Kuna helicopter inazurura mjini imebeba bango!

Kuna helicopter inazurura mjini imebeba bango!

Inatanganza mikutano ruksa kufanya amnanamna maana imefika mpaka mwanza maana kupambana na demokrasia ukashida haiwezekani
 
airtel wanatangaza promosehini yao ya Facebook bila salio special kwa wanaume wa dar.
72acb4331438ffa10cb8306699b499d0.jpg
 
Rangi ya airtel ni IPI na ya Voda ni IPI mkuuu.....
rangi ya airtel ni nyekundu, voda rangi yao ilikuwa ni blue ila waliwaiga airtel mara baada ya kuona airtel wanafaidi na ile HAKATWI MTU HAPA.
 
Rangi ya airtel ni IPI na ya Voda ni IPI mkuuu.....
rangi ya airtel ni nyekundu, voda rangi yao ilikuwa ni blue ila waliwaiga airtel mara baada ya kuona airtel wanafaidi na ile HAKATWI MTU HAPA.
Hata sasa watawaiga na facebook ya bure.
 
rangi ya airtel ni nyekundu, voda rangi yao ilikuwa ni blue ila waliwaiga airtel mara baada ya kuona airtel wanafaidi na ile HAKATWI MTU HAPA.

Dah, jamaa umejibu swali kibongo bongo, so kama Airtel ni nyekundu na Voda ni nyekundu pia, umewezaji kujua kwamba ni Airtel kwa kuangalia rangi wakati hata Voda ni nyekundu?
 
hiyo itakua ni ile ya mheshimiwa mapinduzi ya viwanda
 
Back
Top Bottom