Fahamu Kuhusu Biashara ya Clearing and Forwarding Agent

Masokotz

JF-Expert Member
Nov 26, 2018
3,504
5,539
Habari za wakti huu;

Leo nimeona nilete mjadala kidogo kuhusu Biashara ya Clearing and Forwaring Agency.Kabla ya kuingia kwenye mjadala niweke wazi kwamba mm sifanyi shughuli za C&F.Hivyo basi maoni na mtazamo wangu upo zaidi kibiashara na kiujumla na ninaamni kwamba wengine watajifunza na wale ambao wako kwenye industry wataongezea yale ambayo yanakosekana.

Biashara ya C& F ni bishara ambayo ina uhusiano na TRA ambako pia hujulikana kama mawakala wa Forodha.Lakini pia inahusisha ufanyaji kazi kwa karibu na Shipping Agencies,na kampuni za usafirishaji mizigo pamoja na waendesha Custom bonded warehouses na inland containers depots.Hivyo basi ili kazi yako ya C&F iwe vizuri ni lazima uwe na uelewa wa shughuli za hizo zilizotaja.

Kibali cha kufanya shughuli za wakala wa Forodha hutolewa na Mamlaka ya Mapato TRA kwa kuzingatia masharti ni vigezo mbalimbali ikiwemo kuwa na utaalamu wa masual ya Forodha ambapo Mafunzo yake yanapatikana katika chuo cha USIMAMIZI wa KODI cha TRA.Ni kozi ya Muda Mfupi(Less than a year).Lakini pia kuna masharti mengine ambayo unaweza kuyapata kwa kuwasiliana na ofisi ya TRA iliyo karibu na wewe,ikiwamo Bond Guarantee etc.

Je unapataje Pesa Katik Biashara hii?
Katika biashara hii wewe unakuwa na kazi moja kubwa ambayo ni kuhakikisha mzigo wa mteja wako unavuka katika Mpaka wa forodha mpaka kukufikia na kuhakikisha kwamba masuala yote ya kodi na malipo mengine yote yanafanyika kikamilifu.Katika kutoa huduma hii utatoza Ada maalum kwa mteja wako kulingana na aina ya huduma na thamani ya mzigo. Hivyo basi kadiri unavoweza kutoa huduma bora na unapokuwa na uelewa wa taratibu na kanuni mbalimbali ndivyo inavykuwa rahisi kwa wewe kutoa huduma bora zaidi na kutengeneza faida zaidi.

Unawezaje kufanikiwa katika Biashara hii?
Kufanikiwa katika biashara hii kunahitaji ubunifu wa hali ya Juu.Kwanza unahitaji kujenga mahusiano mazuri na kampuni za usafirishaji,Kampuni zinazoagiza mizigo kwa kiawango kikubwa(Cargo Consolidators na pia kujenga mtandao mzuri wa masoko na Biashara.

Unahitaji pia kufahamu aina ya biadhaa ambazo wateja huagiza mara kwa mara na nmna bora ya kuwawezesha kupata mzigo yao kwa haraka na kwa gharama nafuu

Je Biashara hii unaweza kuanza kwa mtaji kiasi gani?
Kwa kutegemea eneo ulipo na soko ulilolenga gharama za kuanzisha Biashara hii zinaweza kuhusisha gharama ya Pango,Computers,Leseni na Vibali,Bond Guarantee costs kwa ajili ya TRA,Gharama za Mafunzo kama huna Mafunzo yanayohusu hilo eneo pamoja na gharama za matangazo na Masoko.

Je ni Maboresho gani naweza kufanya katika Biashara hii?
Katika bisahra hii unaweza kujiongeza kwa kuongeza huduma za dropshiping and product sourcing kwa biadhaa zinazotoka nje ya nchi.Mfano unaweza wasaidia watu kuagizi bidhaa kutoka UCHINA,Japan,Uturuki,Uingereza na kwingine na kwa kutumia mtandao wako na uzoefu ukawawezesha kuagiz mzigo kwa kuwasiliana na wewe moja kwa moja badili ya kuwasiliana na watu tofauti tofauti.Kama unaweza hata kuwa na Shipping address nje ya nchi itakuwa rahisi zaidi kama ambavyo makampuni mengine yanafanya.Cha muhim ni kujaribu kufanya namna ili uwe na bidhaa fulani ambayo unaweza kuiagiza na kuipromote kwa uhakika huku ukifahamu gharama zake mpaka ifike kwa mnunuzi wa Mwisho


Karibuni tujadili zaidi kuhusu Biashara hii ya Clearing nd Forwarding Agent na kwa wale ambao wana utaalamu na biashara hii wanaweza kuja kuleta maboresho na kuboresha mjadala kwa maslahi ya wengine.

Kwa mawasiliano zaidi na huduma za ushauri wa biashara tafadhali wasiliana nasi kwa email:masokotz@yahoo.com au PM

Karibuni kwa mjadala
 
Habari za wakti huu;

Leo nimeona nilete mjadala kidogo kuhusu Biashara ya Clearing and Forwaring Agency.Kabla ya kuingia kwenye mjadala niweke wazi kwamba mm sifanyi shughuli za C&F.Hivyo basi maoni na mtazamo wangu upo zaidi kibiashara na kiujumla na ninaamni kwamba wengine watajifunza na wale ambao wako kwenye industry wataongezea yale ambayo yanakosekana.

Biashara ya C& F ni bishara ambayo ina uhusiano na TRA ambako pia hujulikana kama mawakala wa Forodha.Lakini pia inahusisha ufanyaji kazi kwa karibu na Shipping Agencies,na kampuni za usafirishaji mizigo pamoja na waendesha Custom bonded warehouses na inland containers depots.Hivyo basi ili kazi yako ya C&F iwe vizuri ni lazima uwe na uelewa wa shughuli za hizo zilizotaja.

Kibali cha kufanya shughuli za wakala wa Forodha hutolewa na Mamlaka ya Mapato TRA kwa kuzingatia masharti ni vigezo mbalimbali ikiwemo kuwa na utaalamu wa masual ya Forodha ambapo Mafunzo yake yanapatikana katika chuo cha USIMAMIZI wa KODI cha TRA.Ni kozi ya Muda Mfupi(Less than a year).Lakini pia kuna masharti mengine ambayo unaweza kuyapata kwa kuwasiliana na ofisi ya TRA iliyo karibu na wewe,ikiwamo Bond Guarantee etc.

Je unapataje Pesa Katik Biashara hii?
Katika biashara hii wewe unakuwa na kazi moja kubwa ambayo ni kuhakikisha mzigo wa mteja wako unavuka katika Mpaka wa forodha mpaka kukufikia na kuhakikisha kwamba masuala yote ya kodi na malipo mengine yote yanafanyika kikamilifu.Katika kutoa huduma hii utatoza Ada maalum kwa mteja wako kulingana na aina ya huduma na thamani ya mzigo. Hivyo basi kadiri unavoweza kutoa huduma bora na unapokuwa na uelewa wa taratibu na kanuni mbalimbali ndivyo inavykuwa rahisi kwa wewe kutoa huduma bora zaidi na kutengeneza faida zaidi.

Unawezaje kufanikiwa katika Biashara hii?
Kufanikiwa katika biashara hii kunahitaji ubunifu wa hali ya Juu.Kwanza unahitaji kujenga mahusiano mazuri na kampuni za usafirishaji,Kampuni zinazoagiza mizigo kwa kiawango kikubwa(Cargo Consolidators na pia kujenga mtandao mzuri wa masoko na Biashara.

Unahitaji pia kufahamu aina ya biadhaa ambazo wateja huagiza mara kwa mara na nmna bora ya kuwawezesha kupata mzigo yao kwa haraka na kwa gharama nafuu

Je Biashara hii unaweza kuanza kwa mtaji kiasi gani?
Kwa kutegemea eneo ulipo na soko ulilolenga gharama za kuanzisha Biashara hii zinaweza kuhusisha gharama ya Pango,Computers,Leseni na Vibali,Bond Guarantee costs kwa ajili ya TRA,Gharama za Mafunzo kama huna Mafunzo yanayohusu hilo eneo pamoja na gharama za matangazo na Masoko.

Je ni Maboresho gani naweza kufanya katika Biashara hii?
Katika bisahra hii unaweza kujiongeza kwa kuongeza huduma za dropshiping and product sourcing kwa biadhaa zinazotoka nje ya nchi.Mfano unaweza wasaidia watu kuagizi bidhaa kutoka UCHINA,Japan,Uturuki,Uingereza na kwingine na kwa kutumia mtandao wako na uzoefu ukawawezesha kuagiz mzigo kwa kuwasiliana na wewe moja kwa moja badili ya kuwasiliana na watu tofauti tofauti.Kama unaweza hata kuwa na Shipping address nje ya nchi itakuwa rahisi zaidi kama ambavyo makampuni mengine yanafanya.Cha muhim ni kujaribu kufanya namna ili uwe na bidhaa fulani ambayo unaweza kuiagiza na kuipromote kwa uhakika huku ukifahamu gharama zake mpaka ifike kwa mnunuzi wa Mwisho


Karibuni tujadili zaidi kuhusu Biashara hii ya Clearing nd Forwarding Agent na kwa wale ambao wana utaalamu na biashara hii wanaweza kuja kuleta maboresho na kuboresha mjadala kwa maslahi ya wengine.

Kwa mawasiliano zaidi na huduma za ushauri wa biashara tafadhali wasiliana nasi kwa email:masokotz@yahoo.com au PM

Karibuni kwa mjadala
kitambo nilikuwa na ndoto ya kumiliki kampuni ya clearing...nita save huu uzi
 
Mi naomba kujua mchanganuo wa mtaji upo vp (Yan vibali ) na je?
1.inahtaj ELIMU ya level gani na gharama ya mafunzo Ni sh ngap
2.unaweza ku clear mzigo wako mwenyew ukiwa Ni clearing agent
 
Habari za wakti huu;

Leo nimeona nilete mjadala kidogo kuhusu Biashara ya Clearing and Forwaring Agency.Kabla ya kuingia kwenye mjadala niweke wazi kwamba mm sifanyi shughuli za C&F.Hivyo basi maoni na mtazamo wangu upo zaidi kibiashara na kiujumla na ninaamni kwamba wengine watajifunza na wale ambao wako kwenye industry wataongezea yale ambayo yanakosekana.

Biashara ya C& F ni bishara ambayo ina uhusiano na TRA ambako pia hujulikana kama mawakala wa Forodha.Lakini pia inahusisha ufanyaji kazi kwa karibu na Shipping Agencies,na kampuni za usafirishaji mizigo pamoja na waendesha Custom bonded warehouses na inland containers depots.Hivyo basi ili kazi yako ya C&F iwe vizuri ni lazima uwe na uelewa wa shughuli za hizo zilizotaja.

Kibali cha kufanya shughuli za wakala wa Forodha hutolewa na Mamlaka ya Mapato TRA kwa kuzingatia masharti ni vigezo mbalimbali ikiwemo kuwa na utaalamu wa masual ya Forodha ambapo Mafunzo yake yanapatikana katika chuo cha USIMAMIZI wa KODI cha TRA.Ni kozi ya Muda Mfupi(Less than a year).Lakini pia kuna masharti mengine ambayo unaweza kuyapata kwa kuwasiliana na ofisi ya TRA iliyo karibu na wewe,ikiwamo Bond Guarantee etc.

Je unapataje Pesa Katik Biashara hii?
Katika biashara hii wewe unakuwa na kazi moja kubwa ambayo ni kuhakikisha mzigo wa mteja wako unavuka katika Mpaka wa forodha mpaka kukufikia na kuhakikisha kwamba masuala yote ya kodi na malipo mengine yote yanafanyika kikamilifu.Katika kutoa huduma hii utatoza Ada maalum kwa mteja wako kulingana na aina ya huduma na thamani ya mzigo. Hivyo basi kadiri unavoweza kutoa huduma bora na unapokuwa na uelewa wa taratibu na kanuni mbalimbali ndivyo inavykuwa rahisi kwa wewe kutoa huduma bora zaidi na kutengeneza faida zaidi.

Unawezaje kufanikiwa katika Biashara hii?
Kufanikiwa katika biashara hii kunahitaji ubunifu wa hali ya Juu.Kwanza unahitaji kujenga mahusiano mazuri na kampuni za usafirishaji,Kampuni zinazoagiza mizigo kwa kiawango kikubwa(Cargo Consolidators na pia kujenga mtandao mzuri wa masoko na Biashara.

Unahitaji pia kufahamu aina ya biadhaa ambazo wateja huagiza mara kwa mara na nmna bora ya kuwawezesha kupata mzigo yao kwa haraka na kwa gharama nafuu

Je Biashara hii unaweza kuanza kwa mtaji kiasi gani?
Kwa kutegemea eneo ulipo na soko ulilolenga gharama za kuanzisha Biashara hii zinaweza kuhusisha gharama ya Pango,Computers,Leseni na Vibali,Bond Guarantee costs kwa ajili ya TRA,Gharama za Mafunzo kama huna Mafunzo yanayohusu hilo eneo pamoja na gharama za matangazo na Masoko.

Je ni Maboresho gani naweza kufanya katika Biashara hii?
Katika bisahra hii unaweza kujiongeza kwa kuongeza huduma za dropshiping and product sourcing kwa biadhaa zinazotoka nje ya nchi.Mfano unaweza wasaidia watu kuagizi bidhaa kutoka UCHINA,Japan,Uturuki,Uingereza na kwingine na kwa kutumia mtandao wako na uzoefu ukawawezesha kuagiz mzigo kwa kuwasiliana na wewe moja kwa moja badili ya kuwasiliana na watu tofauti tofauti.Kama unaweza hata kuwa na Shipping address nje ya nchi itakuwa rahisi zaidi kama ambavyo makampuni mengine yanafanya.Cha muhim ni kujaribu kufanya namna ili uwe na bidhaa fulani ambayo unaweza kuiagiza na kuipromote kwa uhakika huku ukifahamu gharama zake mpaka ifike kwa mnunuzi wa Mwisho


Karibuni tujadili zaidi kuhusu Biashara hii ya Clearing nd Forwarding Agent na kwa wale ambao wana utaalamu na biashara hii wanaweza kuja kuleta maboresho na kuboresha mjadala kwa maslahi ya wengine.

Kwa mawasiliano zaidi na huduma za ushauri wa biashara tafadhali wasiliana nasi kwa email:masokotz@yahoo.com au PM

Karibuni kwa mjadala
Umesahau unatakiwa uweke bond ya millioni 40 serikalini ili ukimdhulum mteja serikali imfidie.
 
Huko njaa tupu mtu wangu. Usijaribu labda awamu ya 7
Kuna mwamba namjua ametoboa kwa kupitia biashara hiyo hiyo now yupo njema vibaya sana

Uzuri anatokea familia yenye hela, baba yake alimpatia mkopo wa million 60 mwamba alifanikiwa kurudisha hela za mzee ndani ya miaka minne

Sa iv ana mawe hatari.

Na alifungua kampuni yake back in 2008 now kampuni kubwa na ina jina kwenye hiyo sekta.
 
Kuna mwamba namjua ametoboa kwa kupitia biashara hiyo hiyo now yupo njema vibaya sana

Uzuri anatokea familia yenye hela, baba yake alimpatia mkopo wa million 60 mwamba alifanikiwa kurudisha hela za mzee ndani ya miaka minne

Sa iv ana mawe hatari.

Na alifungua kampuni yake back in 2008 now kampuni kubwa na ina jina kwenye hiyo sekta.
Kwa miaka hio sawa. Ila kwa sasa jau mzigo wote kuna kampuni zimeimeza.
 
Habari za wakti huu;

Leo nimeona nilete mjadala kidogo kuhusu Biashara ya Clearing and Forwaring Agency.Kabla ya kuingia kwenye mjadala niweke wazi kwamba mm sifanyi shughuli za C&F.Hivyo basi maoni na mtazamo wangu upo zaidi kibiashara na kiujumla na ninaamni kwamba wengine watajifunza na wale ambao wako kwenye industry wataongezea yale ambayo yanakosekana.

Biashara ya C& F ni bishara ambayo ina uhusiano na TRA ambako pia hujulikana kama mawakala wa Forodha.Lakini pia inahusisha ufanyaji kazi kwa karibu na Shipping Agencies,na kampuni za usafirishaji mizigo pamoja na waendesha Custom bonded warehouses na inland containers depots.Hivyo basi ili kazi yako ya C&F iwe vizuri ni lazima uwe na uelewa wa shughuli za hizo zilizotaja.

Kibali cha kufanya shughuli za wakala wa Forodha hutolewa na Mamlaka ya Mapato TRA kwa kuzingatia masharti ni vigezo mbalimbali ikiwemo kuwa na utaalamu wa masual ya Forodha ambapo Mafunzo yake yanapatikana katika chuo cha USIMAMIZI wa KODI cha TRA.Ni kozi ya Muda Mfupi(Less than a year).Lakini pia kuna masharti mengine ambayo unaweza kuyapata kwa kuwasiliana na ofisi ya TRA iliyo karibu na wewe,ikiwamo Bond Guarantee etc.

Je unapataje Pesa Katik Biashara hii?
Katika biashara hii wewe unakuwa na kazi moja kubwa ambayo ni kuhakikisha mzigo wa mteja wako unavuka katika Mpaka wa forodha mpaka kukufikia na kuhakikisha kwamba masuala yote ya kodi na malipo mengine yote yanafanyika kikamilifu.Katika kutoa huduma hii utatoza Ada maalum kwa mteja wako kulingana na aina ya huduma na thamani ya mzigo. Hivyo basi kadiri unavoweza kutoa huduma bora na unapokuwa na uelewa wa taratibu na kanuni mbalimbali ndivyo inavykuwa rahisi kwa wewe kutoa huduma bora zaidi na kutengeneza faida zaidi.

Unawezaje kufanikiwa katika Biashara hii?
Kufanikiwa katika biashara hii kunahitaji ubunifu wa hali ya Juu.Kwanza unahitaji kujenga mahusiano mazuri na kampuni za usafirishaji,Kampuni zinazoagiza mizigo kwa kiawango kikubwa(Cargo Consolidators na pia kujenga mtandao mzuri wa masoko na Biashara.

Unahitaji pia kufahamu aina ya biadhaa ambazo wateja huagiza mara kwa mara na nmna bora ya kuwawezesha kupata mzigo yao kwa haraka na kwa gharama nafuu

Je Biashara hii unaweza kuanza kwa mtaji kiasi gani?
Kwa kutegemea eneo ulipo na soko ulilolenga gharama za kuanzisha Biashara hii zinaweza kuhusisha gharama ya Pango,Computers,Leseni na Vibali,Bond Guarantee costs kwa ajili ya TRA,Gharama za Mafunzo kama huna Mafunzo yanayohusu hilo eneo pamoja na gharama za matangazo na Masoko.

Je ni Maboresho gani naweza kufanya katika Biashara hii?
Katika bisahra hii unaweza kujiongeza kwa kuongeza huduma za dropshiping and product sourcing kwa biadhaa zinazotoka nje ya nchi.Mfano unaweza wasaidia watu kuagizi bidhaa kutoka UCHINA,Japan,Uturuki,Uingereza na kwingine na kwa kutumia mtandao wako na uzoefu ukawawezesha kuagiz mzigo kwa kuwasiliana na wewe moja kwa moja badili ya kuwasiliana na watu tofauti tofauti.Kama unaweza hata kuwa na Shipping address nje ya nchi itakuwa rahisi zaidi kama ambavyo makampuni mengine yanafanya.Cha muhim ni kujaribu kufanya namna ili uwe na bidhaa fulani ambayo unaweza kuiagiza na kuipromote kwa uhakika huku ukifahamu gharama zake mpaka ifike kwa mnunuzi wa Mwisho


Karibuni tujadili zaidi kuhusu Biashara hii ya Clearing nd Forwarding Agent na kwa wale ambao wana utaalamu na biashara hii wanaweza kuja kuleta maboresho na kuboresha mjadala kwa maslahi ya wengine.

Kwa mawasiliano zaidi na huduma za ushauri wa biashara tafadhali wasiliana nasi kwa email:masokotz@yahoo.com au PM

Karibuni kwa mjadala
Umeeleweka mzee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom