Kuna karatasi yako moja muhimu hutaiona!

Mkuu, ikitokea umekufa baharini kwa kumezwa na papa au kupotea na ndege kama ile ya malaysia nadhani cheti hiki hakitakuwa issued kwako. Maana kutakuwa hakuna proof ya kifo chako. Hvi ikitokea scenario kama hii huwa inakuwaje? Kwa mfano ukapotea na ndege kama Malaysian airways
Kwenye situation kama hiyo kuna mawili.

1. Uthibitisho wa kiserikali baada ya muda wa msako kupita na kuthibitika upotevu usio na dalili ya kupatikana.
2. Kimila, kifamilia au kindugu kuamua kuweka msiba wa kufikirika na kufikia uamuzi wa kifo cha mhusika.
 
Mkuu mbona una tufikirisha mambo ambayo hatujui mwisho wake!!

Ata kabla ya cheti cha kifo wata ulizana tunamzika saa ngapi

Wengine apo apo mbele ya maiti kama vile kalala!! Kafa kweli?

wengine mbele ya maiti nani analinda nyumbani na ofisini wasije iba!!

Wingine angalia pochi haina nyaraka za benki zisije potea!!

wengine mbele ya mke wako
Simu zote na card za banki apewe shangazi akaye nazo kwanza

mwingine mjomba kaacha pesa nyingi hakuna haja ya mchango tumzike kwa pesa zake leo Adhuhuri

Kwenye maisha tuishi kwa upendo na amani mwisho wa mwanaadamu hakuna kimfacho sio watoto wala mali!
Ule muda tangu saa ya kufa mpaka saa ya kuzikwa hutokea mambo mengi sana mazuri na mabaya, yakusikitisha na ya kuogopesha pia.
 
Mkuu, ikitokea umekufa baharini kwa kumezwa na papa au kupotea na ndege kama ile ya malaysia nadhani cheti hiki hakitakuwa issued kwako. Maana kutakuwa hakuna proof ya kifo chako. Hvi ikitokea scenario kama hii huwa inakuwaje? Kwa mfano ukapotea na ndege kama Malaysian airways
Hii itahitimishwa na taarifa za tiketi yako ya ndege na "airline manifest" ambayo itathibitisha uwepo wako kwenye ndege iloanguka au kupotea.

Hivyo kutafanyika inquest na baada ya hapo coroner ataandika cheti cha kifo.
 
Hii itahitimishwa na taarifa za tiketi yako ya ndege na "airline manifest" ambayo itathibitisha uwepo wako kwenye ndege iloanguka au kupotea.

Hivyo kutafanyika inquest na baada ya hapo coroner ataandika cheti cha kifo.
 
Mkuu, ikitokea umekufa baharini kwa kumezwa na papa au kupotea na ndege kama ile ya malaysia nadhani cheti hiki hakitakuwa issued kwako. Maana kutakuwa hakuna proof ya kifo chako. Hvi ikitokea scenario kama hii huwa inakuwaje? Kwa mfano ukapotea na ndege kama Malaysian airways
Mkuu, inamaana mtu kama Bensaanane hamna chake?
 
Mkuu, ikitokea umekufa baharini kwa kumezwa na papa au kupotea na ndege kama ile ya malaysia nadhani cheti hiki hakitakuwa issued kwako. Maana kutakuwa hakuna proof ya kifo chako. Hvi ikitokea scenario kama hii huwa inakuwaje? Kwa mfano ukapotea na ndege kama Malaysian airways
Scenario tutaaita mafao ya uzeeni endapo serikali itatoa chet chako cha kifo alafu baadae wewe na wenzako mkarudi uraiani hapo mta claims compensation kwa serikali kwa kutoa certificate ya vifo kwa watu walioko hai.
 
Mkuu , inamaana mtu kama Bensaanane hamna chake?

Ziraili wa gizani
 
Kweli. Cheti cha mume wangu ninacho. Japokuwa tulikuwa separate muda mrefu sana na japokuwa walininyima na kunipora kila kitu ila cheti cha kifo aliyepewa ni mke wa ndoa ijapokuwa walikuwepo wamama wengi wengi tu.

Tujitahidi kuweka mambo vzr tukiwa na uhai maana kifo kipo.
 
Mkuu, ikitokea umekufa baharini kwa kumezwa na papa au kupotea na ndege kama ile ya malaysia nadhani cheti hiki hakitakuwa issued kwako. Maana kutakuwa hakuna proof ya kifo chako. Hvi ikitokea scenario kama hii huwa inakuwaje? Kwa mfano ukapotea na ndege kama Malaysian airways
Umenikumbusha member mwenzetu Ben Saanane
 
Kweli. Cheti cha mume wangu ninacho. Japokuwa tulikuwa separate muda mrefu sana na japokuwa walininyima na kunipora kila kitu ila cheti cha kifo aliyepewa ni mke wa ndoa ijapokuwa walikuwepo wamama wengi wengi tu.

Tujitahidi kuweka mambo vzr tukiwa na uhai maana kifo kipo.
Pole mtani na kitunze vizuri
 
Makaratasi mazuri sana
giphy.gif
giphy.gif
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom