G Sam
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 11,555
- 35,880
Na wakutunguliwa huko?Mheshimiwa Amiri jeshi Mkuu,
Kwa mauaji yanaoendelea huko suluhisho ni kuwepo kwa operesheni maalumu ya JWTZ ya kupita msitu kwa msitu, Nyumba kwa nyumba na vizuizi barabarani vya ukaguzi wa mfuko kwa mfuko kuanzia Kongowe vikindu, mkuranga kwenda mpaka somanga Kilwa.