FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,108
- 13,346
kanilia milion tatu zangu mpka leo wife yupo kazi yake kujipodoa tu, nlidhan tatzo nnalo mm nkachepuka kwa mdoogo ake wife ikanasa,,, nkampa pesa asingizie mtu mwngne deal likatick,,wife ndo kukimbilia kwa huyo tapel sina hamu nae tena na wife alvomzur yule cjui kama hakumuingizia kikojolea chake mwana haramu huyu
cc tapel Mwaka
maguful
Kwa muandiko huu hiyo million 3 huna wala mke huna