kwenye situation kama hiyo kuna mawili.Mkuu, ikitokea umekufa baharini kwa kumezwa na papa au kupotea na ndege kama ile ya malaysia nadhani cheti hiki hakitakuwa issued kwako. Maana kutakuwa hakuna proof ya kifo chako. Hvi ikitokea scenario kama hii huwa inakuwaje? Kwa mfano ukapotea na ndege kama Malaysian airways
Ule muda tangu saa ya kufa mpaka saa ya kuzikwa hutokea mambo mengi sana mazuri na mabaya, yakusikitisha na ya kuogopesha pia.Mkuu mbona una tufikirisha mambo ambayo hatujui mwisho wake!!
Ata kabla ya cheti cha kifo wata ulizana tunamzika saa ngapi
Wengine apo apo mbele ya maiti kama vile kalala!! Kafa kweli?
wengine mbele ya maiti nani analinda nyumbani na ofisini wasije iba!!
Wingine angalia pochi haina nyaraka za benki zisije potea!!
wengine mbele ya mke wako
Simu zote na card za banki apewe shangazi akaye nazo kwanza
mwingine mjomba kaacha pesa nyingi hakuna haja ya mchango tumzike kwa pesa zake leo Adhuhuri
Kwenye maisha tuishi kwa upendo na amani mwisho wa mwanaadamu hakuna kimfacho sio watoto wala mali!
Hii itahitimishwa na taarifa za tiketi yako ya ndege na "airline manifest" ambayo itathibitisha uwepo wako kwenye ndege iloanguka au kupotea.Mkuu, ikitokea umekufa baharini kwa kumezwa na papa au kupotea na ndege kama ile ya malaysia nadhani cheti hiki hakitakuwa issued kwako. Maana kutakuwa hakuna proof ya kifo chako. Hvi ikitokea scenario kama hii huwa inakuwaje? Kwa mfano ukapotea na ndege kama Malaysian airways
Lakini bado pia hutokaa uione.cheti cha kifo!
Lakini dunia inahama kutoka hardcopy kwenda softcopy!
Labda baadae hati zote zitakuwa za kidigitali
Inabidi kuomba sana Mungu tuwe na mwisho mwema!Ule muda tangu saa ya kufa mpaka saa ya kuzikwa hutokea mambo mengi sana mazuri na mabaya , yakusikitisha na ya kuogopesha pia
Mkuu, inamaana mtu kama Bensaanane hamna chake?Mkuu, ikitokea umekufa baharini kwa kumezwa na papa au kupotea na ndege kama ile ya malaysia nadhani cheti hiki hakitakuwa issued kwako. Maana kutakuwa hakuna proof ya kifo chako. Hvi ikitokea scenario kama hii huwa inakuwaje? Kwa mfano ukapotea na ndege kama Malaysian airways
Scenario tutaaita mafao ya uzeeni endapo serikali itatoa chet chako cha kifo alafu baadae wewe na wenzako mkarudi uraiani hapo mta claims compensation kwa serikali kwa kutoa certificate ya vifo kwa watu walioko hai.Mkuu, ikitokea umekufa baharini kwa kumezwa na papa au kupotea na ndege kama ile ya malaysia nadhani cheti hiki hakitakuwa issued kwako. Maana kutakuwa hakuna proof ya kifo chako. Hvi ikitokea scenario kama hii huwa inakuwaje? Kwa mfano ukapotea na ndege kama Malaysian airways
Mkuu , inamaana mtu kama Bensaanane hamna chake?
Bado hiyo ya mwisho hutaiona!cheti cha kifo!
Lakini dunia inahama kutoka hardcopy kwenda softcopy!
Labda baadae hati zote zitakuwa za kidigitali
Umenikumbusha member mwenzetu Ben SaananeMkuu, ikitokea umekufa baharini kwa kumezwa na papa au kupotea na ndege kama ile ya malaysia nadhani cheti hiki hakitakuwa issued kwako. Maana kutakuwa hakuna proof ya kifo chako. Hvi ikitokea scenario kama hii huwa inakuwaje? Kwa mfano ukapotea na ndege kama Malaysian airways
Pole mtani na kitunze vizuriKweli. Cheti cha mume wangu ninacho. Japokuwa tulikuwa separate muda mrefu sana na japokuwa walininyima na kunipora kila kitu ila cheti cha kifo aliyepewa ni mke wa ndoa ijapokuwa walikuwepo wamama wengi wengi tu.
Tujitahidi kuweka mambo vzr tukiwa na uhai maana kifo kipo.
Makaratasi mazuri sanaNaomba kujua tu hiyo picha inayozunguka hapo.
Mwe maisha haya
Mshana sio poa haaaaa haaa