Ashampoo burning
JF-Expert Member
- May 12, 2023
- 420
- 1,582
Huwa napenda kuandika humu kama diary yangu maana
Basi nilliwahi andika nikiwa na umri wa miaka 22 nilikuwa nishashika hela nyingi kama million 100 na zaidi kutoka biashara nilikuwa nafanya kkoo ila hizi hela zilikuja kuuvunja moyo wangu mno sitak tena
Kwa muda wa miaka sita mfulizo umekuwa miaka ya depression na majuto
1. Kuondoka kwa mdogo wangu kwenye biashara ambayo tulikuwa tukifanya pamoja kumbuka biashara ilikuwa na technology nikamfundisha alivyojua tu sababu hakuwa mdogo wangu kabisa wa dam akawaita dada zake wafungua same business ase mimi nilipata stress mno 2019 mwezi nne ...nilijisikia vibaya kusalitiwa na ndugu nikakataa undugu sababu nilikuwa nampenda ndugu yngu pamoja na kwao koz nilikulia kwao so jambo liliniuma mno nikamua kukataa undugu
2. Mwaka 2020-2021..
China wakafunga corona so nikawa nashindwa kuleta vifaa vya ofisi on time na wafanyakazi wakawa bado wako ofisini kumbuka nilikuwa na madereva wawili wote mishahara laki tano hapo bado watu marketing na account na wengine so two years nikala hasara while depression kali crdb wakawa wanikopa hela nashukuru ila kurudisha kwa shida maana biashara hakuna China wamefunga mtaji ukafa rasmi mwaka 2021 mwezi 6 very depressed nikawaaga wafanyakazi wangu wakilia hawaamini kama ofisi inafungwa nikasepa home Iringa kumuona mama
3. Mwaka 2022.... nikawa nimerudi mjini
Sababu ya uzoefu wa mji nikauza gari yangu nikalipa madeni then nikapiga mishe mishe tena nikapa kama million 30 hivi mkononi na mtoto wa boss mmoja rafiki wa Magufuli akanipa kama 6 million so nikawa na 36 million nikaanza upya biashara mambo safi kabisa.....sijaka kila nikileta mzigo ikawa iko slow sio kama mwanzo hapa sababu nilitafuta wafanyakazi wa bei rahisi sio professional kama wale wa mwanzo
Bomu likaja maza akaanza kuumwa kutokana na maza alikuwa anaumwa moyo pia bahati mbaya my mumy alikuwa HIV positive ..so alipigwa stroke kisha wakachelewa kumuokoa so aka palalaizi mwili kwetu mimi ndo mwenye hela nikaanza kutuma hela kaka zangu wahuni wakawa wanakula tu hela
Sababu mama ni HIV positve hali kutoka kupalalaizi ikaenda hadi AIDS mimi niko town dada sijui mama kafika stage ya AIDS ...
Bad new dada angu nae aliugua ghafla nikatuma hela zimsaidie ila ndugu zang wakawa wanakula dada angu kipenzi akafa wakati mama akiwa hoi chini AIDS.....nikaenda msiba wa dada Iringa kufika nakuta mama yupo AIDS sijawahi lia kama mwanaume kama vile mama akaniangalia akisema usijali nitapona akamuulizia dada mbona haji kumuona tukasema kasafiri tulimficha maza hili swala mwezi huo maza akafariki 2022 gharama za msiba zote nikasimamia pamoja ndugu walitoa kidogo depression ikaendelea tena kwa kasi biashara ikangua tena sababu ubungo ulipata mapigo mawili ndani ya mwezi mmoja misiba miwili
4. BReak up 2023
Nikarudi town again toka Iringa biashra ikiwa na mtaji mdogo sana sasa nilikuwa na msichana wangu nilikaa nae almost 5 years kashazoea boss ashampoo business ikayumba niliona rangi ambazo sijawahi ona kuna uzi niliwahi andika hapa asee dem alibadilika sijawahi ona akapata lijamaa lipo bandarini asee plus depreession ya misiba mara break up kwani hata biashara nilifanya nikafunga nikachukua million 10 ...nikapanga nyumba mpya nikawa sifanyi kazi yeyote zaid ya kula na kulala hadi hela ikaisha.
So 2024 nimejifunza mengi miaka hiiyo pia no niko age 32 so sina mtoto wala mke na sina mpango.
2024
Basi nilliwahi andika nikiwa na umri wa miaka 22 nilikuwa nishashika hela nyingi kama million 100 na zaidi kutoka biashara nilikuwa nafanya kkoo ila hizi hela zilikuja kuuvunja moyo wangu mno sitak tena
Kwa muda wa miaka sita mfulizo umekuwa miaka ya depression na majuto
1. Kuondoka kwa mdogo wangu kwenye biashara ambayo tulikuwa tukifanya pamoja kumbuka biashara ilikuwa na technology nikamfundisha alivyojua tu sababu hakuwa mdogo wangu kabisa wa dam akawaita dada zake wafungua same business ase mimi nilipata stress mno 2019 mwezi nne ...nilijisikia vibaya kusalitiwa na ndugu nikakataa undugu sababu nilikuwa nampenda ndugu yngu pamoja na kwao koz nilikulia kwao so jambo liliniuma mno nikamua kukataa undugu
2. Mwaka 2020-2021..
China wakafunga corona so nikawa nashindwa kuleta vifaa vya ofisi on time na wafanyakazi wakawa bado wako ofisini kumbuka nilikuwa na madereva wawili wote mishahara laki tano hapo bado watu marketing na account na wengine so two years nikala hasara while depression kali crdb wakawa wanikopa hela nashukuru ila kurudisha kwa shida maana biashara hakuna China wamefunga mtaji ukafa rasmi mwaka 2021 mwezi 6 very depressed nikawaaga wafanyakazi wangu wakilia hawaamini kama ofisi inafungwa nikasepa home Iringa kumuona mama
3. Mwaka 2022.... nikawa nimerudi mjini
Sababu ya uzoefu wa mji nikauza gari yangu nikalipa madeni then nikapiga mishe mishe tena nikapa kama million 30 hivi mkononi na mtoto wa boss mmoja rafiki wa Magufuli akanipa kama 6 million so nikawa na 36 million nikaanza upya biashara mambo safi kabisa.....sijaka kila nikileta mzigo ikawa iko slow sio kama mwanzo hapa sababu nilitafuta wafanyakazi wa bei rahisi sio professional kama wale wa mwanzo
Bomu likaja maza akaanza kuumwa kutokana na maza alikuwa anaumwa moyo pia bahati mbaya my mumy alikuwa HIV positive ..so alipigwa stroke kisha wakachelewa kumuokoa so aka palalaizi mwili kwetu mimi ndo mwenye hela nikaanza kutuma hela kaka zangu wahuni wakawa wanakula tu hela
Sababu mama ni HIV positve hali kutoka kupalalaizi ikaenda hadi AIDS mimi niko town dada sijui mama kafika stage ya AIDS ...
Bad new dada angu nae aliugua ghafla nikatuma hela zimsaidie ila ndugu zang wakawa wanakula dada angu kipenzi akafa wakati mama akiwa hoi chini AIDS.....nikaenda msiba wa dada Iringa kufika nakuta mama yupo AIDS sijawahi lia kama mwanaume kama vile mama akaniangalia akisema usijali nitapona akamuulizia dada mbona haji kumuona tukasema kasafiri tulimficha maza hili swala mwezi huo maza akafariki 2022 gharama za msiba zote nikasimamia pamoja ndugu walitoa kidogo depression ikaendelea tena kwa kasi biashara ikangua tena sababu ubungo ulipata mapigo mawili ndani ya mwezi mmoja misiba miwili
4. BReak up 2023
Nikarudi town again toka Iringa biashra ikiwa na mtaji mdogo sana sasa nilikuwa na msichana wangu nilikaa nae almost 5 years kashazoea boss ashampoo business ikayumba niliona rangi ambazo sijawahi ona kuna uzi niliwahi andika hapa asee dem alibadilika sijawahi ona akapata lijamaa lipo bandarini asee plus depreession ya misiba mara break up kwani hata biashara nilifanya nikafunga nikachukua million 10 ...nikapanga nyumba mpya nikawa sifanyi kazi yeyote zaid ya kula na kulala hadi hela ikaisha.
So 2024 nimejifunza mengi miaka hiiyo pia no niko age 32 so sina mtoto wala mke na sina mpango.
2024