Jambazi
JF-Expert Member
- Jan 18, 2014
- 16,642
- 18,644
Udaktari ni nini?
Daktari (ma) ni neno la asili ya Kilatini lililoingia Kiswahili kwa kupitia
Kiingereza . Hutumiwa na maana mbili:
1) Mtaalamu aliyepata mafunzo maalum kwenye chuo kikuu ya kutibu
maradhi au wagonjwa. Mtu wenye ujuzi wa kutibu wanaitwa pia mganga (wa) , tabibu (ma) .
2) Kwa kufuata tabia za lugha nyingine
dakta(ri) hutumiwa pia kama jina la heshima la mtu aliyepata shahada ya juu kabisa.