Natamani sana somo la ustaarabu lianze kufundishwa Shule za msingi huenda inaweza kusaidia!
Natamani sana watu wajifunze kufurahi au kuhuzunika pasipo kuathiri wengine!
Hapa ninamaanisha watu watambue umhimu wa kufanya mambo yao, ikabaki ya kwao pasipo kuathiri watu wengine bila sababu!
Nasema hivi kwasababu Afrika jambo halinogi kuwa jambo hadi limkwaze mwingine!
Mfano!
Natamani sana watu wajifunze kufurahi au kuhuzunika pasipo kuathiri wengine!
Hapa ninamaanisha watu watambue umhimu wa kufanya mambo yao, ikabaki ya kwao pasipo kuathiri watu wengine bila sababu!
Nasema hivi kwasababu Afrika jambo halinogi kuwa jambo hadi limkwaze mwingine!
Mfano!
- Mtu ana gari binafsi anapata faida gani kwa mfano kufungulia mziki mkubwa huku kashusha kioo?
- Mtu ana matako makubwa kwa mfano, havai chupi ayabane na anapita mbele za watu kusudi.
- Mtu ana chumba chake lakini anaamua kufungulia sauti kubwa.
- Mtu ana shughuli binasi anaamua kuziba njia.
- Mtu anafanya mapenzi binafsi lakini anapiga kelele hadi mtaa wa pili tena mchana.
- Mtu anasali usiku lakini anatumia spika na maiki kana kwamba shetani ni huyo jirani yake!
- Mtu anakunywa pombe lakini anatamba mtaa mzima.