mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 30,703
- 37,314
Hata chooni wapo, ila hawamshauri rais kupitia huko.hao washauri wa raisi pia wapo mitandaoni.. amka usingizini mkuu
Hata chooni wapo, ila hawamshauri rais kupitia huko.hao washauri wa raisi pia wapo mitandaoni.. amka usingizini mkuu
Kwahyo tusitumie Jwtz kisa itaonekana nchi imekuwa na insecurity??? Ssa kwanni wasije hao JWTZ wakalizima mapema suali hili kuliko hawa polisi wanaochinjwa kma kuku??? Yaani image ndio priority kuliko maisha ya watu!!! Kaz kwelikweli
Wako Kibiti na RufijiUnajifariji tu. Wale wa Amboni gorge,Tanga wako wapi leo? Au wao walivaa magwanda?
Hahahahaaaaaa aiseee nimecheka sanaPolisi wamewapa raia amri ya kutotembea kuanzia saa 12 jioni kule Kibiti, Mkuranga na Ikwiriri. Wakati raia wanaingia majumbani kwao nyakati hizo za magharibi, polisi nao wanaingia kwenye mahema yao na kuwaacha magaidi wakitembea kwa uhuru na hivyo kumuua yeyote wamtakaye bila upinzani wowote.
Ni vigumu sana kupigana na adui usiye mjua..Wakuu ni wazi kuwa tunakoelekea Sasa Tanzania inaface insecurity kama Kenya Ambapo Askari wana popolewa kila na Alshaabab
Namshauri Rais na Timu yake ni wakati wa Kutumia Elite Special special force kama ya JWTZ Nina Imani tutauangamiza Mtandao wa Wahalifu hasa eneo la Kibiti.
Tumechoka na watu wanaua Askari wanapora silaha 8, Halafu siku hiyo hiyo Mtu anakuja kudanganya kwenye media kuwa tumeyakamata silaha ni kweli Unapunguza tension kwa wananchi lakini Mioyoni mwenu Mnajua Kua hamjakamata Silaha yeyote.
Pia Kiwepo kikosi cha Kuchunguza kwa Nini wanaouwawa ni watu wenye mahusiano ya Moja kwa Moja na Chama cha Mapinduzi Chuki hii imesababiswa na Nini na Imeanzia wapi?
Nina amini Military Operation ya JWTZ itazaa Matunda kwanza huwa wako friendly sana na Raia ulilinganisha Polisi.
Hata Nchi Za Uingereza Ni Mara Kibao (Special Air Services) SAS na US Marine na Navy Seal Wanatumika kwenye Majanga Mbalimbali.
View attachment 511125 View attachment 511126
View attachment 511128
Walitumika mtwara kipindi cha kuzuia Gesi,Ngorongoro kipindi za majambazi ya kisomali ,Arusha majambazi ya bank,Dar magari yao yakipita tuu watu wananywea kuandamanaKwani jwtz ndio watafanya nini
Kwani umeambiwa kuna waasi kule ,au vita
Jeshi Lina hao watu wa intellejensia usifikili jeshi kazi yao ni kurusha risasi tuJeshi lina utaalam wakukusanya inteligence kwaajili ya vita. Sidhani kama kuhoji raia ni taaluma yao.
Kwenye hilihili jeshi la polisi kuna watu sema vipaumbele vya viongozi wao ndio vinaweza kuwa tatizo.
Nakumbuka kuna askari mmoja alimkomalia mke wa mheshimiwa flani hivi kwa issue ya sheria barabarani ikasemekana apandishwe cheo.
Sasa imagine anakutana na msala kama huu!!!!
Siasa imeliharibu sana jeshi la polisi.
Ukimkomalia Manji akalala ndani unapanda cheo.
Ukimkomalia Mbowe, unakula mbavu tatu.
Ukimkamata Lema kibabe, mkuu anakupandisha cheo mwenyewe!
Hapo ndio utakuta misfit leaders kibao kwenye jeshi!
Hili jeshi lililoko sasahivi lisivunjwe, lifanywe blue gurd, vichambuliwe vichwa vinavyojitambua tuunde jeshi linalojali qualifications na professionalism.
Wanajeshi na polisi wanamiili kama wewe na adui hajulikani hivyo wanaviziana hawezi kuwa kwenye hema.Polisi wamewapa raia amri ya kutotembea kuanzia saa 12 jioni kule Kibiti, Mkuranga na Ikwiriri. Wakati raia wanaingia majumbani kwao nyakati hizo za magharibi, polisi nao wanaingia kwenye mahema yao na kuwaacha magaidi wakitembea kwa uhuru na hivyo kumuua yeyote wamtakaye bila upinzani wowote.
mike acha izo bhana twenzetu tukawachape mdeki awo wasumbufu wa kibiti...vitz ipo tuu utaiendesha twenzetu mike....Wanajeshi wenyewe wako busy tutest vi vitz vyao vya mikopo...yaan niache kuendesha ki vitz changu barabra ya nyerere ati niende kibiti nikawide wanaoua viongozi wa ccm, kwani mie ni ccm? mie ni serikali...nimeajiriwa na serikali...angekufa mwananchi ningeenda fasta.
Safi Sana Hapa Nimeona Great Think Nakubaliana Na wewe 95%Wakuu ni wazi kuwa tunakoelekea Sasa Tanzania inaface insecurity kama Kenya Ambapo Askari wana popolewa kila na Alshaabab
Namshauri Rais na Timu yake ni wakati wa Kutumia Elite Special special force kama ya JWTZ Nina Imani tutauangamiza Mtandao wa Wahalifu hasa eneo la Kibiti.
Tumechoka na watu wanaua Askari wanapora silaha 8, Halafu siku hiyo hiyo Mtu anakuja kudanganya kwenye media kuwa tumeyakamata silaha ni kweli Unapunguza tension kwa wananchi lakini Mioyoni mwenu Mnajua Kua hamjakamata Silaha yeyote.
Pia Kiwepo kikosi cha Kuchunguza kwa Nini wanaouwawa ni watu wenye mahusiano ya Moja kwa Moja na Chama cha Mapinduzi Chuki hii imesababiswa na Nini na Imeanzia wapi?
Nina amini Military Operation ya JWTZ itazaa Matunda kwanza huwa wako friendly sana na Raia ulilinganisha Polisi.
Hata Nchi Za Uingereza Ni Mara Kibao (Special Air Services) SAS na US Marine na Navy Seal Wanatumika kwenye Majanga Mbalimbali.
View attachment 511125 View attachment 511126
View attachment 511128