Wanajamvi hamjambo?
Natumai mu wazima wa afya, leo nataka nijifunze kitu hapa. Miaka kadhaa ya nyuma tuliwahi kutoa semina hapa jamvini namna yakuindokana na tatizo lakupiga punyeto kwa wanaume.
Leo natamani kupata ushuhuda kutoka kwenu kama yupo aliyewahi kufanikiwa kuacha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Natumai mu wazima wa afya, leo nataka nijifunze kitu hapa. Miaka kadhaa ya nyuma tuliwahi kutoa semina hapa jamvini namna yakuindokana na tatizo lakupiga punyeto kwa wanaume.
Leo natamani kupata ushuhuda kutoka kwenu kama yupo aliyewahi kufanikiwa kuacha.
Sent using Jamii Forums mobile app