Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,231
- Thread starter
- #21
Aah wapi. Basi tu sijakuamualia kaka.
Maisha ya ndoa ni full burdani, yaani twakata mti twapanda miti. Wewe jilipue tu acha kudesa, utachemsha! Ohooo! Kabakabana kaenda wapi siku hizi?
hehehe kama ni burudani hivo aisee heri nijiunge soon,Kbkna sijui yuko wapi bhana hata hajanianga