Bukwabi
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 3,352
- 1,146
Neno Doctor ni neno la kizungu kwa kiswhili maana yake ni ni mganga sasa wewe usishangae Dr mwaka kuita Doctor? mbona Viongozi wenu wa nchi munawaita Ma-Doctor? Je nao pia wamesomea huo U-Daktari shuleni? au munawapa vyeo amabavyo haviwahusu? Wewe ulitaka Dr Mwaka ajiite Jina la Mganga Mwaka? ndio ungeona lingemfaa kuita jina hilo kuliko kutumia jina la kizungu yaani Doctor? Acha hivyo kama una bifu na Dr Mwaka bora sema ili mradi Dr Mwaka havunji sheria zanchi muache awatibie watu. Mbona mimi ninawatibu wateja wa Dr mwaka na wanapona wakati mimi sio Dr?
Ni kama hutofautishi kati daktari wa tiba (tabibu) na daktari wa falsafa!! Doctorate in Philosophy (PhD)