Mimi huwa sikubaliani sana na waganga wa mitishamba. Lakini si kwa sababu wanavaa makoti am kujiita kama unavyolalamika.
Utabibu siyo kuvaa makoti
ishengom. n awala siyo kujjita jina au kupata degree. Utabibu ni uwezo wa kutibu wagonjwa na kuwafanya warejee katika afya yao sahihi.
Nilitegemea ungesema juu ya utendaji wake wa kazi kwamba anayosema anayafanya hafanyi. Ungetuambia kwa research kwamba umebaini hana uwezo wa kusaidia tusema matatizo ya uzazi ila anaongopa. nk nk. Au ungetuambia anayofanya ni scientifically disapproved AU ina madhara makubwa kwa mgonjwa kwa namna moja ama nyingine, au ungesema hafuati ethicks za tiba kwa abc.
Lakini ukisema anavaa makoti, anajitngaza, bila sababu za msingi, unaonyesha wivu wa kijinga. Matangazo ya makoti yanakuathiri nini wewe kwenye taaluma yako ama wateja wake?
Pengine labda kama hujui, tiba mbadala imepanda kasi baada ya hao unaowaita medical dr kuprove failures. Wemebaki na hayo makoti, na mashine za kupimia watu shingoni lakini hakuna tiba. Mtu yuko diabetic na wanajua halafu wanamtundikia drip za glucose. Hao ndio wanamwuliza mgonjwa anataka aandikiwe dawa gani wakati yeye hata anachosumbuliwa nacho hakijui zaidi ya maumivu; Hao wanaoitwa mgonjwa kazidiwa wodini wanasema "nisubiri nitakuja" halfu wanatoroka au kusema subiri dr wa zamu ijayo yeye muda wake umekwisha. Hao hao wanaotaka wapewe rushwa ili mgonjwa apate huduma za karibu n.k. Hao wanao prescribe wrong medicines and dose kwa wagonjwa wanaend up kufa, hao wanaoona wagonjwa ni tatizo badala ya ajira.
Wangeonyesha competitiveness kwa uhai wa wagonjwa, bila shaka watu wasingehangaika na tiba mbadala. Huji ni kwa kiasi gani imesaidia watu kipindi chote ambacho hakuna serikali. Ninamshauri regulator kuwawekea mazingira mazuri zaidi ya kazi na kuwapa support inayotakiwa ili huduma zao ziwe bora zaidi ili Watanzania wasife kwa kutegemea makoti.
WIVU WAKO WA KIJINGA USIOKUWA NA HATA SCIENTIFIC REASONS BAKI NAO KWENU.
TENA UMENIUDHI KWA SABABU KAMA VILE NAKUONA ULIVYOVIMBA ETI KWA KUWA NAYE ANAVAA MAKOTI MEUPE. UPUMBAVU. MASUALA YA KITAALAM HAYABISHANWI KIPROPAGANDA
ishengom. Ukitenda mema hutapata kibali?