Kuna helicopter inazurura mjini imebeba bango!

Kuna helicopter inazurura mjini imebeba bango!

Hapa ndo utaona sisi watanzania tunapenda mizaa sana ( utani) mtu anauliza swala zuri tu lakini watu wanajibu tu wanavyojisikia kwani mkitulia tusubiri wenye kuwa na majibu sahihi kuna ubaya?
Watanzania wanafanya utani hata kwenye Maisha yao kama kuchora midoli kwenye mitihani yao..watanzania ni watu wa mizaa tu!!
Usiwashangae!!
 
Yaani ameamua kuunguza mafuta na kuingia gharama kubwa hata maandishi hayaonekani? Maajabu haya!

Hiyo helkopta hawajui kuweka tangazo vizuri.Huwa likifungwa mkiani kama tela maandishi lazima yasomeke.

Hapo hayasomeki wanazunguka tu hewani hao maruhuni warudishe pesa za watu.

Halafu aliyeandaa Tangazo pia ilibidi liwe na logo ya airtel au helkopta ingepambwa hata na kanga au kitenge kikubwa chenye maaindishi makubwa yaliyoandikwa AIRTEL ili kuonyesha kuwa ni AIRTEL HAO wakiwakilisha ujumbe.
 
image.jpeg
Wabongo makatuni sanaaa
 
Hiyo helkopta hawajui kuweka tangazo vizuri.Huwa likifungwa mkiani kama tela maandishi lazima yasomeke.

Hapo hayasomeki wanazunguka tu hewani hao maruhuni warudishe pesa za watu.

Halafu aliyeandaa Tangazo pia ilibidi liwe na logo ya airtel au helkopta ingepambwa hata na kanga au kitenge kikubwa chenye maaindishi makubwa yaliyoandikwa AIRTEL ili kuonyesha kuwa ni AIRTEL HAO wakiwakilisha ujumbe.
Ndio ujue hapo kuna watu walivamia fani.. Manake facebook ndio inaonekana tu.. Sasa sijui kama Mark Z. Anawalipa ama nini
 
jamani mwenzetu analeta kitu cha muhimu hvyo bt majibu yanakuwa haya?
kwanin? sasa HAO WANAOPROMOT NDO WANAFANYA HIVYO BILA TAHARIFA? je wale walioko ndani wataonaje?
je tahariifa zmetolewa, au ndo KUOGOPESHANA,,,TENA RANGI NYEKUNDU (JAPO MI SJAONA)
 
we inanitangaza kuwa kuanzia kesho mim ntakuwa raisi broo magu anaenda kulima
 
Sasa hawa jamaa wanatangaza facebuka bure hivi kweli kwa uchumi huu ulivyo unatangazia watanzania kufacebuka bure, aisee ni mizaha ya ukuaji uchumi wa nchi na matumizi mabaya ya simu ambazo nyingi ndio zinasubiri nyundo ya TCRA.
Bora wangetangaza sukari bure tungewaelewa
 
Back
Top Bottom