Kuna dalili mwaka huu 2024 kuwa na majanga mengi ya kiasili.

Mshuza2

JF-Expert Member
Dec 27, 2010
11,019
16,451
Tujiandae kisaikolojia,hali sio nzuri kwa upande wetu..dalili zimeshaanza kujionesha toka mwaka jana mwishoni.

Mimi sio mtaalam wa mambo ya hali ya hewa..lakini unaweza kuzingatia nilalosema au ukapuuza..
 
Hakuna janga wala nini tena mwaka huu ndio mwaka wa mavuno mengi mana mvua zimeanza novemba na tunazo mwaka mzima
 
Tujiandae kisaikolojia,hali sio nzuri kwa upande wetu..dalili zimeshaanza kujionesha toka mwaka jana mwishoni.

Mimi sio mtaalam wa mambo ya hali ya hewa..lakini unaweza kuzingatia nilalosema au ukapuuza..
Ajaliyandege inakujaaa mkuuu
 
Back
Top Bottom