kwinyo
JF-Expert Member
- May 2, 2017
- 281
- 230
Sidhani kama hili tatizo lingekua pande za Kaskazini mngetoa ushauri kama huu haya yanatokana na chuki, ubinafsi na kuto thamini baadhi ya watu Arusha kuna kigogoro mbona hamutoi pendekezo lolote, acheni upogo Serikali inajua nn inachokifanya JWT lina majukumu yake Jeshi la polisi linamajukumu yake mnajadili mnatoa maamuzi wenyewe acheni ukereketwa sibora mngependekeza kujua IGP anasemaje kumbukeni ikipotea amani pwani bara haitonusurika isitoshe kwa nn mnapendekeza nguvu zaid pasi na huruma yoyote !!Wakuu ni wazi kuwa tunakoelekea Sasa Tanzania inaface insecurity kama Kenya Ambapo Askari wana popolewa kila na Alshaabab
Namshauri Rais na Timu yake ni wakati wa Kutumia Elite Special special force kama ya JWTZ Nina Imani tutauangamiza Mtandao wa Wahalifu hasa eneo la Kibiti.
Tumechoka na watu wanaua Askari wanapora silaha 8, Halafu siku hiyo hiyo Mtu anakuja kudanganya kwenye media kuwa tumeyakamata silaha ni kweli Unapunguza tension kwa wananchi lakini Mioyoni mwenu Mnajua Kua hamjakamata Silaha yeyote.
Pia Kiwepo kikosi cha Kuchunguza kwa Nini wanaouwawa ni watu wenye mahusiano ya Moja kwa Moja na Chama cha Mapinduzi Chuki hii imesababiswa na Nini na Imeanzia wapi?
Nina amini Military Operation ya JWTZ itazaa Matunda kwanza huwa wako friendly sana na Raia ulilinganisha Polisi.
Hata Nchi Za Uingereza Ni Mara Kibao (Special Air Services) SAS na US Marine na Navy Seal Wanatumika kwenye Majanga Mbalimbali.
View attachment 511125 View attachment 511126
View attachment 511128