Kuna anayewafahamu vizuri ForePlan Clinic ya Dr. Mwaka?

kanilia milion tatu zangu mpka leo wife yupo kazi yake kujipodoa tu, nlidhan tatzo nnalo mm nkachepuka kwa mdoogo ake wife ikanasa,,, nkampa pesa asingizie mtu mwngne deal likatick,,wife ndo kukimbilia kwa huyo tapel sina hamu nae tena na wife alvomzur yule cjui kama hakumuingizia kikojolea chake mwana haramu huyu
cc tapel Mwaka
maguful

Kwa muandiko huu hiyo million 3 huna wala mke huna
 
Kakimbia ofisi baada ya Dr Kigwangala kumtembelea jana 😆😆😆😆😆
 
Weee

Siibiwi kirahisi mjini hapa

Ha haaaaa....
Nlisoma kwenye blog ya mange kimambi eti jamaa amemaliza six na anadiploma ya kompyuter alafu ana certificate of herbal medicine from australia...

Duuu ukimsikiliza utafikili ana pHd
 
Ha haaaaa....
Nlisoma kwenye blog ya mange kimambi eti jamaa amemaliza six na anadiploma ya kompyuter alafu ana certificate of herbal medicine from australia...

Duuu ukimsikiliza utafikili ana pHd

Mjini hapa
Kufa njaa ni kujitakia

Jamaa kawachotaaaaaa
 
kwakweli utumiaji holela wa titles watu wanazitolea jasho kuzipata sio deal.mwende shule sio kujipatia title kirahisi hapa tuu.kuwa Doctor ni cheo.wala sio tafsiri ya uganga muache kunywesha watu madesa pori hapa
 
Jaman wanajamvi,

Napenda kuuliza huduma za huyu bwana anajiita Dr. Mwaka kwa yeyote aliyewahi kutibiwa naye!Juzi nilimpigia simu akapokea mdada akasema nitume pesa ili huduma!

Je, huduma zake zikoje maana me nna tatizo la kutopata mtoto kwa muda mrefu!

Jamani, wewe huna shida, Watanzania tunateketea kwa kukosa ujasiri, kwani inakuchukua garama ya shilingi ngapi ukienda wewe mwenyewe pale hospitali, sio kila atakae toa maoni huku yata kupendeza, pili kila mtu ana mfumo tofauti na mwili wa mwenzake, mimi nimeenda na mke wangu , na tumepata tiba ya mwezi mmoja, na hivi naongea na wewe mke wangu ni mjamzito miezi mitatu..... "Chukua atua mwenyewe usisubiri busara za watu " amka mtanzania,
Garama:
Kufunga file na kumuona Dr. =10,000/=
Kupima = 30,000/=
Matibabu = ( Itategemea ugonjwa wako )
 
Usichoke kuwaelimisha. Wengi hawajui mpaka ukae mwaka bila ujauzito ndipo inachukuliwa kuna tatizo.

Halafu viuzibeuzibe kwenye mirija ndivyo husababisha mayai kuwa weak?????? Hii mpya ya Mwaka......
Na maumivu ya tumbo wakati wa hedhi ni kawaida unless aseme maumivu ya mkewe ni ya kupitiliza au ana endometriosis etc etc



Hii tabia ya kudanganya aina ya ugonjwa anaoumwa mtubipo hata katika hospitali zinazotoa tiba za kizungu. Kuna watu wengi wanaambiwa damu zao chafu na wao wanaamini hivyo.
 
[h=3]Dr. Mwaka Amkimbia Naibu Waziri Wa Afya Hamis Kigwangala.........Atakiwa Kujisalimisha Kesho Saa Mbili Wizarani[/h]
 
Hapa tatizo ni lugha iliyotumika tu ajiite mganga wa Kienyeji basi watu wanatoka sana mapovu wakisikia Dr.Mwaka wanahamishia ubongo wao Moi au Aga Khan, huyu jamani udoctor wake kaupata Kienyeji enyeji koti lisiwachanganye hata wauza nyama wanavaa mbona.

Mbona uko Negative minded sana.....!!!?
 
Najaribu ku-imagine jinsi Dr. Mwaka alivyotoka nduki sipati picha kabisa, sijui alipitia upenyo upi?
 
Neno Doctor ni neno la kizungu kwa kiswhili maana yake ni ni mganga sasa wewe usishangae Dr mwaka kuita Doctor? mbona Viongozi wenu wa nchi munawaita Ma-Doctor? Je nao pia wamesomea huo U-Daktari shuleni? au munawapa vyeo amabavyo haviwahusu? Wewe ulitaka Dr Mwaka ajiite Jina la Mganga Mwaka? ndio ungeona lingemfaa kuita jina hilo kuliko kutumia jina la kizungu yaani Doctor? Acha hivyo kama una bifu na Dr Mwaka bora sema ili mradi Dr Mwaka havunji sheria zanchi muache awatibie watu. Mbona mimi ninawatibu wateja wa Dr mwaka na wanapona wakati mimi sio Dr?
kwahio yule naibu aliposema kama jamaa hana sifa za kujitangaza kuwa yeye ni daktari amekosea?na kama mganga yoyote ni doctor kusingekua na chuo cha udaktari,.sasa hivi mnaomtetea mnaanza kuumbuka maana ameshaambiwa apeleke vyeti vyake na sijui atavitoa wapi maana hanavyo
 
UFAFANUZI.
1/Dr.Mwaka ni mtaalamu wa kutibu binadamu kwa kutumia miti shamba, ni utaalamu aliosomea nje ya nchi na kufuzu(Serikali ya Tanzania inamtambua hivyo na anavyo vyeti katika fani hiyo)

2/Kwa jinsi nilivyomfatilia kupitia vipindi vyake kwenye Tv na nilipowauliza wataalamu wa Afya kuhusu yale anayoongelea Dr.Mwaka, kiujumla Dr.Mwaka anaifahamu vizuri Sayansi ya mwili wa Binadamu, anafahamu vizuri tiba mbalimbali za kihospitali na anazijua tafiti za tiba kwa kina(Jamaa ni intellectual kabisa)

3/Dr.Mwaka yuko sahihi kabisa kutumia Kipaji chake na utaalamu wake wa kutibu watu na kujipatia fedha na mali anazozitaka. Ni haki yake kwa sababu anafuata sheria, analipa kodi na anatumia uhuru wake.

4/Hakuna shida yoyote kwa Dr.Mwaka kutumia koti jeupe au kujiita Daktari, kwa sababu neno Daktari lina maana ya Mganga, na koti jeupe mtu yoyote anaweza kuvaa pasipo kujali utaalamu alionao. Mpishi, Muuza nyama, Mfanyakazi wa Mochwari, Muuza duka la dawa, Mfanyakazi wa kiwandani, Muuza juice nk. Wote huwa wanavaa makoti meupe mara nyingi.

5/Watu wengi wanaokwenda kwa Dr.Mwaka mara nyingi wanakuwa tayari wamewahi kufika katika Hospitali zingine kwa kupimwa au kutibiwa lakini mwisho wa siku hawakupona, hivyo wakiwa wamekata tamaa ya kupona ndio wanaamua kwenda kwa Dr.Mwaka, sasa kwa hali hiyo kuna kitu gani cha kumlaumu Dr.Mwaka?
majibu yatapatikana akienda kupeleka hivyo vyeti vyake kwa waziri..au wewe ndio dk mwaka umerudi kwa mlango wa nyuma?kama serikali inamtambua wasingembishia hodi ofisini na kama anajiamini asingekimbia..serikali haimtambui kama specialist wanamtambua kama mganga wa jadi sasa ndio wamekwenda kupata ufafanuzi kwa promo zake ambazo sio sheria(hospitali haitangazwi inajitangaza),.
 
Jamani, wewe huna shida, Watanzania tunateketea kwa kukosa ujasiri, kwani inakuchukua garama ya shilingi ngapi ukienda wewe mwenyewe pale hospitali, sio kila atakae toa maoni huku yata kupendeza, pili kila mtu ana mfumo tofauti na mwili wa mwenzake, mimi nimeenda na mke wangu , na tumepata tiba ya mwezi mmoja, na hivi naongea na wewe mke wangu ni mjamzito miezi mitatu..... "Chukua atua mwenyewe usisubiri busara za watu " amka mtanzania,
Garama:
Kufunga file na kumuona Dr. =10,000/=
Kupima = 30,000/=
Matibabu = ( Itategemea ugonjwa wako )

Wewe utakuwa Mwaka mwenyewe au marketing manager wake
 
Back
Top Bottom