Abdalah Abdulrahman
JF-Expert Member
- Aug 29, 2019
- 222
- 201
Watumishi wa umma ndio wanaowahudumia wananchi,kasi ya ugonjwa wa uviko-19 inaweza kupungua kwa serikali kuwalazimisha watumishi wa umma kuchanja.
Hii itasaidia
1. Watumishi kuto ambukizana
2. Watumishi kuto ambukiza wananchi
3. Wananchi kuto kuwaambukiza watumishi
Nchini Kenya idadi ya wananchi wliochanja ni kubwa ukilinganisha na Tanzania,licha ya idadi kuwa kubwa masharti magumu yamewekwa kwa wananchi wasiochanja ikiwepo kusafiri na kupata huduma zingine.
Tanzania haitakiwi kuweka masharti magumu,njia nyepesi ni kuhakikisha kila mtumishi anapata chanjo,baada ya watumishi wote kupata chanjo tunaenda kwa watoa huduma kwa serikali,na baadae kwa wananchi
Hii itasaidia
1. Watumishi kuto ambukizana
2. Watumishi kuto ambukiza wananchi
3. Wananchi kuto kuwaambukiza watumishi
Nchini Kenya idadi ya wananchi wliochanja ni kubwa ukilinganisha na Tanzania,licha ya idadi kuwa kubwa masharti magumu yamewekwa kwa wananchi wasiochanja ikiwepo kusafiri na kupata huduma zingine.
Tanzania haitakiwi kuweka masharti magumu,njia nyepesi ni kuhakikisha kila mtumishi anapata chanjo,baada ya watumishi wote kupata chanjo tunaenda kwa watoa huduma kwa serikali,na baadae kwa wananchi